@eastafricatv
Ndio tatizo la Tff kutaka kubalance gender mnamlete kijumbe kuchezesha mpira wa wanaume,kazingua sana leo aende huko akawe mwenyekiti wa kikoba atuachie mchezo wetu pendwa
@AgentNjovu
Umenikumbisha mimi nyumba ya bi mkubwa ilikuwa inataka kuvunjwa na tanroad nikampigia mwana Nyarugusu akaniambia nimtumie 4670 Net!Siku ya bomoa bomoa nyumba ilirudi nyuma yenyewe walivyomaliza na kuondoka ikarudi ilipokua 🥹
@CarolNdosi
Girlchild wa kizazi hichi wanalewa kama baba zao na kubanjuka tuu wakati Girlchild Neema Swai Yeye aliishi kama alivyo lelewa na mama yake!!we unadhani una kucha kama za mwewe utaweza minya vitufe vya ndege!una kope ndefu kama mapanga ya feni utaona landing stripes kweli 😃😃😃
@Kiganyi_
Point of interaction nenda kaa counter ya CTFM agiza Moeét tuone kama kuna mtu atakusumbua !!mnaenda mnaagiza Crushers za 15k mnakunywa two hours in a simple note you look desperate
@Sirjeff_D
Umetumia Wino Mwingi Wa Simu Yako kuandika aina mbili tuu za Magari Hapo wewe unajua umeandika gari aina nne,inshort hapo ungeandika
Jaguar Na Landrover Tuu Maana Discover,Range Na Defender Zote Zina Fall Kwenye Category Ya Landrover
@ze_mandevu
Watu wote ni wanaume ila wanawake kabla ya kuletwa duniani wanafanyiwa marekebisho kwenye karakana huko mbinguni ili wawe mademu,wanawake wote wenye ndevu walitoroka wakiwa kwenye foleni ya kuingia karakarani!
@Neypaul01
@Neypaul01
hiyo meza uliyotingisha ina vinywaji watakumaliza wenyewe 😀😀😀😀😀hawapendi hilo swala kabisa lizungumziwe kwa njia yoyote ile iwe kwa amani au shari 😀😀😀
Kuna watu Wameniuliza why sijaoa na Niko 40?Jibu langu ni kuna kipindi like 13 years back nilitaka kuoa Ila Baba Mkwe akaniambia “GO FIND A REAL JOB AND COME BACK FOR MY DAUGHTER ” Sijarudi hadi leo 😀😀😀😀Hadi Now Binti yake kawa msimbe na simtaki tena 😀😀😀😀