"Utawala wa hayati Magufuli haukuwa na dira ama maono ya nini alikusudia kukifanya na mengi aliyoyafanya hayakuwa na nia njema kwa nchi hii" Professor Mussa Assad, CAG Mstaafu.
Padre Kitima: Kanisa Katoliki ni Taasisi kubwa yenye kila mizizi hadi ngazi ya kaya na hatubahatishi
"....tuna-uwezo wa kukusanya taarifa za Nchi yetu kwa mda mfupi sana na hii ni kwa sababu ya ukubwa wa Taasisi yetu. Tambua, Kanisa Katoliki limeenea hadi ngazi ya kaya na .....
"Unapoona mshahara unaingia kwenye akaunti yako ya benki kumbuka ni Mama Mjane amenilipa mshahara huu kwa hiyo kabla ya kuomba nyongeza jiulize vipi kuhusu yule anayekulipa mshahara wako wa sasa? Mtoto wake anakaa chini darasani.โ โโโ
@HHichilema
"Walionipiga Risasi waliambiwa baada ya mimi kupigwa Risasi nizikwe baada ya masaa matatu, haya yote niliambiwa na watu wa Serikalini baada ya kupona", Mhe.
@TunduALissu
Hiyo familia ya SIMON SIRRO inajisikiaje? Fikiria wewe ungekuwa baba yake SIMON SIRRO, mama yake SIMON SIRRO, mdogo wake ungejisikiaje kuzaa kwako UMETULETEA BALAA WATANZANIA? Kwahiyo naomba Watanzania wengine wasituzalie watoto kama SIMON SIRRO - Watanzania walio wengi
"Mwaka Jana waliiba kura wakajitangaza wameshinda kwa 80% na zaid hawataenda mbinguni na hata kama na wewe upo kwenye hicho chama huendi mbinguni kwakua na wewe ni mwizi" Askofu Josephat Mwingira
"Kila serikali ya Dunia hii inajenga barabara, Nyerere alijenga
@MagufuliJP
na yeye amejenga na sisi tukiingia madarakani tutajenga ila badala ya kujenga Flyover fikirieni barabara za vijijini unakotoka utajiri wa nchi hii"-
@TunduALissu
#NiYeye
#SasaBasi
#ChaguaCHADEMA
"Nimekuwa ni adui wa kila mtu, isipokuwa mamilioni na mamilioni ya Watanzania ambao wananiunga mkono, lakini hawa ambao wapo kwenye mamlaka mimi ndio nimekuwa adui yao nambari moja, kwa kuzingatia haya haishangazi hata kidogo"
@TunduALissu
Hivi Ndivyo Lucy Owenya (Mtoto wa Marehemu Ndesa Pesa) anavyoondoka Iringa Kibabe Kurejea Kilimanjaro kwenye Shughuli zake kwa kutumia Helicopter yake, Mchana huu. โ๏ธ๐ช
TAARIFA KWA UMMA
Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa CC ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
@MsigwaPeter
leo amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa chama hicho, ya kutia nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mwenyekiti wa
@ChademaTz
Mh
@freemanmbowetz
ameachiwa jioni hii na polisi, yuko salama. Mapambano yanaendelea. Kosa kubwa tutakalolifanya ni kukata tamaa dakika hizi ambazo ccm inarusha miguu na kichwa ikikaribia kukata roho. Tuliposhika tushikilie kwa nguvu. October hawa weupe
Kwa haraka haraka tu hebu fikiria kama kusingekuwa na wasamalia wema walio rekodi tukio la jana kati ya Polisi&Hamza UNADHANI
@tanpol
kupitia IGP SIRRO tunayemfahamu vyema angekuja na stori gani? Jaribu kufikiria kisha weka comment hapa tuipitie rejea tukio la kutekwa
@moodewji
โMimi binafsi nilifichwa kwenye kituo cha polisi Bagamoyo mkoa wa Pwani nilipopelekwa usiku wa manane na kulazwa sakafuni bila kuonana na mtu yeyote kwa muda wa siku nneโ. Mh.
