KESI YA KUPINGA TOZO
Kesi ya kupinga tozo katika miamala ya simu iliyofunguliwa tarehe 27/7/2021 na LHRC itatajwa kwa mara ya pili leo saa Nne asubuhi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam
Heri ya mwaka kwa wapenda haki wote.
Nina furaha sana kuona ndugu zetu Tito na Theodory wamepata haki yao ya kuwa huru.
Tuendelee kusimama katika haki bila kuchoka.
Karibuni tena uraiani Tito na Theodory.
#SimamiaHaki
Ufafanuzi juu ya Maoni ya Wadau kuhusu Ujumbe Unaomuonesha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiwa katika banda la Msaada wa Kisheria la LHRC.
#SimamiaHaki
Watanzania wameonesha mwamko mkubwa wa kusimamia haki lakini bado Jeshi la Polisi
@tanpol
limeendelea kumshikilia
@TitoMagoti
kinyume cha sheria. Tutachukua hatua zaidi dhidi ya ukiukwaji huu wa Sheria na Haki za Binadamu.
#FreeTitoMagoti
#SimamiaHaki
Mpaka tunazungumza na wanahabari leo saa nne asubuhi takribani masaa 24 baada ya kutekwa kwa
@TitoMagoti
haijulikani yuko kituo kipi cha Polisi na wala amefanya kosa gani.
#FreeTitoMagoti
#SimamiaHaki
#YouthDay2020
: Nimeitazama picha hii na kutafakari sana wanayopitia Tito na Theodory. Ni zaidi ya miezi saba sasa wakisubiri upelelezi kukamilishwa na Serikali.
Ndoto zao kama vijana zimewekwa rumande bila kujali. Nimejiuliza, je, nchi inajali mustakabali wa vijana wake?
Happy Birthday Tito Magoti!
We miss you so much!
Our prayers are with you, You will overcome all injustices!
You will come out of Prison victorious and stronger than ever!
The LHRC family and Human Rights activists love you so much!
Nakemea kitendo hiki cha kikatili. Adhabu ya viboko ni adhabu ya kikatili na inayodhalilisha utu.
Pia nakemea kitendo cha Mkuu wa Mkoa kutumia madaraka yake vibaya kwa kutenda kinyume na taratibu za adhabu kwa wanafunzi. Mwenye mamlaka ya kumwadhibu mwanafunzi ni Mwalimu Mkuu.
Kwa sauti ya upole kabisa, tuwaulize jeshi la polisi
@tanpol
kuna sababu zipi za msingi za kumshikilia
@zittokabwe
badala ya kumpa dhamana?
Je wameamua kuchagua kuwa mtindo wa kuwanyamazisha wananchi wanaohoji?
#HakiYaDhamana
#Justice4Zitto
This is unacceptable! 😬! Mwanamke sio chombo cha starehe! Huyu daktari amedhalilishwa na huyu kiongozi! Kavunjiwa haki yake ya kuheshimiwa utu wake
@GetrudeShinje
@humanrightstz
Mh.
@MagufuliJP
, watetezi wa haki za binadamu huwa tunasikitika zaidi kuona matukio ya ukiukwaji haki yanatokea bila vyombo husika kuchukua hatua. Suala la
#Teleza
lingechukuliwa hatua mapema lisingefikia hatua hii.
Serikali na vyombo vyake viwajibike kulinda haki za raia.
Leo nimeshuhudia uvunjifu wa Haki za Binadamu mbele ya macho yangu!
Nimewaona akina mama wamependeza na nguo zao nyeupe lakini wanasikitika wamenyimwa Haki ya kujumuika na kula chakula cha usiku (Dinner) Inaumiza!
@hekima
garden
Poleni sana wana
@ChademaTz
kwa Madhila ya Mwenyekiti wenu Mhe Kupigwa na watu wasojulikana. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa Haki! Vyombo vya dola vifanye uchunguzi wa akina!
Congrats
@ChademaTz
for peaceful elections. But I am a bit disappointed with this male dominated top leadership. Please avail more women opportunity to lead. Encourage them and do affirmative action!!
#SADCProtocol
50/50 campaign@
NEWS UPDATE
Tito Magoti and Theodory Giyani are expected to appear before Kisutu Resident Magistrate’s Court in Dar es Salaam on Tuesday January 7, 2019 for the mention of their case. Tito and Theodory face three counts under the Economic Organized Crimes case no 137 of 2019.
