mkali kweli Profile Banner
mkali kweli Profile
mkali kweli

@mkali_kweli

11,395
Followers
10,415
Following
347
Media
76,678
Statuses

Jesus is my savior🙏|| @ManUtd 🔴||

Joined August 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@mkali_kweli
mkali kweli
5 months
Wanangu wa PS2 nani anamkumbuka huyu mwamba hapa 😂
Tweet media one
95
91
398
@mkali_kweli
mkali kweli
5 months
Hata kama hauishi maisha unayoyapenda,basi walau mshukuru Mungu kwa hayo hayo maisha unayoishi maana kuishi tu peke yake ni baraka.
22
71
226
@mkali_kweli
mkali kweli
5 months
Maisha sio magumu sema tu ni wewe umezidisha uaminifu kwa watu ambao hawakujali.
32
87
194
@mkali_kweli
mkali kweli
1 year
Dear God…. Tunakushuru kwa zawaidi ya pumzi na uhai,afya na furaha maishani mwetu. Good morning
Tweet media one
23
29
159
@mkali_kweli
mkali kweli
1 year
Usisahau kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.. Good morning
Tweet media one
31
42
158
@mkali_kweli
mkali kweli
1 year
0
0
145
@mkali_kweli
mkali kweli
5 months
Usidhani kila anae jitenga na watu ni mjeuri au anajisikia,kuna watu wamepitia mitihani ambayo imewafanya kuwa na hofu ya kuzoeana na kila mtu.
28
76
145
@mkali_kweli
mkali kweli
5 months
Kwenye maisha epuka sana kuchanganya vitu hivi👇 👉kumdharau anaye kupenda. 👉kumpenda anaye kudharau.
22
75
142
@mkali_kweli
mkali kweli
10 months
Huwezi kupendwa na kila mtu,pia huwezi kuchukiwa na kila mtu.jifunze kukubaliana na hali✍
25
86
134
@mkali_kweli
mkali kweli
10 months
Aise waarabu Wana roho mbaya kweli wamemnyima maji chama 🥺🥺🥺😂😂 wachawi Hawa
Tweet media one
25
38
128
@mkali_kweli
mkali kweli
7 months
Penda sana lakini usisahau unayempenda ni mwanadamu tu ambaye hajakamilika,Ishi lakini usisahau furaha na huzuni ni sehemu ya maisha ya mwanadamu
16
48
127
@mkali_kweli
mkali kweli
3 months
Enzo na Odegaard wana mengi sana ya kujifunza kwa captain Bruno fernandes
Tweet media one
30
41
129
@mkali_kweli
mkali kweli
10 months
Wewe ni mwema Kwao,Lakini usitegemee kwamba na wao watakuwa wema Kwako. Sio kila unae Mtazama ana Moyo kama unaofikiria✍
19
59
124
@mkali_kweli
mkali kweli
8 months
Usimuombe mtu msaada kwa kumkumbushia wema wako wa zamani,wema hauna risiti ukitenda usahau✍
31
75
121
@mkali_kweli
mkali kweli
7 months
Dear God Endelea kusimama na sisi Ambao Hatutakiwi kuumwa, Tukiumwa tu Familia zinalala Njaa. Good morning🌄🌄
Tweet media one
33
59
123
@mkali_kweli
mkali kweli
8 months
Usiwape watu nafasi ya kuamini bila wao wewe huwezi usiwape✍
39
77
112
@mkali_kweli
mkali kweli
1 year
Kwenye nyakati ngumu ndio utajua yupi ni rafiki wa kweli kwako📌 GOOD MORNING
Tweet media one
18
33
114
@mkali_kweli
mkali kweli
2 months
ila watoto kwanini wanapenda viatu vikubwa akikikuta lazima avae,bila kuanguka akaumia hajiskii vizuri😄😄
Tweet media one
22
45
117
@mkali_kweli
mkali kweli
11 months
Ukiwa Na Hasira Usifanye Maamuzi' Na Ukiwa Na Furaha' Usitoe Ahadi✊ GOOD MORNING🌄🌄
36
53
114
@mkali_kweli
mkali kweli
6 months
Moja Kati ya tabia kubwa ya wanafiki ni kua wanaweza kuujua ukweli ila wakaamua kuukataa.