@freemanmbowetz
Dakika ishirini tu zimeondoka na askari wawili & kulitingisha jeshi la Bw. Sirro
@tanpol
baada ya siku chache serikali na vyombo vyake kuitangazia dunia kuwa Tanzania Ugaidi. Mtu mmoja analitisha jeshi zima vp wangekua kama 20 ? Ugaidi Sio Sifa Muachieni
@freemanmbowetz
Sio Gaidi
IGP Sirro anasema wazazi wa HAMZA aliyekuwa ni kada wa CCM wanapaswa kuwajibika kutokana na namna alivyoua polisi juzi.hao wazazi&ndugu wa HAMZA wanahusika vipi na suala la Hamza? Walimtuma? Km walimtuma ushahidi upo? Km hpn acha mara 1 huu UHUNI utazalisha kina HAMZA wengine.
Siku CCM ilipokuwa inamuaga Mzee Rashid Mfaume Kawawa (alipostaafu rasmi Siasa za Majukwaani), katika hotuba ya shukrani alisema;
"Pamoja na mambo mengine naahidi nitakufa nikiwa mwanachama mwaminifu wa CCM.'' Rashid Kawawa.
Ilipotimu zamu ya Mwalimu Nyerere kuzungumza,.....
Tumewasili Dar es salaam tayari kuelekea kwenye madhabahu ya utoaji HAKI pale kisutu. Kimsingi tunakwenda kusikiliza kesi mbalimbali zitakazotajwa leo lkn zaidi kesi inayomkabili mwenyekiti wa
@ChademaTz
Mhe.
@freemanmbowetz
. Wananchi Wenzangu Twendeni Kwa Wingi Wetu.
Serikali ya rais
@SuluhuSamia
eleweni kukaa na mhe.
@freemanmbowetz
katika kuta za gereza ni gharama sana kuliko mngekubali kuandika katiba mpya bila kumsingizia haya madai ya uongo ya jeshi la polisi. Endeleeni kukaa naye mkidhani chadema ni dini kama uislamu na ukristo. NEVER.
Maelfu ya wananchi wa jimbo la kilolo waliojitokeza kumsikiliza mgombea ubunge wa
@ChademaTz
mhe. Jully Mpugula a.k.a (Shangazi) wakati wa uzinduzi wa kampeni zake mapema leo. Kilolo wanataka Uhuru,Haki na Maendeleo ya watu chini ya shangazi Jully Mpugula.
#NiYeye
#SasaBasi
"Watu wetu, wafuasi wetu wajifunze kwa matendo yetu sisi Viongozi. Wasitarajie kwamba tutajenga chuo au kufanya mambo eti ya kuandaa Warithi wa vyeo vyetu" Mhe.
@TunduALissu
Kesho Nitaongoza Timu ya Vijana Zaidi ya Mia Moja Kutoka Mkoa wa Iringa Kwenda Kumsindikiza Mgombea Urais Kupitia Chama Changu Pendwa
@ChademaTz
mhe.
@TunduALissu
.Kesho Dodoma itasimama kwa Masaa Kupisha Zoezi la Uchukuaji wa Fomu Ya Urais Kupitia kwa Mhe.Lissu
#SioYaKukosa
๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
Katibu mkuu TEC amezielekeza Dayosisi zote kurudia kuusoma waraka wa Baraza kuu wiki 6 mfulilizo ili kuwapa nafasi waumini wote kuusikia na kuuelewa hawa jamaa hawana masihala wiki ijayo tena kinaumana ๐คฃ
Jeshi la wananchi wa Tanzania litaongea na UMMA wa watanzania leo, Ikumbukwe baadhi ya makomando wa jeshi hili wapo jela kwa zaidi ya mwaka 1 kwa tuhuma za kesi ya UGAIDI,Makomandoo hawa wamefanya kazi tukufu ndani ya JWTZ mpaka wakapatwa na matatizo wakiwa kazini tusubiri PRESS!
TAARIFA!!
Kuna taarifa kuwa Adv. Mwabukusi & Mdude wamepotea, hawajulikani walipo kwa zaidi ya masaa matatu sasa! Mwenye taarifa yoyote atupatie tafadhali.
