CHAZO CHA VITA VINAVYO ENDELEA UKRAINE.(Somewhere in Eastern Europe)
Wengi wanajiuliza why Urusi avamie Ukraine,bila kujiuliza,kuogopa matokeo ya uvamizi kiuchumi.why NATO anajishauri kuingia Ukraine km wanavyo fanya kwny mizozo mingine ya Ulaya.Picha inaanza kaa kwa kutulia =>
Kukua kwa china kulisababisha vipi Kiburi cha Russia kwa NATO na USA.Kwanni kinapelekea ugumu wa NATO na USA kuingilia mzozo wa Ukraine kijeshi muvi itaendelea.Weka like zako na Retweet za kutosha.kwa leo tuishie hapa.
#ChafuZamoto
#BilaGanzi
Baada ya US kusema itasitisha misaada yake Niger endapo utawala wa kijeshi ulioipindua serikali utaendelea.Jeshi la Niger limeiambia US misaada inaanzia nyumbani ni bora waanze kuwasaidia raia wa US wanaolala barabarani ndo wafikilie kuisaidia Niger
#Behindthescene
#BilaGanzi
Ukitangaza vita na Niger umetangaza vita na Burkina faso na Mali. Anti western allience wamenza kutengeneza muungano Afrika.kazi ipo.Hayo ni maneno ya Kiongozi wa mali na Burkina faso.Kume kucha tayari
#Behindthescene
#BilaGanzi
KWANINI NIGER,KWANINI IWE SASA?
(Weekend na Chafu Za Moto)🔥
Kama tunavyo fahamu mapinduzi sio kitu kigeni kwa nchi za west Afrika,Kwa miaka ya karibuni yametokea Guinea,Burkina faso,Mali na sasa Niger, haya ya Niger yamechukua sura ya tofauti ukilinganisha na mengine,kwanini?👇
Baada ya balozi wa Ufaransa Niger kugoma kuondoka Serikali mpya ya Niger wamekata umeme na maji na hawaruhusu food delivery kuelekea ndani ya Ubalozi huo.Ikumbuke walishasema kama ataendelea kugoma watatumia nguvu. Eeh inyeshe tu
#Behindthescene
#BilaGanzi
Kama kuna mtu anamshukuru Putin basi Bashar Al Assad mana baada ya Gadafi alikuwa anafata yeye.Mawaziri wake walipokea bahasha za kaki,wakakimbilia US,alipoona ngoma ngumu akaomba msaada,Putin hana kazi mhovu kama unavyojua Nchi imenusulika.
#Behindthescene
#BilaGanzi
Kundi kubwa la wa Niger limefanya maandamano makubwa nchini humo likionesha sapoti kwa kiongozi wao aliyepindua serikali.sasa ECOWAS kinawauma nin na raia wenyew wanasapoti
#Behindthescene
#BilaGanzj
ECOWAS wamempa mwamba aliyepindua serikali Niger wiki 1 awe amerudisha madaraka kwa Rais aliyepinduliwa asipofanya hivyo wanaweza kuingiza jeshi kumtoa,Mchezo umefika patamu kama unamjua Sponsor mkubwa wa ECOWAS ushaelewa mchezo hapo.
#Behindthescene
#BilaGanzi
ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE
Za chiini ya kapeti,Nuland katua Niger na kuzungumza na uongozi wa mapinduzi kawapa ahadi serikali yake ipo tayari kuutambua na kushirikiana na uongozi wake endapo hawato wakaribisha Wagner ndani ya Niger. 😂😂
#Behindthescene
#BilaGanzi
Kiongozi wa Niger amefunga anga la Niger(No fly zone) mpaka itakapotangazwa.Enzi hizo uwezi kujiamulia mambo hayo mpaka uombe ruhusa Paris.
#Behindthescene
#BilaGanzi
PRIGOZHIN VS SHOIGU
Ugomvi wa marafiki wa Putin unao muweka njia panda.Nilisha waikusema hapa kwa katiba ya Urusi hairuhusu kikundi cha mamruki ila kama kimeundwa basi kuna mkono wa Putin.Hao wanaogombana kila mmoja anaona anamiliki jeshi na anaripoti kwa Putin
Kipindi hich chote Urusi ilichukuliwa kama Mzee mwenye misimamo ya kikoloni iliyopitwa na wakati Mpaka pale Urusi ilipopata huyu mwama Vladmir Putin.Aliye kuwa na dhamila kuleta mabadiliko ya kitechnolojia ya jeshi zima la Urusi kuwa la kisasa na kujikita mahusiano yake na China
Kama unaijua Cold war utakuwa umepata kitu flani.Russia ilibaki kuwa Russia na nchi nyingine zikabaki zenyewe bila kuwa na umoja wowote.Ingawa umoja ulivunjika lakini % kubwa ya hizi nchi zilikuwa na marais vibaraka wa Russia ama raia bado walikuwa na misimamo ya kirusi.