16
52
112
@mkali_kweli
mkali kweli
6 months
Usijutie kumpoteza mpenzi ambae alikua hakupendi na ameweka tamaa zake mbele kuliko penzi lenu. ila Chunga sana usimpoteze Mwanamke Anaye Kupenda Sanaaa Kwa Tamaa Zako. Pesa Mali Zinatafutwa ila Upendo wa Kweli Sio Rahisi Kuupata._✍️
19
62
112
@mkali_kweli
mkali kweli
5 months
Tatizo mna tuulizia kwa watu wanao tuchukia,Ndio maana hamuwezi kuona mazuri yetu.
16
63
110
@mkali_kweli
mkali kweli
11 months
Usiruhusu adui yako aujue udhaifu wako,maana anaweza kuutumia huo udhaifu wako kukushambulia na kukuangamiza✍ GOOD MORNING🌄🌄
39
52
109
@mkali_kweli
mkali kweli
9 months
Follow me i follow back ❣❣
44
42
97
@mkali_kweli
mkali kweli
8 months
Usioe kama hauna chanzo maalum cha kukuingizia pesa,au hauna uhakika na kipato chako✍
32
57
105
@mkali_kweli
mkali kweli
7 months
Ulivyo fumbua macho alfajiri ya leo,Mungu akufungulie milango ya kheri na mafanikio🙏
23
57
106
@mkali_kweli
mkali kweli
2 months
Lazima tujifunze kuunda nyakati za utulivu ili kuweza kusikia maisha yanataka kutuambia nini.
21
60
107
@mkali_kweli
mkali kweli
7 months
ukishajua kuwa dunia ina watu wazuri na wabaya basi usitegemee kupata mambo mazuri pekee hata mabaya yana nafasi ya kuja pia✍
20
68
104
@mkali_kweli
mkali kweli
10 months
Kuna watu hawatarajii kukuona ukifanikiwa zaidi ya hapo ulipo,wakiona umevuka hapo watageuka kuwa maadui zako✍ GOOD MORNING🌄🌄
38
65
105
@mkali_kweli
mkali kweli
1 year
1
1
96
@mkali_kweli
mkali kweli
1 year
Mpe Mungu nafasi katika Kila vita unayo pigana na wewe kaa pembeni kuangalia ukuu wa Mungu juu yako Asubuhi njema.. Good morning
Tweet media one
29
44
101
@mkali_kweli
mkali kweli
6 months
Kuna watu wanapata support kutoka kwenye familia zao Na kuna watu wanatakiwa ku-support familia zao Ukishajijua upo kundi gani,Basi hutakiwi kuiga maisha ya mtu.
22
62
102
@mkali_kweli
mkali kweli
7 months
Kuna wakati inabidi umwache tu aende,sio kwamba umechoka kumpenda,ila ni kwa sababu unahitaji kujipumzisha kutokana na maumivu anayokusababishia moyoni mwako✍
21
58
103
@mkali_kweli
mkali kweli
7 months
Ukimpata anaekupa amani ya moyo basi tulia hapo maana nafasi hizo ziko chache sana.
18
52
99
@mkali_kweli
mkali kweli
4 months
Siwezi kumwambia siri zangu mtu ambaye ananiambia siri za watu wengine.
19
57
103
@mkali_kweli
mkali kweli
6 months
Good Morning My Good People All Over the world 🌍
Tweet media one
29
60
103
@mkali_kweli
mkali kweli
11 months
Thamani ya mtu au kitu utaijua siku kitakapotea,Hivyo thamini ulichonacho sababu ndio majaaliwa yako✍ GOOD MORNING🌄🌄
40
59
97
@mkali_kweli
mkali kweli
1 year
2
0
96
@mkali_kweli
mkali kweli
8 months
+1 Happy Birthday to me.
Tweet media one
36
41
95
@mkali_kweli
mkali kweli
7 months
Anaekujali mpende kwa sababu anajua thamani yako✍ Good morning🌄🌄
30
62
98
@mkali_kweli
mkali kweli
7 months
Jifunze Kukumbuka Uliko Toka Ukikumbuka Uliko Toka Kuna kuondolea Majivuno pili Unakuwa Mnyenyekevu Kuwa Bila Mungu Nisingefika hapa.
22
62
97
@mkali_kweli
mkali kweli
3 months
Pendo la kweli ni hisia zilizomo moyoni ambazo sauti yake haisikiki isipokuwa kwa akupendae kwa dhati.
