Uzii 👇👇👇👇✍️🚘
vitu vya kuangalia ununuapo Gari mkononi
Unaponunua gari lililotumika bongo unatakiwa uangalie mambo mengi sana kwa sababu hapa ni sawa na kubet.. mpira wa man u na Everton
Kwanza usipende kununua gari lililooshwa injini mchana na wewe ulinunue jioni
UNAJUA MAGARI YANA MFAAA MTU WA HALI YA CHINI??
Unajua Gari gani ambayo haina mechanical problems?
Unajua Gari yenye Cc ndogo sana yanagharimu zaidi pesa kuliko ya yenye cc kubwa
Watu wengi wamekuwa vipofu kujiuliza gari ipi ni sahihi kununua kwa gari yake ya kwanza ,
Je umeshawahi kujua aina ya mafuta unayotakiwa kuweka kwenye gari lako au we we kila sheli fresh tuu. Ukikuta super poa ukikuta unleaded sawa basi nakujuza kuwa 👇
Mara nyingi huwa imeandikwa kwenye mfuniko wa tank la mafuta.
Mafuta gani yanafaaa kuwekwa sio, ilimradi mafuta.
service za uhakika au laa Mwisho kabisa peleka gari CAR WASH likaogeshwe kuondolewa gundu....pengine gari hilo lilikuwa linatumika .yaani ni guest house...
Au litakase kwa imani yako coz wengine wanazindika magari yao kwa waganga
🙏🙏🙏🙏
kuna sehemu nyingi zinavuja oil hivyo wameosha ili kumhadaa mteja.Washa injini, itapendeza zaidi kama injini itakuwa imepoa yaani gari halijaendeshwa kwa muda wa masaa sita na kuendelea....hii itasaidia kuona uwakaji wa injini ni wa kulazimisha au inawaka kawaida,
Kama ni mweupe kama mvuke basi gari linaunguza coolant kwenye combustion chamber, kama ni wa blue basi linaunguza oil.
Je injini inatetemeka?Hapa yaweza kuwa misfiring au Mounts zimechoka Injini inapokuwa ON, je bado kuna taa za tahadhari zinaendelea kuwaka kwenye dashboard..?
7.matumizi,vijijini
8.gharama ya vipuri
7.Mengineyo
Unapo nunua gari jaribu kurejea hayo, usiangalie kigezo kimoja kutoa maamuzi, kwa mfano matumizi ya mafuta unanunua gari mbovu ,kisa gari haili mafuta yaani cc chini, sasa jamani gari unataka ile kashata au bagia?
je ikishawaka RPM ipo ngapi, na RPM inashuka kwa wakati na kufikia kiwango kinachohitajika..?Je sailensa yake ikoje, ipo rafu au imetulia?Je unapowasha hakuna pipe yoyote inayovuya aidha hewa, maji au oil..?Je unapowasha moshi wake ukoje, mweupe au wa blue kwa gari za petrol...k
Uzi wa ununuzi wa Magari yaliyotumika 👇👇👇👇
Hatua za kufanya wakati wa utafutaji wa ndinga 👇
1- bajeti yako kiasi Gani?,baada ya kununua gari Kuna gharama ambazo lazima ujue A,Bima,spea,service,Mafuta ,utengenezaji wa hapa na pale .
Kama zipo je ni zipi?Kagua sehemu za chini zenye maungo yanayozunguka kuona kama kunavuja grease au oil kwa mfano Boots za CV joints Na ukiridhika kununua gari kwa mbongo, liendeshe kwa umakini kwenye barabara mbovu ambayo si lami...hii itakusaidia kusikia kama kuna sehemu
Kutaka ku verified hatua hizi
1- Tafuta chases number ya gari unayotaka kununua
2-ingiza kwenye website EAA(E-certificate
3-mara nyingi zinakuwa kwenye mfumo wa xxxx-xxx
4-kisha check details utaona taarifa za gari ikiwepo inspected mileage
Tuishi humo.
gari husika, peleka garage....Mwaga injini oil weka unayoiamini, badili Spark plugs, badili air filter kama imechoka, badili fuel filter, badili transmission fluid na uweke uliyopendekezwa.....Kwa nini ufanye yote haya..? Ni kwa sababu hujui mtumiaji wa awali alikuwa anafanya
@mkandamizaji
Siku Mzee alipokuwa anaumwa anarudi Mwanza ,nipo Darasa LA 7 ananiambia nakuachia wadogo zako,mama yako uwalinde na kuangalia kila kitu nyumbani ,
zinagonga gonga na kama una utundu wa magari utagundua kuwa milio inayotoka ni major issues au minor issues..Washa gari sehemu ambayo ni tambarare, kama ni auto weka D kisha achia brake usikanyage mafuta...Gari likiondoka taratibu ni ishara kuwa gear box bado nzima...