Ikiwa Niger itaguswa ni kama imeguswa Guinea,tutaingilia kati na kutuma wanajeshi wakasaidie.Jamaa wananunua nao ugomvi.Maneno kutoka kwa Rais wa Guinea Mamady Doumbouya.Wacha tuendelee kunywa mchuzi nyama hazipo mbali sana.
#Behindthescene
#BilaGanzi
Uliozorota kwa muda na kubadili picha nzima ya Urusi kwenye uso wa kimataifa.Kipindi hiki chote Marekani na NATO wanatoa macho kwa Urusi,Wakamsahau China aliyekuwa anakuwa kwa kasi ya ajabu kiuchumi na Kijeshi,mpaka wanastuka China amekuwa hatar zaidi ya Urusi waliyoitolea macho.
Baadhi ya maafisa ambao ni Pro western walijaribu kufanya mapinduzi siku ya jumanne huko Burkina faso.Mwamba akawatuliza fasta.Raia wakaingia mtaani kumsapoti Kiongozi wao.Shukrani ziende kwa Urusi walimtonya mshkaji mapemaa kunakitu kina endelea.
#Behindthescene
#BilaGanzi
Nchi zilozoshirikiana Jana ku intercept makombora na Drone za Iran.
US air force
US air dedence
US Navy
UK air force
Jordan air Force
Jordan air force
Israel air force
Israel air defence
Tunawekana sawa kidogo historia isije kudanganya watoto wetu kama ilivyo tudanganywa sisi.
Pamoja na kuvunjika kwa USSR bado Urusi ilikuwa ni nchi pekee inayomiliki mabomu mengi ya nyuklia na masafa marefu zaidi ya USA,Na ya pili kwa uwezo wa Kijeshi baada ya US,Isipokuwa kiuchumi ilikuwa imedondoka vibaya,kuna kipindi ilibidi Marekani aisaidie Urusi kiuchumi.
kitu ambacho kilikuwa ni kutu kwenye chuma cha demokrasia anayosambaza US.Toka hapo pakawa na hofu inawezekana siku moja zile nchi zikajiunga tena na Russia akazichukua kinguvu kurudisha umoja wake ulio vunjika hapo mwanzo.
Hapo likaja wazo la kuzishawishi nchi zilizokuwepo umoja wa USSR wajiunge na umoja wa kujiami wa nchi za ulaya(NATO).Kama utajiunga na NATO jeshi lako litakuwa kubwa na Russia hatoweza kukuchukua kimabavu sababu kuna nchi zitakuwa tayari kuingia vitani kwa ajili yako ukivamiwa.
Russia ilikuwa ndani ya umoja wa nchi za kisovieti (USSR).Uliokuwa ukijumuisha nchi kama Azebaijan, Armenia, Estonia, Beralus,Ukraine,Latvia,Kazakstan,Tajikistan,Lithuania,Georgia,Moldova,Uzberkistan,sijui kama kuna niliosahau kamaipo ni 1 au 2. ==>
SUBMARINE (NYAMBIZI)
Uwezi kuzungumzia nyuklia retaliation attack bila kutaja Nyambizi.Nadhani ushawai kusikia kitu Pre emptive attack.Wapo watu walioshauri US na NATO wafanye Pre emptive attack kwa Urusi alafu waingize majeshi yao. Niwaambie tu hicho hakiwezekani.👇
MAKUBWA YALIYOTIKISA UKRAINE WIKI HII
#Behindthescene
siku ya J3 14/3/ Urusi ilipiga cruise missile katika kambi ya mafunzo ya wanajeshi iliyopo 10 mile kutoka poland.Kambi hii ilitumika kufundishia Wanajeshi wa kujitolea kutoka mataifa mbalimbali walio taka kuisaidia Ukraine
Kwa kuhofia hali ya Uchumi isije kupelekea Urusi akaanza kuuza Mabomu au teknolojia ya Nyuklia nje ya mipaka.Maisha yaliendelea ingawa mbinu zote za NATO zilijikita zaidi kujikinga na mashambulizi ya Urusi.Kipindi chote hiki Russia ilitazamwa kama Adui anayejipanga taratibu.
