Bila amani hakuna maendeleo.
Tanzania itabaki salama tukiendelea kuwakataa wanaotaka kutugawa kidini, kikabila, kikanda, kibara & kivisiwani au kijinsia kuleta mifarakano. Tuliwakataa 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, 2020 na tutaendelea kusema HAPANA kwa kila mbaguzi na kibaraka.