Dedan Chacha Wangwe Profile Banner
Dedan Chacha Wangwe Profile
Dedan Chacha Wangwe

@DedanWangwe

13,010
Followers
948
Following
704
Media
11,979
Statuses

A Jurist. Political & Human rights Activist. Chairperson CHADEMA Youths Wing for Ilala Party Region.

United States of Africa(USA)
Joined January 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
26 days
Bado hakajapost tangu Jana. Nadhani kapo mahali kanakula na kunywa huku kamezikumbatia HAKI sake.🤣
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
103
99
615
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
4 months
In sha Allah (Mwenyezi Mungu akipenda) kama Bunge letu litaendelea kuwa hivi lilivyo, nitakuja Kusepa na hii Kitu pia. Tuseme Amiin🤲🏼
Tweet media one
196
153
2K
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
Mwezi kama Huu Baba yangu Marehemu CHACHA WANGWE Alizaliwa. Mwezi kama Huu 2008 Nilimpoteza😢. Pia Mwezi kama Huu Tarehe 24 Nilizaliwa. Kumbukumbu zote hizi huniijia Mwezi Huu. Yote kwa yote Mwenyezi MUNGU ni mwema.
Tweet media one
77
74
2K
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 year
Nimepigiwa simu Nyingi sana Mapema leo na Watanzania Wenzetu wa Ndani na Nje ya Nchi. Wengi wakitaka Kuthibitisha kama sisi wanafamilia tupo salama. Hakika Nauona Upendo Mkubwa sana kutoka kwenu. Lakini Niwaombe Nyote kuwa watulivu, wengi wetu tupo Salama na
Tweet media one
41
126
2K
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 months
"Rais Samia...Ipo siku atakuja kutukuta tumezishikilia Silaha" Ni maneno ya Kijana Aliyepoteza Imani na Matumaini kwa Serikali yake.
50
294
1K
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 months
TRC, Wazee Badilisheni hata channel, Wekeni hata Ngoma za kikwenu. yaani kutoka Dom mpaka nakaribia Dar Mativi ya Treni yenu ni Mama mama mama mamaa! Kwani hii treni ni ya Familia yake.!?🤒
67
128
1K
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 months
Washaurini hawa Vijana wamtaje Afande aliyewatuma na Wajisalimishe kwa uwazi kabla hawajakamatwa huko Gizani. Kukaa kimya wanajiweka hatarini zaidi, Jeshi la Polisi au huyo Afande Aliyewatuma atatamani kuficha ushahidi ili abaki salama na Jeshi lisipakwe matope ya dhambi zao.
Tweet media one
91
93
1K
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 months
Kijana anajiongeza kwa fedha zake na kidogo kutoka Kwa wadau, Ili aendeshe mdahalo wenye tija kwa Taifa, bila Aibu Mtu mzima ANAKIMBIA Kwa kusingizia kikao ambacho hata kama angeondoka Asubuhi au Usiku huu baada ya Kipindi, Dodoma angefika. Pole sana kwa hasara kaka Odemba.
Tweet media one
33
131
1K
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
Huwa Sitaman kuwajibu watu Kama huyu, ila Leo Ngoja nipoteze Dakika kadhaa hapa😎 Hivi tuhuma za Mauaji ya Hawa Viongozi (Moringe Sokoine na M.Mtikila. Mwenyezi MUNGU Awarehemu) Kwa Mbinu ileile ya Ajali za mchongo iliyozoeleka Nchini, Vipi na wao waliutaka Uenyekiti CHADEMA?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
86
192
1K
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
4 months
Hapa Airport pamenifanya nigundue kuwa, Kuna Vitoto vya Miaka ya 2000 vinavyojielewa sana kwenye hili taifa na vimejijengea heshma kubwa huku mitandaoni kuliko kwenye maisha halisi kwa kutumia fake IDs. Sema nini, Nimewakubali zaidi wanetu. Naamini Taifa litapono hivi karibuni✊🏼
16
108
1K
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 year
MJADALA WA BANDARI KATI YA WANANCHI NA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI (G.Msigwa) SEHEMU YA KWANZA (01) G. MSIGWA: Kumekuwa na Upotoshaji juu ya Makubaliano haya, Leo Mtajua mbivu na Mbichi Kuhusu Mkataba wa Bandari. WANANCHI: Ah! Kwani Kati ya Ninyi watu wa Serikali na Wananchi nani
Tweet media one
60
171
1K
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 years
Retweet Yako moja inaweza kumpa ndugu huyu ajira. KARMA (Just a Single click🔄rescue the whole family behind him) b👈🏼
Tweet media one
8
773
967
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 year
Nimejaribu Kufanya Uchuguzi mdogo wa HOJA zinazoaminika na Kufuatiliwa na WANANCHI wengi, Kuhusiana na Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari za Tanzania Barara, kati ya Serikali ya CCM na Kampuni ya DP World. 1: WAKILI MWABUKUSI: Watu 122,000 Ndani ya Mwezi Mmoja. 2: Mwanasheria..
