Before breaking up.
"Mwanamke mpende, muonyeshe mapenzi, muonyeshe kuwa yuko pekeake, ambia dunia yote kuwa unampenda, Ukifanya ivyo mwanake hawezi kukusaliti hata siku moja"
Yalikuwa ni maneno ya STEVE HARVEY.
Ila kilichotokea kwa sasa Mshauri anahitaji ushauri.
Mapenzi.🙌