Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora Dr. Nyanja ameamua kujiuzia gari V8 Mali ya UMMA kwa SHILINGI MILIONI 8 za KITANZANIA.
Kabla ya kuitoa gari hiyo hapa Manispaa aliifanyia Service gari kwa pesa ya UMMA.
Sisiem kwa WIZI wa Mali za UMMA hawana huruma kwa wananchi.
Kila mmoja humu X naomba kabla haujalala umsalimie IGP WAMBURA KWA NAMBA HII
+255 684 111111 NA UMWAMBIE TUNAMTAKA
@DEUSDEDITHSOKA
akiwa mzima kabisa kesho asubuhi.
"TUNAYOYAWEZA WENYEWE TUSIMUWACHIE MUNGU"
Sema nini dada
@MariaSTsehai
Mungu akutunze sana ili wote tuione hii HATMA njema ya nchi yetu na tuwe kwenye HISTORIA ya mchakato huu wa KATIBA MPYA ๐๐๐
Kwa moto huu uliouwasha leo huko
@Columbia
Mhe.
@TunduALissu
HESHIMA KWAKO.
Wale mboga mboga ndiyo maana hawakupendi kabisa maana MADINI ULIYOITOA PALE ni HATARI KULIKO HATARI YENYEWE ๐๐๐.
"MUNGU AKUTUNZE SANA KWA FAIDA YA KIZAZI KIJACHO KATIKA NCHI YA TANGANYIKA"
TBC nafikiri itakuwa Kuna mtu amevamia On-line TV yenu.
Msiniambie kama ni ninyi ukweli jamani๐๐๐ maana sijui kama
@Nnauye_Nape
amewaona ๐๐๐
Demokrasia ya kweli haitapatikana kwa kuridhiana na CCM! After 60 years, in 2020 walipora kura kwa mtutu wa bunduki na kuumiza, kuua na kufunga watu! Chama kikongwe hakijawahi kuomba radhi, kukiri kosa bali inatafuta kuhalalisha uharamu leo! Mnataka kujadili nini?
#TutaelewanaTu
Makamu Mwenyekiti wa Chadema na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Tundu Lissu akizungumza mara baada ya Jeshi la Polisi kuondoa vizuizi vyao.
Wafiwa poleni sana, ila ma- ofsa wote msibani msivae ๐ท๐ท๐ท tafadhali mtafukuzwa kazi!
So ndicho mnachoogopa hicho?
#Mtakufa
kama kuku wa kideri.
Polisi Mbeya wamemkamata Mpaluka Said Mdude Nyagali (
@mdudechadematz
)
Mdude Nyagali amekamatwa akiwa soko la Kabwe, alipigiwa simu na mtu aliyesema anahitaji kununua kitabu cha maisha ya Mdude.
Mdude alipokwenda kukutana naye, wakamkamata na wamekwenda naye ofisi za RCO-Mbeya
@IAMartin_
Tunamshukuru Mungu sana kwa ajali hiyo pia, maana kwa sisi Christian tumeambiwa shukuruni kwa kila jambo.
Mungu aendelee kuwakumbuka hivyo hivyo.
#Mitano
tenaaaaaaa.
Kanisani wakati wa kumsindikiza ndugu yetu Peter Mtinagi aliyesababishiwa KIFO kwa KUPIGWA na ELIBARICK KINGU na huyu anayeongea hapa ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Singida.
Vipande vyote vitakuja hapa.
Mtendaji wa Kata ya Mlowa Bwawani, Jimbo la Mvumi na Wilaya ya Chamwino anayeitwa HILDA GIDIONI MGANI simu namba hii 0622402009 ameshirikiana na viongozi wa ccm Kata kuvunja bomba na kuiba Bendera ya CHADEMA.
@SuluhuSamia
na Nchimbi waambieni MAKADA wenu wasije tulamu baadae.
Ccm bila kusomba watu kwenye MATIPA namna hii, tena ni magari ya Serikali hamuwezi kupata watu wa kuja kumsikiliza
@SuluhuSamia
huko Kiogoma.
#Safari
ya masisiem kwenda kumuona
@SuluhuSamia
.
Msafara ulizuiliwa sangsi kwa maelezo kuwa Rais Samia anapita,ila wamekutana na Nguvu ya Umma na msafara wa Kia umeendelea.
HII NDIYO MAANA YA NGUVU YA UMMA ๐ช๐ช๐ช
Last Update! Hatimae Jeshi la Polisi
@tanpol
wametema ndoano, wamemuachilia huru Mhe
@Twaha_Mwaipaya
bila mashrti yoyote muda huu 19:50, Shukrani kwenu nyote.