Tweet media one
Tweet media two
43
115
921
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 month
Nimepokea taarifa za Uhakika kutoka kwa watu wema ndani ya Uongozi wa S/Mitaa. Mitaa 46 Kati ya 62 iliyopo Jimbo la Segerea imethibitisha kupokea taarifa ya Ukamataji wa Viongozi wa CHADEMA unaotarijiwa hivi karibuni. POLISI kama mnatuhitaji tuiteni, Nchi hii "Siasa" si JINAI!
14
164
940
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 years
Sasa Hawa Police zaidi ya 200 walio Jaa hapa Hotelini mbona nizaidi ya Kongamano. Au wao wana Chanjo Ya Uviko-19 au wao ni Robots? 😂😂
39
79
892
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 month
RCO Kinondoni Ameagiza gari zilizojaa Askari Polisi walio Jihami kama wapo vitani kumkamata Mhe. @TunduALissu nyumbani kwakwe Nje ya geti nyumbani kwa Mhe. @freemanmbowetz tangu Jana Usiku Polisi wamelala hapo. Viongozi wengi wa CHADEMA wamekamatwa. Hilo halisaidii TUNAADAMANA
5
159
906
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 month
Ni zaidi ya wiki nzima sasa, Dar es Salaam imejaa Polisi, Wanajeshi na Vijana wa JKT kila kona. Wengine niliwahi kuwa nao Kambi flani hapa Tz. Kitendo hiki kilipaswa kuwa faraja kwa Wananchi endopo wote hawa wangekuwa wamekuja Kushughulika na watekaji na wauaji. Ila ni Kinyume🥹
16
128
877
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
4 months
Ule utabiri wa Sheikh Yahya kuhusu 2025 Unasemaje vile?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
26
81
814
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
NAOMBA NISIELEWEKE VIBAYA‼️❌ Si Chuki, Wala Sina gonjwa la Udini Wala Ukabila kama wengi wanavyo wahukumu wengine pale wanapokemea Jambo Fulani. Hapa yupo Raisi William Ruto na Makamu wake, F Mbowe na Marehemu JP Magufuli. Wote hawa ni Waumini wa Dini ya Kikristo.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
170
138
791
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
10 months
Ninachokisikia Hapa ni; HAMAS 01: Usiongope, Mmetushambulia? Mmetushambulia. HAMAS 02: Wenye Bunduki sogeen/Njoeni.! > Kutoielewa Lugha, Ameshindwa Kujitetea🥺 > Kukosa Hata Vitambulisho vyake > Baadhi ya Mavazi yake Kuwa na viashiria vya Kijeshi Inasikitisha Sana. Vita Haina👁️
Tweet media one
206
73
773
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
11 months
KIJANA HUYU NI MTANZANIA KWELI.!? Clemence Felix Anasemekana Kuwa ni Mtanzania Aliyefariki huko Israeli. Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya nje inathibitisha Taarifa hii Kwa Dosari Nyingi zinazoibua Maswali mengi Kwa Watu. Inahisiwa Kuna Dalili za UFISADI katika hili ama 👇🏻
Tweet media one
Tweet media two
122
42
762
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 year
Ndugu zangu Nimeipokea Taarifa ya kushtua kutoka kwa mtu nisiyemfahamu na Siwezi Kuipuuza. Kama ni Kweli, Naisihi Serikali ya CCM na wote waliopo Nyuma ya hili Kuachana na Mipango hii, Italigharimu Taifa. Tambueni hili halitotunyamazisha Vijana. Tatueni Tatizo, na si Kulikuza.
Tweet media one
49
216
759
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
10 months
Picha hii ni ya Miaka 07 iliyopita Baada ya Kuslim. Ilinichukua zaid ya Miaka 02 Nikiisoma Kur'an tukufu na Kujfunza Kuhusu Uislam kabla ya Kuchukua maamuzi ya Kurejea katika Uislam. Niligundua Uislam Unaendana sana na tamadun nyingi na bora za KIAFRIKA. Ilikuwa rahisi Kuuelewa.