Hii ilikuwa mbinu ya USA kuhakikisha wanakuwa na ushawishi mkubwa ndani ya Ulaya kumzidi ku hakikisha Russia haitokuwa na nguvu kama zamani za kumpinga Marekani.Kwenye maamuzi ya kiutawala wa Dunia.Kwakuwa USSR ndio pekee ilikuwa na uwezo wa kumbishia USA
Zilizonifikia hivi punde mzigo wa kutosha umeingia Niger na wataalam kutoka kusiko julikana na wale wazee wa kufunika sura wapo njiani kuelekea Niger.Ngoja tuone
#Behindtheacene
#BilaGanzi
USSR ilikuwa na nguvu kubwa sana Duniani na ulioweza kumzuia Adolf Hitler asiichukue Ulaya mana alishatandika karibu ulaya yote.Baada ya kuvunjika umoja wa nchi za kisoviet(USSR).Ambao kwa kiasi kikubwa ulisababishwa na USA kuhofia nguvu iliyokuwepo kwenye umoja huo.==>
Zilizonifikia hivi punde inasemekana kuwa serikali ya Niger ya kiongozi aliyefanya mapinduzi wamefanikiwa kuingia contract na Kundi la Wagner,haijawekwa wazi ni kandalasi ya muda gani lakini inaanza rasmi leo.Wacha mvua iendelee kunyesha
#Behindthescene
#BilaGanzi
Kinacho nishangaza ni nchi za umoja wa NATO zipo zaidi ya 28 zote zinapeleka silaha tofauti kumsaidia Ukraine lakin Urusi kutumia Drone za Irani tu imekuwa shida kwa umoja wa NATO.unadhani nini tatizo hapo?
#Behindthescene
AIR DEFENCE
Unazi tuweke pembeni kwa long range interception of missile,mpaka sasa hakuna zaidi ya S-400,sasa hiyo siriz mpya ya S- 500 balaa lake lipoje mana missile zake zina speed zaidi ya march 15,Hii ni speed ya ku intercept hypersonic kabisa ingawa haija jaribiwa
Taliban wameanza kuuza tani 11,000 za mafuta ghafi kwa siku, wakipatia Afghanistan dola milioni 6 kwa siku.
Hadi wataliban jamn duh Afrika tunakwama wapi?
#Behindthescene
.
HABARI ZA HIVI PUNDE:
Putin atasafiri kwenda Iran akiwa na hatua kali za usalama na msafara wa ndege 4 za Sukhoi 35.
Atashiriki katika mazishi ya rais wa Iran, Raisi.
#BilaGanzi
Jamaa hataki masihara kashaona majaribio ya kumpindua yamekuwa mengi,Vikosi vya kwanza vya Urusi vimewasili Burkina Faso.inategemewa vitapelekwa pia Niger,Libya na Central Afrika na vitakuwa huko rasmi sasa.
#Behindthescene
#Behindthesce
Wanajeshi wa akiba wa Israel 400,000 toka sehemu mbali mbali duniani wameitwa nyumbani Israel kuongeza nguvu.Hii ishakuwa balaa sasa.
#Behindthescene
#BilaGanzi
Uzuri wa North korea uwezi fanya ziara yako wasikupitishe showroom yao.waziri wa Ulinzi wa Urusi alipofanya ziara dprk akiwa na mwenyeji wake.
#Behindthescene
#BilaGanzi
Baada ya US kuzuia Huawei pamoja na baadhi ya technolojia zake zisitumike kwenye ofisi za serikali ya US,China nao wamezuia Matumizi ya vifaa vya Apple na technolojia yake kutumika ofisi za serikali ya China. Hapo kuna mmoja atatoka damu puani tu.
#Behindthescene
#BilaGanzi
HABARI MPYA: 🇷🇺 Urusi inapeleka manowari ya nyuklia ya daraja la Kazan Yasen hadi Cuba karibu na mipaka ya Marekani.Hii imekaa poa nadhani.Eeh huyu jamaa ndo kiboko yao akisema hatishii anafanya vitendo.
