Mshabiki wezangu wa Yanga Tuliambiwa (Haya ) atakaa kwenye jezi kwa Mashindano ya Kimataifa tu
Sasa amekuja kwenye jezi mpya
Je ni lini wameingia Mkataba mpya na Yanga
Ama Ndiio Shamba la Bwana heri na Mbuzi wa Bwana Heri
MY LIFE EXPERIENCE JUU YA MAISHA YA KUJIAJIRI.
Mwaka 2010 Nilianza chuo SAUT, Mwanza campus, BSCP. Katika mazingira ya kipindi kile niliona fursa ya kufanya biashara ya kuuza nguo za mtumba za kiume. Hii ilinivutia sababu hakukuwa na wauza nguo za mituba maeneo ya
Loy Thomas Sabaya ambaye ni Baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya ameshinda kwa kishindo nafasi ya Uenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha.
God Speed
MUNGU ni mwema kwa kuiona tena siku ya leo
Siku ya furaha na Amani na Upendo
Nashukuru MUNGU kwa kuongeza Mwaka mwingine
Ukurasa 30+
Happy birthday to Me 🎂
.....Amri Kiemba Licha ya kucheza mpira club Kubwa Tanzania Simba Sc ,Yanga Sc na Azam fc amestaafu soka na amekuwa Mchambuzi Mzuri sana Wa Soka pale
@CloudsMediaLive
hivyo apewe kufundisha Timu ya taifa kama kocha na Kijana mzalendo kwa Nchi yake
Jamaa alitusomaa kila mbinu za kocha wetu
Akaona Upande wa Kapombe unavuja na ametumia huo huo upande kupata ushindi
Swali Je Duchu na Mwenda Walisajiliwa kwa Kazi gani?
Kwanini kocha aliamua kuanza na Balake ikiwa ameona kipindi cha kwanza hajafanya maajabu yeyote
Simba Tunasajili Vijana na Kuacha Wazee
Majiran zetu wanachukua wazee tu naona wanaenda Kuanzisha Balaza La Ardhi Kata la usuluhishiii migogoro ya Ardhi