Tweet media one
140
77
713
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
4 months
"Wa-Tanzania Mjue, tunaporuhusu dhulma kwa Mawakili; maana yake tunaua msingi mkuu wa Utawala wa Sheria." Wakili Boniface Mwabukusi
Tweet media one
0
66
715
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
11 months
Hivi Idadi ya Vifo inayotajwa ni sahihi kweli, Au wanajaribu kulidogodesha hili Janga.!? Tazama Watu walivyosombwa na Tope Kateshi🥺
114
206
693
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
Raila Kacheza kama Pelle katika Haya Maandamano ya Kudai gharama za Maisha kushushwa.🙌🏼 >Kwanza Akayatangaza kama Mapinduzi ya kumtoa Ruto Ikulu(Kuwatia hofu). >Akatangaza Siku ya Mapumziko Kama Vile Raisi😅 >Akatangaza kituo Cha makutano Lakini Kaibukia kwingine(Kawapote Polisi)
Tweet media one
20
37
692
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 months
Ng'ombe Ametii na Amegeukia Kibla tayari kwa kuchinjwa. Campaign manager naigia mzigoni rasmi. Mapema sana kuna Majitu yatajitoa kwenye uchaguzi kutoroka hiki kivumbi😂😂
Tweet media one
Tweet media two
7
94
664
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 months
Kumekucha sasa! Nani ana nafasi tukutane hapo "Manzese" tuhakikishe Mwanetu @ExMayorUbungo Anarejesha fomu yetu ya "Uenyekiti" wa Kanda ya Pwani? Anapaswa Akabe kitengo ili haya Mapambano yaendelee, tuzuie Utekaji na Mauaji ya Vijana na Wananchi kwa ujumla, ndani ya Kanda yetu.
Tweet media one
24
83
645
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 months
Jumla ya Kura zilizopigwa na Mawakili wa "X Law Society(XLS)" ni = 2,530 👉🏻Wakili Sweetbert Nkuba Amepata Kura 102 Sawa na 04% ya Kura zote. 👉🏻Wakili Boniface Mwabukusi AKA Mwaisa Mzalendo, Amepata Kura 2,428 Sawa na 94% ya Kura zote. NOTE:Dodoma tunaenda kumwapisha Mwaisa!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
16
90
639
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 months
Inamana amekosa mifano mingine kabisa!? Ametukwaza Sana🤒
Tweet media one
19
11
635
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
11 months
UBADHIRIFU SERIKALI ZA WANAFUNZI WAKITHIRI, WAKUU WA VYUO NA CCM KUHUSISHWA. Baada ya vyuo vingi ikiwemo DIT(Dar es salaam Institute of Technology) Sasa ni SAUT(St. Augustine University of Tanzania) Mwanza. Huyu Anaitwa Kabado C. Kabado Rais wa Serikali ya Wafunzi SAUT Mwanza👇🏻
Tweet media one
Tweet media two
62
101
627
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 months
Juzi alikuwa brother Madeleka, Leo tena wamemkamata na kumuweka ndani Wakili Dickson Matata hapa Kibiti. Hii nchi umuhimu wa kuwa Wakili na mtetezi wa raia, upo wapi?
Tweet media one
4
107
621
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 months
Boni yai anasema, "We huogopi"😂 CCM nyie hamuogopi?
Tweet media one
3
51
562
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
7 months
Tumefika Kituo cha Polis Tabata Kufuatia kushikiliwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Segerea ndugu @PatrickJAssenga . Hii ni Baada ya kushirikiana na Wananchi kuzuia mazishi ya kijana wa Bodaboda aliyeuawa kikatili usiku wa kuamkia Juzi.
Tweet media one
6
71
556
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 months
Mali safi yenye Bongo Safi kabisa🔥 Newly Elected Chairperson CHADEMA Youths council Kigamboni constituency, Hon. Sheila J. Mchamba
Tweet media one
7
36
542
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
26 days
👉🏻Pale nyuma ya nondo si pazuri kukaa hata kwa saa moja, lakini Hadithi ya Tata Madiba wa SA inatufanya tusipaogope. 👉🏻Risasi si Mchezo, lakini kumwona Uncle Lissu anapumua leo, Mioyo yetu hupata ujasiri. 👉🏻Boni Yai kunyimwa Dhamana inatuumiza Sisi wadogo zake, familia yake, ↓
Tweet media one
7
76
532
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
4 months
Kama huwezi kununua ki-revolver cha risasi 06, Kijana tembea hata na Mmbisu🗡️ wa kumtegua koromeo mtekaji hata mmoja. Taifa limejaa vibaka wenye vibali hili.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
89
524
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
8 months
"Sie tusiotaka Maandamano tunapita wapi Sasa.! Hata kama Hali ni ngumu nd'o mlalamike wengi kiasi hiki?"😡
Tweet media one
18
55
494
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 year
Akili Kubwa Pekee Nd'o Inaweza Kumwelewa ASKOFU Shoo. 👉🏼Kapiga Spana Kisomi 👉🏼Kawasimanga Kitaalamu 👉🏼Kawabagaza Kiintelejensia Matapeli wote na Madalali wao Waarabu. Nakazia; "KANISA LINAUNGA MKONA UWEKEZAJI." Nini Maana yake; Linaupinga MKATABA FYONGO tu.😄
Tweet media one
42
61
490
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
"Lazima tuwe na utaratibu ambao Serikali ikitaka kukopa, iende kuomba kibali Bungeni na Kueleza Mkopo ni wa Kazi gani. Bunge liwe ni la Wabunge waliochaguliwa na Wananchi, Sio Wabunge wa kuteuliwa Kwa kutumia Dola kama Hawa wa sasa." Mhe, @HecheJohn Mbunge wa wananchi.