TAARIFA MPYA: Pamoja na Polisi kusema wanaye
#TitoMagoti
kwa “Mahojiano na Uchunguzi” hawajatoa taarifa za kituo gani anafanyiwa mahojiano hayo na kwa kosa gani
Magoti na wenzake (kama wapo) wanayo haki ya kupata wanasheria kwa mujibu wa Sheria za Tanzania
#FreeTitoMagoti
Kuna ujumbe unaosambaa katika mitandao ya kijamii kuwa LHRC tunatoa fedha za Elimu ya Mpiga kura. Hizo taarifa sio za kweli zipuuzeni kabisa. LHRC sio wafadhili na mwaka huu hatutoi Elimu ya mpiga kura
Viongozi wetu na vyombo vyetu vya usalama, kwa nini tunakaa kimya wakati watu wetu wanapotekwa na kuteswa?
Je, ulinzi wa haki za raia si kipaumbele tena?
Inasikitisha 😢
#BringBackMdudeAlive
Kigoma is beautiful, the only thing tarnishing her good image is trending incidents of violence against women known as
#Teleza
.
I call upon people of Kigoma and all Tanzanias to respect and protect rights of women.
#Teleza
#Kigoma
#Tanzania
I would like to thank you all for your support and solidarity. While we are working tirelessly alongside a team of legal counsels to defend the two young men, your support outside the court keeps us stronger.
#JusticeForTitoMagoti
#JusticeForTheodory
#SimamiaHaki
I was lost for words! 😍
My esteemed
@humanrightstz
team knew how to surprise me when I got back to the office early today.
With this kind of love, you can’t help it but be more courageous in advancing human rights.
#WomenofCourage
Jana nilipata heshima ya kuwakilisha asasi za utetezi wa haki za binadamu katika kutoa salamu za rambirambi wakati wa misa ya kuaga mwili wa marehemu Veridiana, mama wa mwanahabari Erick Kabendera.
Apumzike kwa Amani 🙏🏿... via
@YouTube
Tanzanian President Samia Suluhu Hassan, has ordered today the reopening of all media houses that were banned or sanctioned in previous years.She said the media should follow the law but has warned against any repression! Congs Madam
@humanrightstz
@fulgencem
"If Advocates do not fight for the Rule of Law in the country, they do not deserve to be members of this noble profession!"
Madam Fatma Karume,
The Outgoing President of the TLS,
(Said during the Opening of the TLS AGM, Arusha, 5th /04/2019)
Mambo ni mengi.
Jumatano iliyopita nilipata nafasi kuzungumza na wanahabari kuhusu tuzo niliyotunukiwa ya
#MwanamkeJasiri
. Moja ya mambo niliyoyatilia mkazo ni pamoja na kuwahusia wasichana kusimama imara kuhakikisha wanafikia malengo yao.
Nawashukuru
@AmEmbTZ
kwa nafasi adhimu
Poleni sana kwa hili, inasikitisha sana. Tuliipinga sheria hii kandamizi kwa uhuru wa habari bila mafanikio na sasa inaendelea kutumika vibaya dhidi ya
#UhuruWaHabari
.
Taarifa ya
@kwanza_tv
kwa umma kuhusu maamuzi ya Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)
Karibuni sana!
Asanteni kwa ushirikiano wenu
Poleni sana ndugu zetu
@THRDCOALITION
. Pole sana
@OlengurumwaO
kwa usumbufu mnaokumbana nao. Nazisihi mamlaka zetu kuchukua hatua za haraka kuwawezesha kuendelea na kazi.
Privileged to have boarded the same bus which Mrs. Rosa Parks did. I sat on the same seat she sat and said NO to discrimination.
———-
Nimefurahi kupanda basi lile lile na kukalia kiti kile kile alichokalia mama Rosa Parks na kupinga ubaguzi wa rangi.
#IVLP
#WomenofCourage
Siku 100 Rumande: Kesi ya Tito na Theo yaahirishwa tena!
Upande wa waendesha mashitaka wamedai upelelezi bado haujakamilika. Shauri liliendeshwa kwa njia ya video conference kwa sababu ya janga la Corona Virus na washtakiwa wameilalamikia Mahakama mazingira magumu wanayopitia
Kwa mujibu wa mashuhuda
@TitoMagoti
amechukuliwa kwa mabavu na watu wasiojulikana mnamo Disemba 20 mwaka 2019 majira ya saa nne asubuhi eneo la Mwenge jijini Dar es Salaam ambapo alifika kwa lengo la kujinunulia simu.
#BringBackTito
Kupitia uamuzi wa Mahakama ya Afrika Mashariki uliotolewa Juni 21, 2018 kuhusu kufunguliwa kwa gazeti la Mseto tumepata mwanga na tumaini jipya la kupigania
#UhuruWaKujieleza
kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya Katiba.