#BilaGanzi
#Behindthescene
UTAKE USITAKE
Prigozhin nae yupo St Petersburg kuzungumza na viongozi mbali mbali wa Africa.Aisee Putin kweli anawachanganya mabepari,yani mtu juzi alikuwa na kikosi kuelekea Moscow kukupindua leo upo nae.Zachini ya kapeti ni nyingi sanaaa😂😂😂
#Behindthescene
#BilaGanzi
Ufaransa wamekubali yaishe wanataka kuzungumza na kiongozi mpya wa Niger namna ya kuondoa majeshi yake,lakini balozi bado kagoma ubalozini jamaa mbishi sana.
#Behindthescene
Kwa huu muungano wa Mali,Niger na Burkina faso.Inaonesha wazi Urusi haina nia ya kuitawala wala kuinyonya Afrika ila kuna kila dalili Putin sasa kaamua kutia mchanga vitumbua vyote vya wakoloni.
#Behindthescene
#BilaGanzi
Iran wamesema wanasubili Israel ikinyanyua tu ndege kuitaget Iran,wao wata rusha makombora kama mvua ambayo dunia haijawai kuyashuhudia.Hivi wako siriaz au mikwara tu?
#Behindthescene
#BilaGanzi
UTAKE USITAKE
NATO inaonekana haikuwai kupata mechi ngumu kama ya Urusi au hawako vizuri kabisa. Nchi zaidi ya 30 zipo upande wa Ukraine wanashindwa kumtoa Mrusi kwenye Ardhi ya Ukraine kweli sitaki kuamini.
#Behindthescene
#BilaGanzj
Rais mpya wa Senagal nae anakiwasha. Anasema Ni muda muafaka kwa sasa France kuondoka nchini Senegal.Ukumbuke alifungwa jera sababu ya kuuliza kwaninu raia wa kifaransa nchini senegal wanakuwa excluded kwenye kodi nyingi.
#Behindthescene
#BilaGanzi
UTAKE USITAKE
Hili tukio unaweza kuliona ni la kawaida kama Putin ataendelea kuwa na moyo wa kibinadamu lakini akiamua kulifanyia kazi linatosha kabisa kuamlisha wanawake,wazee na watoto waondoke Kiev ndani ya wiki alafu aoteshe Uyoga mkuuubwa Kiev
#Bihindthescene
#BilaGanzi
Chizi anachekesha akiwa hatoki kwenye familia yako.Jana walikuwa 300km kuelekea Moscow,Ukraine na washirika wake wakawa wanashangilia na kuruka ruka haya wamepelekwa Beralus leo wapo 100km kuelekea Kiev joto limeanza kupanda😂😂😂
#Behindthescene
#BilaGanzi
Kwa mara ya kwanza toka China asuluishe Rais wa Iran na Crown Prince wa Saudi bin Salman wamewasiliana namna gani wanaweza kuzuia Mauaji ya yanayoendelea Gaza.Kosa kubwa kwa US baada ya lile la China na Urusi kuwa marafiki ni kuruhusu Iran na Saudia waungane.
#Behindthescene
Jaribio la mapinduzi limefanywa dhidi ya kiongozi wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traore. Wapanga njama za mapinduzi wamekamatwa na timu za usalama za Traore.
Jamaa atafika kachoka sanaa bado ma beberu wanamtafuta kwenye 18
#BilaGanzi
UTAKE USITAKE
Kwa kilichotokea leo jeshi la Israel limedhalilika pakubwa sana aisee.Ebu fikilia hao ni Wanamgambo wa Hamas na mashine gun tu je ingekuwa Wagner mixer vifaru na air defence.Story za Hollywood zimeharibu sana vichwa vya watu.
#Behindthescene
#BilaGanzi
Iran wanasema wanazijua nuclear site zote za Israel,kama Israel wakishambulia nyuklia site za Iran na wao watazishambulia za Israel muda huo huo.Iran hii jeuli anaipata wapi mbona kama kuna mtu anamtia kibuli au ana nyuklia Bom tayar huyu?
#Behindthescene
#BilaGanzi
Rais wa korea kaskazini anasema ili uwe na uhakika nchi yako isiweze kuchezewa na US na vibaraka wake ni lazima umiliki makombora ya Nyuklia.. Je kauli yake hii ina ukweli?. .