Tweet media one
19
82
471
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 months
Sasa wazee hiki Chuma tunasepa nacho Ama mnasemaje?
Tweet media one
15
65
457
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
4 years
Hivi Bila CCM Unadhani tungekuwa wapi Nchi Hii.?
108
10
418
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
10 months
Haya Mauaji yaliyotekelezwa na Askari Polisi Tar. 27/12 Kwa kuwapiga Risasi Hadharani Vijana Aboubakar na Babuu, Kata ya Vingunguti Jimbo la Segerea. Yananikumbusha Kifo Cha Rafiki Yangu wa Utotoni. Kijana wa Mstaafu wa JWTZ na Kada wa CCM. Aliuawa na Polisi kikatli kwa
Tweet media one
18
34
442
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 month
Mliopo hapa Ilala, Muwe makini na Kila unayejadili nae lolote kuhusu Maandamano. Wapo watu wamevaa Kiraia, pingine ni Polisi wanawanyang'anya watu simu na wanamkamata yeyote wanayemhisi. Mashaka yangu ni kwamba, Ni salama kiasi gani kubebwa na watu hawa wasiotambulika?
2
73
447
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
10 months
Hakika sifurahishwi na Kifo Cha Kijana mwenzangu wa Kitanzania. > Lakini nilijiuliza sana kwanini walikuwa wanamsakama wakisema Amewashambulia🤔 > Nilijiuliza sana Kwanini wamkatili yeye pekee Njiani pale, na Kuwaacha Wapita Njia wengine!👇🏼
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
117
27
429
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
6 months
MH.FAM: Mjukuu wangu Hongera sana Kwa Ujasiri. Lakini Ulipaswa kuwa Shuleni wakati huu, Elimu ni Muhimu! BINTI: Babu Shuleni hakuna waalimu wa kutosha. Mama yangu ni Mwalim lakin Hajaajiriwa. Nipo hapa kuhakikisha anapata Ajira, nami nipate Elimu bora. Sitaki kuwa Msomi chawa!😅
Tweet media one
14
53
428
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 year
Hii Mbegu moja ya CHADEMA na Mzalendo wa TAIFA hili. Ni zaidi ya Bunge Zima la CCM. RT Kwa Dada Fatma Ramadhani Thabit
Tweet media one
Tweet media two
15
153
423
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 months
Msisiem hajaridhika na mchakato wa Uchaguzi wa TLS baada ya Kushindwa Kwa kipigo cha zaidi ya Kura 400🤣 Binafsi natamani Ombi lake lisikilizwe, Mahakamani ashinde rufaa yake na uchaguzi urudiwe. Hii itatoa somo kuwa kuna haja hata Matokeo ya Rais wa JMT Kupingwa Mahakani pia.
Tweet media one
6
50
427
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 month
Huko Tik Tok Kuna Jamhuri mpya inakua kwa Kasi Sana. Ukinigusa au Kuigusa CHADEMA ni sawa na kujitafutia Vita na Raia wa huko🙌🏼 Tusambaze Elimu popote. Ipo siku huu upendo na kuteteana utatoka Mitandaoni mpaka Mitaani kwetu. Tusichoke, Ushindi wa Watanzania Ukaribu.✊🏼
Tweet media one
Tweet media two
5
72
422
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 year
Tupo kituo Cha Polisi (Central) Dar es Salaam. Tumelazimika kuripoti pamoja na Vijana wetu Baada ya Kupokea Taarifa zenye viashiria Vya nia Ovu ya Kuwapatia Kesi nzito ya Kusukwa. Hatuwezi kupuuza Taarifa za namna hii hata kama hatuna Ushahidi wa kutosha. Haki ITASHINDA ✊🏼
Tweet media one
Tweet media two
21
99
403
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
@historyinmemes Somewhere in East Africa. 🤍🤍🤍🤍
Tweet media one
11
19
376
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 months
"Kosoeni, toeni maoni, Msidhalilishe, wala Msitukanane..." Ni Maneno ya Mhe. Nape Nnauye Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari. (July 2023) Sikiliza Matusi na Vitisho ya Wenzetu wanaosema kuwa wapo tayari kusikiliza Mawazo Mbadala ya Wa-Tanzania.