๐๐๐๐๐
Msafara wa Mkt Chadema Taifa *JIJI LA TANGA*, Akielekea OFISI za Chadema Kusaini Kitabu Cha Wageni, Leo Tarehe 08/02 - Atazindua *MATAWI*, *OFISI* na *VIKAO*
๐ช๐ช๐ช
Nakwenda kulala usingizi mzuri kwa neno la mwisho ukumbuni la kaka
@Mwabuk2Boniface
amesema "YEYE NDIYO DEREVA" hao wengine "WANALULUNGANYA TU" ๐๐๐๐
Diwani wa wizi wa KURA Kata ya Malolo Zinduna Kambwangwa na mtendaji wake Marry Matiko wenyeviti wake wa mchongo 6 Tabora Manispaa, wanatuhumiwa kula pesa za UMMA kiasi cha shililingi ishrini na tano milioni. {TSHS. 25,000,000/=}
Mpaka sasa wako Lupango.
Ninyi
@tanpol
kumbe ni zaidi ya WAJINGA eti?
Acheni Vijana wa CHADEMA tukafanye sherehe yetu kwa amani vinginevyo mnatafuta kuleta "MACHAFUKO YASIYO YA LAZIMA" katika Taifa la TANGANYIKA.
Tena mtoke kabisa Barabarani mkiona hizo gari zenye Bendera za CHADEMA.
Tulia Shemasi, Burigi amesema jana mambo matatu kwa mara wakati mmoja.
1) Waliotuletea coronya ya ajabu ajabu baada ya kwenda nje kupata chanjo.
2) Tulime tu ili tujiepushe na coronya.
3) Coronya hakuna.
#Mitano
tenaaaaaaaaaa.
Mtu mmoja aliyejitambulisha kama RAS simu 0745737126 amempigia simu Hamisi Kulasha Mwenyekiti CHADEMA Jimbo la Muhambwe na kumtaka leo tarehe 29/04/2024 saa 4:00 asubuhi akaripoti kituo kidogo cha polisi Kilichopo Makele Kasuru.
@MariaSTsehai
@mdudechadematz
@ExMayorUbungo
@PMadeleka
Kwa kuwa yeye ni HAKIMU na yeye ni Mali ya UMMA na anapaswa kujuwa kuwa yuko chini ya UMMA.
Anapaswa kufunguliwa mashitaka yeye Binafsi ilj na yeye aje aulizwe maswali ya "DODOSO"
"TUKIAMUA UMMA TUNAWEZA"
Heri ya siku yako ya kuzaliwa dada yangu mzuri na kipenzi ya Watanzania,
@MariaSTsehai
.
Iwe MA-MBUZI wanataka ima hawataki ndiyo hivyo hivyo imeisha hiyooooo๐ช๐ช strong woman ๐ ๐
Huyu ni raia wa TANGANYIKA,
Hivi ninyi mnaotumia MAMLAKA yenu kwa kuwanyanyasa wengine mnajisikia AMANI gani kama watoto wenu ndiyo wawe wanateswa kwa kiasi hiki?
#Free
MADELEKA.
Ninyi
@tanpol
na JWTZ hivi huyu angekuwa ni dada yako, mtoto wako, au mkeo amefanyiwa haya!
Mpaka sasa angekuwa "HAJASHUGHULIKIWA"?
@SuluhuSamia
pamoja na vyombo vyako vyote, mnataka ushirikiano gani kuhusu jambo hili kutoka kwa jamii kuhusu "UDHARILISHAJI HUU"?
Katibu Mwenezi wa CHADEMA Sumbawanga Mjini DIONIZ KIPANYA(
@DIONIZKIPANYA25
) ametekwa na watu waliojitambulisha ni polisi kutoka ofisi ya RPC-Mkoa wa Rukwa siku ya ijumaa ya tarehe 26 July 2024 mpaka leo hakuna Kituo cha polisi yupo na simu zake hazipatikani.
#FreeKipanya
Mawakili wote mlioko Dar ninawaomba kwa HESHIMA kubwa na TAADHIMA tuhamie hapo polisi CENTRAL ili kuhakikisha ndugu na mpigania HAKI mwenzetu anapatiwa msaada wa HARAKA.
@tanpol
mnamkamata mtu ambaye mlikuwa na uwezo mkubwa wa kumuita na akaja mwenyewe ๐ฅบ๐ฅบ๐ฅบ
"MNAKERA SANA"
.
@mdudechadematz
akiwa safarini leo amekamatwa/ametekwa na watu waliojitambulisha kuwa ni polisi katika kizuizi (barrier) cha Mikumi. Taarifa za awali tulizopata, Mdude ameelezwa na maharamia hao kwamba ni maagizo kutoka juu, lakini hawakusema kosa lake na wapi anapelekwa.