13
64
97
@mkali_kweli
mkali kweli
10 months
Kusamehe huwa sio kitu rahisi lkn tuna wajibu wa kusamehe na muda mwingine kusamehe huwa kuna uma na muda mwngne ina bidi usamehe✍
26
60
98
@mkali_kweli
mkali kweli
11 months
Ukiaminiwa na watu usivunje uwaminifu wao kwako,bali fanya mambo yatakayowafanya waendelee kukuamini✍ GOOD MORNING🌄🌄
34
46
97
@mkali_kweli
mkali kweli
6 months
Ikiwa moyo wako una amani na kile unachofanya,endelea kukifanya kwa amani.Usisikilize kelele zinazokuzunguka.
31
64
94
@mkali_kweli
mkali kweli
4 months
Dua yetu ni ile ile Mungu atuepushe na Matatizo ambayo pesa haiwezi tatua🙏
Tweet media one
14
32
89
@mkali_kweli
mkali kweli
2 months
Kupoteza ni rahisi mno kuliko kupata heshimu ulichonacho.
17
54
95
@mkali_kweli
mkali kweli
5 months
Usitamani kuwa kama mtu fulani maana huwezi juwa ni magumu kiasi gani anayapitia hadi hapo alipofika.
15
64
93
@mkali_kweli
mkali kweli
4 months
Maisha yamenifundisha kuwa baadhi ya shida lazima zibaki kuwa siri kwangu,kwa sababu baadhi ya watu misaada yao haina siri.
20
61
94
@mkali_kweli
mkali kweli
7 months
Ukimjua mnafiki wako basi ishi nae kinafiki.
19
60
92
@mkali_kweli
mkali kweli
9 months
Kuna muda ukiona mtu kapata ujue kuwa ametafuta na ili upate ni lazima utafute✍
17
53
91
@mkali_kweli
mkali kweli
8 months
Tunaweza tusiwe bora sana kwao lakini sisi tunaweza kuwa bora zaidi kwa familia zetu.kwani wakati wa matatizo ndo wanakuhitaji zaidi✊
19
51
90
@mkali_kweli
mkali kweli
8 months
I follow back asap✊
47
43
84
@mkali_kweli
mkali kweli
7 months
Ukiamua kupambania ndoto zako basi jitahidi kufunga milango ya uoga na aibu Amini katika wewe jiamini✍
15
50
90
@mkali_kweli
mkali kweli
28 days
Dua yetu ni ile ile Mungu atuepushe na Matatizo ambayo pesa haiwezi tatua🙏
Tweet media one
24
50
90
@mkali_kweli
mkali kweli
9 months
"Usimdharau mtu kwa sababu anadharauliwa na kila mtu,sio kila mtu ambae wengine hawamuhitaji na wewe humuhitaji.kuna watu hawahitajiki na wengine lakini kwa upande wako wewe unamuhitaji✍
23
57
91
@mkali_kweli
mkali kweli
9 months
Follow me for quick follow back 💙💙
34
27
79
@mkali_kweli
mkali kweli
9 months
Kuna muda unaweza kujikuta unawafariji watu kwa maneno mazuri,ambayo ww mwenyewe ulitamani kuyasikia kwa watu wengine wakikwambia✍
15
45
89
@mkali_kweli
mkali kweli
4 months
Nitajie mchezaji ktk Epl ambae amewahi kufunga goal 5 ktk mechi moja,naanza na huyu👇
Tweet media one
15
43
91
@mkali_kweli
mkali kweli
5 months
Ukitaka kuwa imara zaidi kuliko wao hakikisha haulipizi chuki zao kwa kuwaonyesha chuki isipokuwa unalipiza kwa kuwa onyesha hujali.🫠
21
70
91
@mkali_kweli
mkali kweli
2 months
Vitu viwili vitakavyokutambulisha wewe ni nani,subra yako wakati huna chochote,na tabia yako wakati unamiliki kitu..
18
55
89
@mkali_kweli
mkali kweli
10 months
Hakuna mtu anaejuwa magumu unayoyapitia hata Kama utamuelezea kwa maneno,kwa sababu kile kinachokuumiza ww hakiwezi kumuumiza kila mtu✍
24
61
91
@mkali_kweli
mkali kweli
8 months
Kama hupati unacho kipenda basi jifunze kukipenda kile unacho kipata✍
27
69
90
@mkali_kweli
mkali kweli
8 months
I’m following back now❣❣
39
32
83