11
102
391
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 month
Mikwara na vitisho vyenu kwa Wananchi, ni sawa na kuwatishia Wafu "Kifo." 1. Tutaandamana kudai Uwajibikaji 2. Tutaandamana kudai Haki ya kuishi 3. Tutaandamana kudai Amani ya kweli ya Raia wa kawaida. ✓Hili taifa ni letu sote, muwe mnataka au hamtaki kusikia, huu ndio Uhalisia.
9
99
389
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 months
Tukisema "KANDA YA PWANII!" Wanaitikia "TUNAREJEA KWA KISHINDO!!"✊🏼 Mwanangu Boni Yai tutamwapishia kwenye moja ya Kituo cha Polisi. Mgependa kiwe kipi?😂 Kanda ya Pwani CCM Mjiandae kudadeki Zenu, tutacheza hata Kareti na Kumfu kupambana na Utapeli wenu.😎
17
74
386
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
7 months
Kijana wa Chama(CHADEMA) Cha mioyo ya wa-Tanzania, Influencer Aliyeridhika na Kipato Kidogo Halali, bila Kusukuma # za kutuhujumu Vijana Wenzake wa Taifa hili. Kubwa zaidi ni Jobless Pekee mwenye BMW😄 Amezaliwa siku kama ya Leo. @ze_mandevu ALLAH AKUJALIE KHERI Katika siku hii🤲🏼
Tweet media one
10
33
375
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 years
"Niwazi Serikali ilitaka kutumia Mkutano ule kujitetea na kuwazuga watu kuwa inavunja sheria kwa maslahi ya Wananchi..." Dr. @lwaitama1
Tweet media one
1
56
364
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 months
Wakati wao wanapangana na kupanguana kwenye Vyeo, Sisi wengine tunapanga namna bora ya kuwapanga wananchi wa Taifa hili katika nafasi watakayo nufaika na keki ya Taifa lao. Hatuwezi kufanana!
Tweet media one
Tweet media two
3
35
367
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 month
Kuna siku busara zitafikia Ukomo. Wa kututuliza atakosekana.
8
58
371
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
USICHANGANYE SAYANSI YA MWENYEZI MUNGU NA USHIRIKINA.‼️ (Thread) 👇🏼 Wengi hatujui kutofautisha kati ya UNAJIMU(Astrology) na UMAJUSI(Astronomy). Katika vitu hivi kimoja ni Elimu ya Sayansi na Kimoja ni Ushirikina ulioambatana na mambo ya dhahania. Waepuke Washirikiana👇🏼
Tweet media one
Tweet media two
57
133
358
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
MAANDAMANO yanayoendele sasahivi March, 2023! 1: Ufaransa 2: Wingereza 3: Afrika Kusini 4: Nigeria 5: Tunisia 6: Kenya Sasa ndo haishikiki kabisa! Kuna Nini Duniani⁉️
Tweet media one
52
32
352
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
"Sikieni, hapa mchezo kama kawaida, MPINA asimamie hapohapo, Halafu wengine mkomae na ishu aliyoibua MWAKYEMBE, hiyo muikazie sana.! Kisha pitisheni Bajeti, Mimi kama kawaida Niendelee kupitisha bakuli, zije tugawane kama kawa! MTAMA BOY, we Dili na watu wa Twitani, tumeelewana?"
Tweet media one
39
33
358
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 months
Mnaosema Vyama Mbadala vilipaswa kuendelea na Mdahalo, hivi mnaelewa maana ya neno "MDAHALO"? Au na ninyi nd'o walewale mliokuwa mnakimbia Debates Shuleni? Ule ulikuwa mdahalo wa Vyama vya Siasa, Na si Mdahahalo wa vyama Pinzani. Mlitaka hoja za Watawala Zijibiwe na Odemba?🤒
Tweet media one
14
71
353
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
Akiwa Miongoni mwa Vijana wa kwanza Kushiriki Katika Ujenzi wa Chama Miaka ya 1990. Mpaka Leo hii anashirikiana Nasi wanae na Vija wake Kukiimarisha Chama. Leo 11/04/23 Mhe.M/kiti @freemanmbowetz Amejumuika nasi WanaCHADEMA Jimbo la Segerea, Dar es Salaam. Kuwakaribisha Wanachama
Tweet media one
Tweet media two
12
57
351
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 years
Hayati J K Nyerere Aliitwa BABA kwasababu; 👉🏿Alileta Tumaini Jipya (UHURU). @SuluhuSamia Mh: Samia S. Hassan Unaitwa MAMA kwasababu; 👉🏿Wa Tz wanakutumainia Utarudisha mambo Sawa Kwa Kutupilia Mbali huu Mkeka MBOVU/ULIOZEEKA wa 1977. Ambao kwa 85% haukidhi haja za maisha ya sasa
Tweet media one
6
34
333
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
9 months
TAIFA Zima macho na masikio yapo Mikocheni Dar es Salaam Kusikiliza Chama Kikubwa kikizungumza.