Wakati walioko madarakani wanawaza kutuibia wanyama wetu kule katika MBUGA ZETU na kuwapeleka katika ZOO YA SHARJAH, yuko mwananchi anatamani kuona nchi yake wezi wote wa aina ya hawa ccm walioko madarakani (WAKOLONI WEUSI) wanaondelewa na nchi hii kuwa salama.
HAWA NI BINADAMU NA WANA HAKI ZAO KIKATIBA!!!
UNAKUWAJE NA ROHO MBAYA KIASI HIKI CHA KUKAA NA BINADAMU HAWA SIKU NYINGI HIVYO KUSIKOJULIKANA?
@SuluhuSamia
wewe na vyombo vyako vya DOLA WAACHIENI HAWA RAIA WA TANGANYIKA.
FIKIRIA MWANAO ABDUL AU WANU ATEKWE KISHA USIJUE ALIPO!!!
Wewe ni Mtanganyika ama uko nchi nyengine?
Kesho TUNAANDAMANA NA HUNA LA KUTUFANYA MAANA HATUVUNJI KATIBA YA NCHI, BALI WEWE NDIYO UNATAKA KUVUNJA KATIBA KWA KUZUIA JAMBO ULILOLIKUTA NA UKAAPA KUILINDA KATIBA HIYO PAMOJA NA UBOVU WAKE WOTE.
BREAKING NEWS: Joint Press conf: Dr. Slaa, Wakili Boniface Mwabukus, wakili Peter Madeleka na Askofu Mwamakala kufanya Press Conf ya Kitaifa, Kesho, Jumatano, July 12, 2023.
Venue: Musema Hotel, Mkumbusho.
Muda: Saa Nne asubuhi.
Vyombo vyote vya habari vinakaribishwa.
Acha safari ya UKOMBOZI IENDELEE katika nchi yetu ya Tanganyika Kaka
@HecheJohn
.
Iwe wanataka ama hawataki kuna wakati jamii itatuelewa zaidi kuliko hawa watawala WANYANG'ANYI ambao tunapo washauri wanaziba masikio yao.
Makamu Mwenyekiti
@bavicha_taifa
@MozaAlly_
amewaongoza viongozi mbalimbali kwenda kumpokea Makamu Mwenyekiti Bara Mhe
@TunduALissu
Mhe
@jjmnyika
na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa
@TheRealJongwe
wakiwasili Jijini Mbeya kuhakikisha Siku ya Vijana Duniani inafanyika kesho Agosti 12
Demokrasia ipo wapi Tanzania? Jeshi la polisi limemkamata Mhe.
@TunduALissu
Mhe.
@jjmnyika
na viongozi wengine wa chama, wakati wakiwa katika ofisi kuu za chama kanda ya NYASA. Raisi
@SuluhuSamia
anahubiri demokrasia mdomoni lakini matendo sio ya kidemokrasia.
#FreeTunduLissu
Makamu mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa Mhe.
@TunduALissu
, akizungumza kilichojiri mara baada ya kutoa maelezo katika kituo kikuu cha polisi Arusha.
Inawezekana kabisa huyu ndiye anayehusika na UTEKAJI?
Au ndiyo maana haya mambo yanatokea huku TANGANYIKA PEKE YAKE?
Huyu ni MZANZIBARI hawezi kuwa na huruma kuhusu Watanganyika.
TLS NINAWAOMBA SANA TUMCHAGUE
@Mwabuk2Boniface
ili aweke wazi kila jambo pasina shaka.
#Pichani
Ni Elias Mbise leo ni siku ya tatu anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza na mpaka sasa hawataki kusema kosa lake nini na Mahakamani hawataki kumpeleka.
NB. Elias ni Mwanafunzi wa Chuo Cha Mipango Mwanza lakini pia ni Mwenezi wa CHASO Mkoa wa Mwanza.
#Tanzania
Mdude is free!
He was released tonight on police bail after 72 hours! We fight on!
Shukrani kwa wote mliopaza sauti! Mdude kaachiwa usiku huu
#TutaelewanaTu
#HII
NDIYO DAWA YAO๐ช๐ช๐ช UMMA.
Ninyi
@tanpol
mrudisheni huyu akiwa mzima bila dhara lolote maana WATEKAJI ni ninyi mlikwisha julikana.
Kumbukeni tunaishi na ninyi mtaani na tunawajua watoto wenu, wake zenu, waume zenu pamoja familia zenu.
"UBAYA UKO NA TABIA YA KURUDI KWA ALIYEUTENDA"
Unapata furaha gani
@SuluhuSamia
kwa mwanamke mwenzako ambaye ameingia kujifungua kwa uchungu hospitali na wewe kwa kushirikiana na vyombo vyako vya DOLA mnampoteza mtoto wake?
Jiulize akipotezwa mwanao huyo wa kike unajisikiaje?
"MUACHIENI
@DEUSDEDITHSOKA
HARAKA SANA"