Haturudi nyuma katika utetezi wa haki za binadamu
#TimizaWajibuWako
Natoa pole kwa familia za waliopoteza watoto wao kwa ajali ya moto huko wilayani Kyerwa, Kagera.
Tuzidi kuwaombea majeruhi wa ajali hiyo wapate ahueni na kupona haraka.
🙏🏿
Katika kuadhimisha
#SikuYaMama
, tumheshimu na kumjali mama.
Mchango wa mama ni muhimu sana kuanzia ngazi ya familia mpaka ngazi ya taifa.
Tuache na tupinge ukatili dhidi ya wanawake.
#MothersDay
Nawashukuru wadau wote kwa kuipokea vyema Ripoti ya Haki za Binadamu Tanzania 2018 ()
Binafsi nimeguswa sana na ukiukwaji mkubwa wa haki za watoto ulioripotiwa katika ripoti hiyo. Nawaasa kila mmoja kudumisha ulinzi kwa watoto
#HumanRightsReport
#Tanzania
I really feel humbled and grateful to be part of 10 International
#WomenofCourage
2019 out of billions of women all over the world who are striving to bring about positive changes in their societies.
Thank you very much
@StateDept
for this recognition.
As we celebrate the life of the late Mwl. Nyerere, we should as a nation uphold respect for people’s basic freedoms of opinion and participation for inclusive and sustainable development.
#NyerereDay
Hii mbaya sana jamani. Hawa watu wanaoitwa wasiojulikana wakamatwe wafikishwe kwenye mkono wa sheria haraka sana! Huyu ni mgombea urais anastahili heshima zote.
@tanpol
@humanrightstz
Kodi! Tozo! Changizo!
Kulipa kodi ni muhimu katika maendeleo ya nchi ila isiwe mzigo
Mshahara nakatwa kodi!
Nikitoa bank /simu Tozo
Nikimtumia mama kijijini Tozo
Nikununua sabuni kodi. Niki nunua Petrol kodi ya barabara - Bado Tozo za kumwaga uchafu!
Suala la uwepo wa watu waiojulikana wanaoweza kuvunja haki za wangine bila kuwajibishwa ni kiashiria kibaya kwa ustawi wa Tanzania yenye upendo, amani na utulivu.
Natoa pole kwa
@freemanmbowetz
kwa madhila yaliyompata. Ninaamini hatua za kisheria zitachukuliwa.
Ubalozi wa Marekani (
@AmEmbTZ
) waungana na Dkt. Helen Kijo-Bisimba kumpongeza Bi.
@HengaAnna
kufuatia kutunukiwa tuzo ya Mwanamke Jasiri Duniani.
Katika picha: Washiriki wa hafla fupi iliyofanyika ofisi za LHRC mapema Jumatatu, Machi 25 wakifurahia keki kutoka
@AmEmbTZ
.
Hakuna kupumzika mpaka tutakapoifikia Jamii yenye Haki na Usawa.
Tujengeane uwezo, jamii ikielewa kuhusu haki na utawala wa sheria tutaishi kwa amani na usawa.
#Kigoma
#Tanzania
Mauaji ya watoto Njombe. Napongeza hatua zinachukuliwa dhidi ya watuhumiwa wa unyama huu dhidi ya watoto wetu. Lakini ninasisitiza mamlaka zizingatie misingi ya Haki za Binadamu katika zoezi zima. Mtu asionewe!
@humanrightstz
@tanpol
Tunashukuru
@moodewji
amepatikana akiwa salama.
Jeshi la Polisi (
@tanpol
) lisipumzike, liendeleze msako kwani ndugu zetu waliotekwa na kupotea bado ni wengi.
Detaining a suspect in prison for a longtime without trial is against the law according to the Constitution of the United Republic of Tanzania and an act against human rights. They should be taken to court or freed from prison
Breaking News: Imprisoned Tanzanian journalist
#ErickKabendera
's mother Ms Verdiana Mjwahuzi has passed away at the age of 80, the family has confirmed.
Eric's mother died on Tuesday, December 31, 2019, at Amana Hospital in Dar es Salaam Region where she was receiving treatment.
LHRC tunalaani kitendo cha Utekwaji wa watu wawili akiwemo Mwenyekiti wa Kamati ya Uzinduzi wa Umoja wa Kudai Katiba Mpya Tanzania (UKUKAMTA). Jeshi la Polisi lifuatilie na kuweka wazi kama wanawashikilia basi waweke wazi kituo cha polisi walipo ili wapate haki yao ya kikatiba