Tweet media one
Tweet media two
8
45
340
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 months
> Kabla ya kuwa wa-Tanganyika, wa-Zanzibar au wa-Tanzania > Kabla ya kuwa Waislam, Wakristu nk. Na kabla ya kuwa wana-TANU, ASP, CCM, CHADEMA, ACT nk. ✓ Tulikuwa, tumekuwa na tutabaki kuwa "WANADAM." ✓ Kwanini tuwindane kwa sababu ya Vitu visivyoweza kuibadili "ASILI" yetu!?
Tweet media one
1
86
339
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
7 months
ALHAMDULILLAH. Sifa zote Anastahili MOLA Muumba na Mlezi wa Viumbe Vyote. Vilevile shukran ziwaendee na wale wote Mlioniamini na Kuniunga Mkono Kwa namna mbalimbali na Kurahisisha Mapenzi ya Mwenyezi MUNGU yatimie. Ninawaahidi Wana-Ilala na wa-Tanzania Kwa Ujumla ya kuwa,
Tweet media one
34
42
334
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 year
Mapema Leo Vijana Watanzania wakitimiza Haki yao ya Kikatiba ya Kulinda Mali na Usalama wa Raia Kwa Kupinga Mkataba kati ya Serikali na Kampuni ya DPW wenye Lengo la kupora Bandari zetu. Na kupinga Sheria Kandamizi ya Kuwawekea Kinga Maafisa Jeshi la TISS Kutoshitakiwa Hata pale
33
83
322
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 month
Sasa kama njia halali za Kisheria na Kikatiba katika Kuda Haki, Amani ya Kweli na Uwajibikaji wa Serikali mnazizuia kwa nguvu namna hii! Hamuoni kama mnatuelekeza Kutumia njia haram na zenye Madhara kwa Taifa letu.?
10
42
317
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
SIPINGI HATUA WALIZOCHUKUA Ila Sijapenda Unafiki Huu😎 M/kiti @abdulnondo2 jitahidi zaidi, Soon Utakuwa mzuri kwenye Siasa😁 YAANI; >Kamera ni Nyingi kuliko Polisi. >Nondo alijua watazuiliwa na akajianda Kusoma malalamiko yake😅 >Polisi wanazuia wakiwa Katikati! Aisee Acheni😄
Tweet media one
Tweet media two
51
35
312
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
USHAURI: Serikali ina watu wake wa kuisifia, wapinzani Mnaoisifia serikali Kwa Kila Jambo hiyo kazi si yetu, na inajenga mpasuko na kutokuaminiana baina yetu. kazi yetu iwe ni kuyakemea mabaya na kushauri Nini kifanyike pale inapobidi na kuibua mijadala yenye tija Kwa Taifa.
Tweet media one
11
18
307
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
4 months
👉🏻Vituo vya Polisi huingia watu wenye idhini ama wahusika. 👉🏻Hifadhi za taifa za wanyama huingia watu wenye idhini. ✓Najiuliza, nani amegharamia safari ya watekaji hawa kutoka Dar - Arusha -Katavi? ✓Ni kosa gani alilolifanya huyu kijana mpaka ahukumiwe hivi.? @tanpol Majibu🤷🏽‍♂️
Tweet media one
5
57
299
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
6 months
Mwanzo Wanasiasa (CHADEMA) na Wanaharakati vijana ndio tulikuwa wahanga wakubwa wa Uharamia na Uovu Ulioihusisha Serikali ya CCM kupitia vyombo vya Ulinzi, tukalalama na Kulia wenyewe. Leo hii wanapotezwa na kuuwawa hata wasiojihusisha na Siasa @tanpol mlidhani tutakaa kimya pia?