RETWEET ujumbe ufike.
Napenda kutumia siku ya leo kumtambulisha kwenu mgombea ubunge kijana jimbo la Mufindi Kusini kamanda Titho E.Kitalika kupitia
@ChademaTz
Tumuunge mkono kamanda kwa hali na mali kuhakikisha kijana anakuwa sauti ya wana Mufindi ambao wamekosa sauti ya mwakilishi sahihi bungeni.
"Mwaka 1990 Prof. Shivji alisema Muungano ni Halali Kisheria; Miaka 18 Baadae Akafanya Rejea Akapata Ushahidi Kwamba BARAZA la Mapinduzi Halikuridhia Muungano, Na Government notice iliyokuwa kwenye Gazeti La Serikali Ilighushiwa Na Wanasheria Wa Nyerere," -
@TunduALissu
Mwenyekiti wa
@ChademaTz
Mhe.
@freemanmbowetz
akiwa kwenye ziara ya
#OperationHaki
Shinyanga alipata kusema haya chama hiki ni chama pekee kilicho kwenye mioyo na fikra za Watanzania wengi kuliko chama chochote hapa Nchini" Kama unakubaliana na Mbowe Retweet imfikie aliyemfunga
Kugombea kupitia upinzani ni maisha ya roho mkononi kila wakati. Kufutiwa uraia, kubambikiwa kesi, kufilisiwa, kutekwa, kujeruhiwa, kuuawa, na kuteswa kisaikolojia. Ni utitiri wa visa na hofu. Unashika fomu ya kugombea mkono mmoja na mkono wa pili unaandika wosia.
Alizaliwa Singida akasoma Ilboru shule ya vipaji maalum kisha akaenda UDSM na masomo ya juu zaidi Uingereza. Mtu wa watu,Wakili Makini,kiongozi shupavu na mkosoaji mkuu wa Serikali aliyepigwa risasi nyingi siku kama hii miaka 7 iliyopita.
@TunduALissu
โSurvived to tell the taleโ.
Wakili Dickson Matata amefanya kazi ya kitume sana kawapambania wananchi wote Waliokamatwa nje ya mahakama ya Kisutu, walipokwenda kufuatilia kesi ya Mhe.
@freemanmbowetz
na kukaa ndani na kunyimwa haki ya kuonwa na ndugu zao, yeye alichukua jukumu la kwenda kuwaona kila siku.
Tutasimama na Mwenyekiti wetu..
Mipango yote ya hovyo na uovu dhidi yake na chama chetu hautafanikiwa.Tutakilinda chama chetu kwa wivu mkubwa, maana ndio tumaini la Watanzania.Mimi nitaungana na vijana wengine kumlinda m/kiti kwa gharama yoyote ikibidi
@freemanmbowetz
Pongezi nyingi kwake kijana mwenzetu ktk chama pendwa
@ChademaTz
kamanda
@IAMartin_
alisimama imara kuhakikisha hamkosi chochote kutoka chumba cha mahakama tangu kesi hii inaanza mpaka leo hii Tumpongeze kwa kadri ulivyoguswa kwa maelezo zaidi pita kwa ukurasa wake wa
@IAMartin_
Moja ya sababu za Mwenyezi Mungu kuleta ukame ni kukithiri kwa dhulma & ukandamizaji. Tukemee kwanza utekaji, mauaji, watu kuwekwa magerezani huku watoto/familia zao zikiangamia bila ya hatia yoyote, Ndipo twende misikitini, makanisani/viwanja vya kuomba mvua. Sheikh Issa Ponda
Tunafungua rasmi zoezi la kudai katiba mpya leo julai 01, 2021 hapa baracuda segerea Dar es salaam ikiwa ni mwendelezo wa dai hili muhimu kwa taifa letu. Sasa tunaanza kwa kutumia majukwaa yetu ya kisiasa halafu hatua hatua nyingine zitafuata baada ya hapa tunataka katiba mpya.