Kagua ubora wa body, je imerudiwa rangi au haijarudiwa., kama imerudiwa rangi penda kujua ni kwa nini, huenda gari lilipata ajali Kagua mambo mengine madogo madogo mfano AC, Wiper, Power Windows,Power mirror na kadhalika Endapo umekagua mambo hayo na ukaridhika na ukaamua kununua
(hii si guarantee) likikataa kuondoka mpaka ulazimishe kwa kukanyaga mafuta, basi gear box imeanza kuchoka Endesha gari hilo kwenye high way ili uone uchanganyaji wake, kwenye miinuko ya kawaida jaribu kuona kama lina pooling ya kufikia angalau speed 100.
lakini kabla huja anza kujikuna kichwa hemu tuweke dondoo za vigezo husika vya kujiuliza.
1.ubora wa injini
2.uimara wa body ikiwa mpya na baada kupata misukosuko
3.matumizi ya mafuta
, yaani usalama wa gari
5.historia la gari husika.
6.Rangi
Je ni sahihi kununua gari Kwa kuangalia plate Number?
Wadau wengi wanunua Gari Kwa registration hasa za mkononi kuliko kujua ubora wa gari ,,gari sio Registration
Twende na maoni 👇👇
Tupate somo LA Gia za L,2,3 Na O/D👇👇👇
Katika gari za AUTOMATIC kuna gia za *L, 2, 3 na O/D Kwanza ujue kabisa katika hali ya kawaida gari yako inapaswa kuwa katika ‘’D’’ kwa maana ya ‘’DRIVE’’ na hii inategemeana na mazingira ya barabara na hali yali ya hewa kama ni nzuri ila
Social media influencer are people who have built a reputation for their knowledge and expertise on a specific regular posts about that topic on their preferred,generate large followings of enthusiastic, engaged people who pay close attention to their views.
#Funguka
*Ford Everest(CHF)*
Model 2012
Cc 3000
Engene WEAT
Fuel Disel
Automatic gear
Air condition
Colour silver
From Japan
Location DSM
*Price 7.9 mln*
0653290966
RAV 4 KILL TIME
GARI NAMBA A KAMA NAMBA D kaliii
Full ac
Engine 1AZ
Cc.....1990
Millage.....98,000 hatari
Engine mpyaaaa
No ajali
BEI.........7.5 milion
0653290966
Location DSM
On Sale 🚘
AUDI A4:DW(H)
YOM:2004
E.Capacity:1990Cc
3SRS Airbag✅
Odo:55,240KMS
Colour:BLUE✅
Imported from:Japan
Full Ac
New Seats
New Tyres
Fog Lights✅
RIMS SPORTS✅
No Technical Problem
Full Documents ✅
Price:Tzs 7.8Mil-NEG ✅
📍Dar Es Salaam ✅
Nissan dualis DGW
*Bei milion 13.5
Year 2007
Engine cc 1990
Automatic gear
Fuel used petrol
Full air condition
Full options/sun roof
Rims sports/new tyree
No accident records/unpainted
Very good condition
Toyota IST
Full document
Full baridi la mvua
Good condition
Fanya kuja chap ujiokotee Embe mtini usingoje liive lianguke litapanda bei
Bei 5.7M
Njoo na fundi
0777293300
Toyota Grande Mark 110
Full document
Engine beam
Well maintained
Ask for 4.5M
0653290966
Unyama wa chini huu njoo na vx mi nikamate ndinga tuonyeshane Road.
Jenga Maisha Yako Kabla Hujaanza Kujenga Maisha Ya Wengine Binadamu Wanaweza Kutumia Jasho Lako Kukidhi Mahitaji Yao.