Tweet media one
5
48
294
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
11 months
Na Bado unaambiwa Nusrat Hanje ni Mbunge wa CHADEMA. Ila Ndugu Zetu CCM Sijui mishipa ya Aibu mliisahau wapi.!!😄
Tweet media one
27
25
293
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
6 months
Hakika nimeamini msemo usemao; "Ukitaka kumuua Mbwa, mpatie jina baya." 👉🏻Leo hii Serikali ya CCM na vyombo vyake ikitaka kumuua Kijana Masikini, itamuita 'PANYA ROAD' 👉🏻Ikitaka kumuua Kijana wa Kiislam, itamuita 'GAIDI.' Ikisha Mpatia jina hilo, itaua na watu wengine HAWATOJALI.
Tweet media one
13
39
293
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
11 months
Nitakuwa wa Mwisho Kumpongeza Mhe. Rais SSH katika hili la Utenguzi wa Pauline Gekul. Hilo nitalifanya baada ya hatua zote za kisheria Kuchukuliwa kwa HAKI dhidi ya Mhalifu huyu Hatua hizo zisiwe kama vile Viini Macho tulivyofanyiwa Kwa Mhalifu SABAYA na Wengine wengi huko Nyuma
Tweet media one
Tweet media two
26
35
283
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 months
Huyu mzee anaitwa "Luke Pollard." Ni Mbunge na Waziri wa Ulinzi wa UK (United Kingdom). Wiki Chache zilizopita ALIOLEWA na Kijana Anayeitwa "Sydney." Hapa nchini, tabia za Midume kupumuliana zipo na zinafanywa na watu wengi hata ndani ya Utawala. Nini Maoni yako katika hili?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
131
20
277
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
11 months
Hapa Makamu Mwenyekiti Taifa Mhe. Tundu Lissu, huku Mhe. Mwenyekiti wa Jimbo la Segerea Mhe. Assenga Patrick, Kule Meya Mstaafu Ubungo Mhe. Boniface Jacob A.K.A Mzee wa Protein Mobb😂 na wengine wengi.! Mzeee Litakufa Jitu Leo. Karibieni VINGUNGUTI Uwanja wa Msikate Tamaa. ✌🏼🔥🔥
Tweet media one
4
30
272
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 months
Kwani mwisho wa kuvumilia huwa ni Wapi?🤒
2
42
280
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 year
MJADALA WA BANDARI KATI YA WANANCHI NA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI (G.Msigwa) SEHEMU YA PILI (02). G. MSIGWA: Haya jamani Tuendelee, Wakili Mohammed ataendelea kujibu maswali yenu. Hapa Kwenye listi yangu anafuataaa!🤔 (
Tweet media one
16
61
276
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
11 months
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Kawaida, Yeye amefanikiwa Kuokoa Kiti (kistuli) huko Manyara kwenye Mafuriko. Hakika Mwenyekiti ana mapenzi ya Dhati na Viti.😄
Tweet media one
45
21
275
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
4 months
Kwahiyo Wanangu Mlisema kwamba tufanye hivi sio?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
16
63
268
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
4 months
Ni ndani ya Miaka Mitatu tu, ya Uongozi wake!
1
56
270
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
Kitinda Mimba(Last Born) kati ya wajukuu Sita(6) wa Malikia wa Mwisho wa Utawala wa Rwanda. Kiongozi wa Kikundi Cha Waasi kilichoanzishwa kama Asasi ya kiraia ya Kusaidia Wakimbizi wa Kitutsi, na Baada ya Kuchukua Nchi, Sasa ni Chama tawala Cha Kisiasa(RPF/FPR). Raisi Paul Kagame
Tweet media one
22
12
267
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
Mwigizaji, Mwanahabari na Sasa Mkuu wa Wilaya ya Songwe Bwana Simoni Simalenga inasemekana amemshambulia na kumjeruhi Binti Florencia Mjenda. Sababu ya Ukatili Huu Bado haijajulikana. Tunaziomba Mamlaka husika Kufuatilia na kuchukua Hatua za sheria. #MwangazaTanzania #RaiaVoices
Tweet media one
Tweet media two
42
62
258
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 months
Huyu dada yenu anaelewa maana ya Mdahalo!?😀
77
25
257
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 years
Niliposikia Kesi ya Wabunge 19 wa mchongo Imeakhirishwa Leo 18/04/ Nilikuwa nimedhamiria kwenda Kujumuika na Vijana Wenzangu wa Taifa hili kwenye Maandamano haya bila kujali Uchama. Lakini Ghafla nikaona hizi picha.🚮 Unafiki na Kusaka Political Prestige ndo Unatukwamisha Asee
Tweet media one
39
20
253
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 year
ya Kuuliza Maswali. Kuutetea uovu ni Kazi NGUMU Sana😂 hhshsh jhsbsk hsvznz "CHASO - Chanzo Cha Fikra Bora ✊🏼✌🏼"
7
48
253
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
7 months
Muda wa Kurithi Mikoba ya Kaka na Dada zetu Ili twendeleze Mapambano ya Kuitafuta Tanzania yenye Demokrasia na Uchumi imara. Chama hiki kimebarikiwa Vijana imara, wazalendo na wenye Maono Makubwa ikiwemo washindani wangu. Imani inanituma kuwa Maono yangu yaweza kuwa bora zaidi.