" Mamia ya vijana na wazee wa Kitanzania wamekwenda kwenye kile kinachoitwa "Jamhuri ya Twitter", ambapo masuala muhimu sana ya kitaifa yanajadiliwa kwa umakini zaidi kuliko inavyoweza kupatikana katika Bunge la nchi." -
@raiyajenerali
Yoshua 1:9
Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.
#FreeFreemanMbowe
#HeIsNotATerrorist
Lissu : Wakati Magufuli anaumwa nilisema amepata Covid19 mpaka akafariki, nikashambuliwa sana. kwenye Movie Royal Tour naona watu wanaitana Piraaa Piraaa na kukiri JPM amefariki kwa Korona
#KatibaMpya
#MariaSpaces
"Mamia ya vijana na wazee wa Kitanzania wamekwenda kwenye kile kinachoitwa "Jamhuri ya Twitter", ambapo masuala muhimu sana ya kitaifa yanajadiliwa kwa umakini zaidi kuliko inavyoweza kupatikana katika Bunge la nchi." -
@raiyajenerali
Neno Moja la Kumuombea na Kumtakia Kila Lililojema Kwake Mbunge wa Wananchi wa Mikumi Tafadhali, Sema Neno Lolote kwa Huyu Legend
@ProfessorJayTz
Kisha Like na Retweet Kuonyesha Kumjali Kamanda Wetu, Usisahau Kumuombea ๐
Freeman Mbowe: Mheshimiwa Jaji naomba Kuleta Kwenye Mahakama Yako kuwa tumekosa Haki ya Kula Mchana Kwa Miezi 5
Wakati Nyie Mnabreak kwenda Kula sisi hatupati Chakula wala Maji Kwa Miezi Yote 5
"Mwenyekiti
@freemanmbowetz
hana, na hajawahi kuwa na hatia ya kosa lolote la jinai, achilia mbali kosa la ugaidi. Sababu pekee ambayo imemsababishia kuteseka gerezani muda wote huu ni yeye kuongoza harakati za kudai Katiba Mpya kwa ajili ya nchi yetu." Mhe.
@TunduALissu
BREAKING NEWS
Mdude amebadilishiwa Mashtaka kutoka Uhujumu Uchumi na sasa Kusafirisha Madawa ya Kulevya. Hakimu ameomba muda kutoa Uamuzi mdogo kuhusiana na Dhamana.
Tanzania hakuna ugaidi mwachieni mwenyekiti wa
@ChademaTz
mheshimiwa
@freemanmbowetz
siyo gaidi ni kiongozi wetu, ni baba yetu, ni mtu wa watu zaidi ya milioni kumi, Mwachieni huru Mbowe na walinzi wake kesi hii ni ya uongo serikali mmeamua kumsingizia. Walisikika wanawake Mbeya.
"Sisi
@ChademaTz
ni Chama cha Jamhuri. Sisi hatuwezi kuweka chuo cha kuandaa Wezi wa baadae. CCM kilijenga chuo pale KIVUKONI cha kuandaa watu wao, hakuna cha maana wamekifanya zaidi ya kuandaa MAJIZI tu. Hao unaowaona wezi na mafisadi wa mali ya umma wengi ni 'product' ya Chuo..
Mpe neno moja huyu mwamba mwenye vifungashio hapa pembeni, Wewe unadhani baada ya kumuona mheshimiwa
@TunduALissu
alikuwa anawaza nini?
#Retweet
, Comment na ku like ๐
#HABARI
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Muhambwe Mkoani Kigoma kupitia
@nccrmageuzihq
Felix Mkosamali, amekihama chama cha NCCR-Mageuzi na kuhamia
@ChademaTz
, ambapo pia ametangaza nia ya kuwania ubunge wa Jimbo la Muhambwe kupitia CHADEMA katika uchaguzi mkuu mwezi Oktoba.