Halafu Kesho Hao Hao Watakuuliza Tangu Umeanza Kufanya Kazi Kipi Umekifanya Cha Maana Katika Maisha Yako? Wanasahau Kua Jasho Lako Liliwanufaisha Wao.
#NipeDili
Pata Pizza kwa Radha ya kiutofauti kabisaaa na ulizowahi kula before .
Hii ni chicken pizza Tsh 10,000/
Tupo maeneo ya ubungo maziwa Fanya kutupigia agizia ukipendacho Tukuletee
0718643400.
Wakati unachagua Gari la kununua ,Je unachagua Aina ya body linalobeba Engine au Aina ya Engine ?👇👇👇👇👇
Ni maswali ya kijinga Sana Ila Yana umuhimu Sana,na hapo ndio linapokuja suala la ulewa Magari linapoanziwa
Mpoli mpoli huo aka Mandolin
Land rover 🚘🚘🔥🔥🔥🔥👇👇
Model 110
Cc 2400
Full document
All tyre new
Well Maintained
Ask for 11M
0777293300
Njoo na fundi ukague uchukue chuma .
Piga simu ukiwa njiani
Toyota Carina TI
Wagosi chombo hiyo ..bado mbichi
Bei ya MSImu wa mfungo
Full documents
Full Ac
Good condition
Njoo ukague na fundi
Bei 6M
Contact 0653290966
Fungua mwaka na Gari ya ndoto yako🔥🔥🚘🚘🚘👇👇👇
BMW 3 SERIES
Engine
Cc 1998
Petrol
Automatic
Year 2010
Full Ac
Radio Support AUX, BLUETOO
Full Option
Sunroof
Leather Seat org from Europe
Sports Rims
Full Document
Bei 14.3M
0777293300
BMW
*Haya kigari cha kutengeneza brand Kwa bei rahisi roof yake inafunguka na kufunga vizuri*
BMW 330
*Gari nzuri sana*
Reg# CP
Color *Black*
Engine RE05
Cc 2979
Bei 7.8M
0653290966
Porsche Cayenne's | Reg # DKH
° Year Of Manufacture : 2006
° Engine Capacity : 4500
° No Any Mechanical faults, CAR still in Super Excellent Condition
PRICE : 30 millions
0653290966
@rollymsouth
Jambo jema Nadhani hakuna linaloshindikana chini ya jua Kama Bonanza linafanyika why club ishindikane kutujengea afya ya ubongo .bila kusahau darasa la ujasiriamali vijana Tunawaza na kuendelea kusubiri ajira zije serikalini
Wakulungwa wataielewa hii Ila wazee wa automatic hawatazipenda hivi
Land rover
Nailengesha
Wel maintained
Full document
Bei 5.5M
Njoo na fundi wako ukague ubebe
Location Tegeta
0777293300
Maswali yasiwe mengi Shida Ada
Rav 4 kipisi
Bei 2.4M
Chap njoo ujiokotee punguza maswali mengi njoo na fundi ucheki ukiweza ondoka na chombo .hakijapaki hicho .
0777293300 piga simu ukiwa na muda wa kuiona sio kuulizia location tuu .
*INALENGESHWA IST/EAB
ALMOST GARI MPYA
Year 2006-2007
Engine Cc 1290
Full AC
Full documents
Good Condition
*From Japan sio jecha*
Location DSM
*Price 11.5mil*
0653290966
Uzii👇👇🚘
POWER STEERING FLUID
Tunaendelea na elimu juu ya gari yako,tunazungumzia kati ya FLUID tano muhimu za kuangalia kabla hujawasha gari yako na kutoka ni Power STEERING FLUID,hiki ni kilainishi cha system nzima ya usukani wako wakati wa uendeshaji wa gari.
Cc
@SingiziJr
Toyota Ist *Ada January hiii*
No......DVB
Cc 1290
Mint Condition
Low Mileage
*Price ml 7,500,000/*
*Boss amekwama sana Ada January hiiii*
Njoo na mtaalamu wako.
0777293300
Uzii, 👇🚘🚘🚘
Overdrive ni nini?
Overdrive ni gia katika mfumo wa gari uifanya gari kuwa katika spidi kubwa huku mzunguko wa injini ukiwa mdogo, OD ni gia ya mwisho inayokupa mwendokasi ambayo inakupa mwendo uliotulia, wa kasi lakini kwa mzunguko mdogo wa injini (RPM)