@YoungAfricansSc
|
@manutd
| POLITICAL ANIMAL | DON'T TRUST MY SMILE | A WOUNDED BUFFALO | AM NOT LUCKY, AM BLESSED | I LOVE MYSELF | SELECTIVE SOCIAL
#WANAZIHQ
Karibu ujipatie Asali mbichi ya nyuki wadogo na wakubwa, ambayo haijachanganywa na chochote wala kuchakachuliwa,
Ladha tunayoipenda, kufika mpaka ulipo, kwa bei tunayoimudu kila tunapohitaji kwa maelezo kuhusu Asali, matumizi na jinsi ya kuipata tupigie kwa 0766909548.
Dsm/Dodoma
1. Dunga Mawe-Kontawa
2.Selemani (Sele)-Mbosso
3. Yahaya -Jide
4. Side Mnyamwezi -Temba
5.Mtoto Idd - Juma Nature
6.Lava Boy-Chegge
7.Mzamiaji-TMk Halisi
8. Mzee wa Busara- Juma Nature
Kwenye Hii List Nani Kakushinda Tabia..😅🙌
👨💻 Interviwer: Kwaiyo mdogo angu ulikua unataka tuwe tunakulipa shingapi..?
🙎♂️Me: Million nne...
👨💻Interviwer: Unaonaje tungeanza na million nane?...
🙎♂️Me: Aah! Braza acha utani basi
👨💻Interviwer: Utani umeuanza wewe mdogo angu, aya toka nje...
Hizi nafasi za ajira mnazozitangangaza kama mmeshaweka ndugu zenu au mnataka vibunda mtuambie jamani ili sisi watoto wa kimasikini tusio na connection tusijisumbue