"kabla ya kusema Rais alinipa msamaha eti alinipenda nafikiri useme kwamba alinichukia ndiyo maana alinifunga. Hata hivyo, Rais ni taasisi, utaratibu wa msamaha siyo suala binafsi, ni sheria zetu tulizojiwekea ingawa huo msamaha haukunihusu. Magufuli alituchukia
@ChademaTz
- SUGU
โKama Rais (
@SuluhuSamia
) hawezi kushusha bei ya mafuta ashuke kwenye kitu cha U-Rais, wapande watu wengine wanaoweza kushusha bei ya mafutaโ -
@jjmnyika
Mahakama kuu kanda ya mbeya imemuachia huru mwanaharakati Mdude Nyagali huru baada ya kukaa mahabusu kwa mwaka mmoja na miezi 4. Mungu ni mwema sana ๐
Hivi kweli mama SSH
@SuluhuSamia
kujadli KATIBA ni kosa la jinai ? Uhuru wa mawazo ni kosa la jinai? Watu wasio na hatia wanakaa mahabusu? Hata Nyerere wakoloni hawakumfanyia hivi.
Kwa utaratibu huu mtatufunga wengi , Hatutanyamaza". -
@MsigwaPeter
BREAKING:
@TunduALissu
ametia nia kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania rasmi
โNimetia NIA rasmi kwa katibu Mkuu wa chama chetu kama ambayo sheria inataka, na nimetia nia kwenye nafasi za:
โ๏ธKugombea Urais 2025
โ๏ธKugombea nafasi ya umakamu wa Mwenyekiti,.....
Pichani ni mwl. Nyerere akisalimiana na mwanaukombozi mwenzake aliyesimama kidete mpaka nchi ikapata uhuru marehemu Aikaeli Alfayo Mbowe, Wakati wa ubatizo wa
@freemanmbowetz
09 Dec 1961, Mwl ndiye aliyemchagulia jina hilo la Freeman Mbowe na akasimama kama baba yake wa ubatizo
Ilikuwa hivi kijana inakuwaje unavaa huu uchafu wa ccm? Majibu, kaka MM CHADEMA nina kadi akachomoa kadi mfukoni kisha nikamuuliza tatizo nini?, Majibu sina hela ya kununua kofia kaka kisha nikavua niliyokuwa nimevaa nikamvisha akafurahi sana
#TokomezaCCM2020
#TokomezaCCM2020
Rais
@SuluhuSamia
huyu ni Jamila Yusuph Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama ya wilaya ya mpanda (DC) ambaye katika kukabiliana na uhalifu ameagiza shamba la mahindi lililokua limestawi vizuri kufyekwa. Huyu anapaswa kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu na kisheria.
"Mimi ni Askari Polisi, kama ningekuta meseji za kupanga uhalifu kwenye simu za
@freemanmbowetz
na wenzake,ningeweka kwenye ripoti yangu ya uchunguzi" moja kati ya mashahidi wa jamhuri akitoa maelezo mahakamani ya kukana kukuta mipango ya uhalifu kwenye simu za
@freemanmbowetz
.
"Waziri mkuu hajui walichokipitisha bungeni, Spika hajui walichokipitisha bungeni, Wabunge hawajui walichokipitisha bungeni kwahiyo nchi hajui tulichokisaini afadhari hata Mangungo alijua ni mkataba, wao wanadanganya wananchi eti wameridhia makubaliano je tangu lini bunge ......
Bon yupo hapa Ostabay Police kwa RCO.
Amekamatwa Golden Folk Sinza na Askari wenye uniform na wasio na Uniform!
Now wana seize simu zake Mbili na kuanza kuandika Maelezo
"Ombi langu kwa wenye mamlaka, Wanasiasa wa nchi hii, japo wanasema siasa ni mchezo mchafu lakini pamoja na uchafu wake tusifanye mambo mpaka yakavuka mipaka. Watu wa Mungu watainua sauti zao na wale wanaoonewa watainua sauti zao watamlilia Mungu na Mungu atajibu." Askofu Shoo
โAliyeenda JKT kabla ya mwaka 1993 lazima alikuwa mwanachama wa CCM. Ulikuwa ukimaliza tu mafunzo unakabidhiwa kadi ya CCM. Hivyo hata mimi niliwahi kuwa mwanachama wa CCM. Tena ukiwa unaenda chuo ulikuwa unaombwa kadi ya CCM, baada ya kusajiliwa chuo nikaiachaโ Tundu Lissu