Tanzania Medicines and Medical Devices Authority is responsible for controlling quality, safety and effectiveness of medicines,medical devices and diagnostics
DMD akimkabidhi Mwenyekiti wa MAB andiko la shahada ya uzamivu yenye tittlle: Evaluation of Chiral Quality and Safety of Selected Essential Medicins in Tanzania
Ofisi ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wawapongeza Mkurugenzi Mkuu, Dkt Adam Fimbo na Mkurugenzi wa Vifaa tiba Dkt. Kissa Mwamwitwa kwa kutunukiwa Shahada za Uzamivu tarehe 2 Oktoba 2024 jijini Mbeya
Mwenyekiti wa MAB, Bw. Erick Shitindi asaini kitabu cha wageni mara baada ya kufika katika ofisi ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini mkoani Mbeya mapema tarehe 3 Oktoba, 2024
TMDA Kanda ya Ziwa Mashariki yakutana na viongozi wa Halmashauri ya Kwimba iliyopo mkoa wa Mwanza kujadili mikakati ya udhibiti wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi katika Halmashauri hiyo.