Nchi inachezewa,Katiba inavunjwa,mali za uma zinaibwa,Wananchi wanapuuzwa wanabambikiwa kesi za hovyo kwamanufaa ya wanasiasa hasa ccm,kama jeshi hamuyaoni haya? Watz wamefika mahali wamechokaa,JWTZ lindeni Katiba yetu,rasilimali za nchi na Wananchi,siyo wanasiasa mafisadi.