Tweet media one
22
43
250
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
5 months
Binafsi ni Muumin wa ushindani wa Kidemokrasia. Kwa hatua ya Ukuaji wa Kisiasa niliyofikia natambua kwenye Chaguzi mengi husemwa, lakin mara nyingi ni 20% tu ya hayo huwa sahihi. Michuano mikali ni ishara ya ukubwa wa hiki chama. Nawatakia kila la Kheri, Ushindi ni wa CHAMA✊🏼
Tweet media one
Tweet media two
5
35
246
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
4 months
Retweet tu bila sababu, Miamia zako zimemuweka huru Kijana mwenzetu @Eng_Matarra ✊🏼
Tweet media one
3
48
245
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
7 months
Kwa wengi wetu Mhe. JOHN J. MNYIKA ni Katibu Mkuu. Kwetu sisi Vijana wengi wa Chama hiki, Huyu ni Kaka kwetu, Mshauri na ni Mwalimu wa Masuala ya Uongozi. Kubwa zaidi linalonivutia kwake, ni Mdadisi Kwa sisi Vijana wake, Na ni Mpenzi wa kuelezwa Ukweli hata kama Haufurahishi.
Tweet media one
3
22
235
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
1 year
Leo Tar 24/07/ Kijana wenu Nimetimiza Umri wa Miaka 25. 1: Ninayofuraha kwa kuwa mpaka sasa Nimeongeza Umri na Maarifa pia. 2: Nasikitika kuwa Nipo katika Taifa Ambalo Kijana Mwenye MAARIFA, Na mwenye UTHUBUTU wa kuyatumia Katika Demokrasia na Uongozi Kwa Manufaa ya Wengi,
Tweet media one
36
33
234
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
6 months
Nazidi kuelewa kwanini Tunachelewa kuipata Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Bora ya Nchi. Simiyu! Jazak Allah Khayr🔥🤝🏼
Tweet media one
5
30
233
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
2 months
Tukumbuke, ni Tar. 28/08/2024🎯
1
50
233
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
5 months
Anaitwa Lucas Ngoto. Ni chuma flani hivi kutoka pale Tarime, Mara. Ameiongoza CHADEMA katika ngazi mbalimbali pale Mara. CHADEMA ya Moto ya Mkoa wa Mara na wilaya ya Tarime ni Matokeo ya Uimara wa watu kama hayu. Kapewa rungu la kuiongosa kanda ya Serengeti. Tutarajie Makubwa.
Tweet media one
7
27
226
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
4 months
Tuachane na hayo ya waliohama kambi zao, Si ya msingi kwetu. Habari njema ni kwamba Mchango wetu kwaajili ya kumweka huru @Eng_Matarra mpaka kufikia asubuhi hii Jumla ni TZS.8,293,000 Wa-Tanzania Mmetisha sana ndugu zangu.🙌🏼 Mola awazidishie maradufu katika kile mlichokitoa🤲🏼
Tweet media one
Tweet media two
3
26
224
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 months
Wakili Mwabukisi Ameshinda Kesi Dhidi ya Wahuni hapa TLS✓ 👉🏻Mawakili na Wanasheria Wamefurahi✓ 👉🏻Wananchi, Wapenzi wa Haki na Taifa la Mungu Wamefurahi✓ AJABU: Eti Kuna jitu limenuna huko! SHEENZ!😂
Tweet media one
3
46
224
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
11 months
Mnawawinda wanawake Maskini kwenye Sehem za Starehe na Mitutu ya Bunduki.!? Mnajua kabisa wengi hapo n Wasomi waliokosa Ajira na wengine bado wapo Vyuo Vikuu hawna mikopo na wanpambana watmize ndoto zao za Kitaaluma Kwa njia hyo. Haya Mmemuua Mlinzi Maskini. Kuleni Nyama sasa😡
Tweet media one
Tweet media two
4
37
221
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
18 days
Retweet 500 Kwa Mwenyekiti Mpya wa Pwani AKA Mjela mjela Eggs Man😂😂🔥🔥✌🏼
Tweet media one
2
54
227