#Behindthescene
#BilaGanzi
Kamati ya maalum kutoka Niger imewasili Burkina faso kufanya kikao na Ibraimu Traore kiongozi wa Burkina faso.ECOWAS kama wanadhani hawa jamaa wanatania wayakanyage tu
#Behindthescene
#BilaGanzi
GAZA MBWAI MBWAI TU
Nyama ishakuwa ngumu wanamgambo wa Hamas wamezitungua Hellcopter mbili za Israel zilizokuwa zinashambulia duh.Jamaa wanataka kumuwekea Israel no fly zone.
#Behindthescene
#BilaGanzi
AWAVUMI LAKINI WAMO
Ndege isiyo na rubani ya Hezbollah iliyoingia katika anga ya Israel na kurekodi vituo muhimu ilitengenezwa na Iran.
Watu walikuwa wanajiona wao ndo mamasta kumbe kuna vichwa vimetulia havina promo wala nini?
#Behindthescene
#BilaGanzi
Hoyo situlikubaliana wameishiwa wanajeshi na vifaru vyote vimeishia Ukraine au.Kama unafikir Urusi kaishiwa silaha sababu ya mzozo wa Ukraine nanda hospital unaumwa tezi dume.Mtu anaijua Urusi kwa kutumia vyombo vya habari vya magharibi 😂😂😂 stukeni mnapangwa.
#Behindthescene
Kamanda wa Iran anasema wao wanatengeneza Balistic missile kama wanavyotengeneza sigara tu,Kwaiyo endapo Israel itajaribu kuwagusa watarusha makombora 1000 kwa pamoja waone kama kuna air defence inaweza kuyazuia.
#Behindthescene
Sisi ni Warusi na hatujawai kupiga magoti kwa yeyote.
Kama NATO wanataka vita vya moja kwa moja, wanaweza kuipata. Hii si Iraq, hii ni nchi ambako Wajerumani milioni tano walipoteza maisha::Kauli kutoka kwa Wanajeshi wa Urusi wa kikosi maalum.Hii NATO wameiona kweli?
#BilaGanzi
Ushawai kujiulizi kwanini Al Qaida hawajawai kuipiga Israel wala ISIS hawaja wai hata kupambana na Israel,wakati haya yanaitwa makundi ya kigaidi ya kiislam,Jamaa hata bifu na Israel hawana.Dunia kubwa hii😂😂😂
#Behindthescene
#BilaGanzi
Kuna za chiiini ya kapeti kwamba kuna baadhi ya Special force wa Israel walienda Gaza ili kuwakomboa mateka na wao wametekwa na wanajeshi wa Hamas.Mbwa kala mbwa😂😂😂
#Behindthescene
#BilaGanzi
France imesema inajiandaa kwenda kulinda maslai yake endapo yatateteleshwa na mapinduz yaliyofanyika Niger.Maslai gani tena situlikubaliana Niger ni nchi huru au ndo nchi huru chini ya France😂😂😂
#Behindthescene
#Bendthescene
Taarifa Mpya:
Korea Kaskazini imetuma makontena elfu kumi yenye mizinga milioni tano kwenda Urusi.
Kim Jong Un yani yeye amani kwake anasa kabisa aisee.
#BilaGanzi
Putin anasema anashangazwa na siasa za US zinavyojifanya walimu wa demokrasia duniani wakati Rais Biden anamuandama mpinzani wake Trump kwa kesi zenye sura ya kisiasa.tena bila ya aibu dunia inaona.ingekuwa nchi nyingine US ingekuwa wa kwanza kulaani.
#Behindthescene
Iran imeionya Israel endepo itaingiza jeshi lake GAZA hakuta kuwa na njia nyingine zaidi ya Iran kuingiza majeshi yake GAZA. Mmh naskia harufu ya ww3
#Behindthescene
#BilaGanzi
UTAKE USITAKE
Kwa jinsi alivyozungukwa na ulinzi hapo hata kama Sniper umetoka Lyaur trainning base,Tajikistan hautoboi tena kwenye mtembeo wa gari hakuna kitu unaweza fanya.
#Behindthescene
#BilaGanzi
Sasa zile mission za uongo na kweli kwenye Movie za Hollywood zinapigwa na SEALs au Green beret nchini Iraq.Special force wa Mrusi ndani ya Ukraine wanazipiga Og,na hutosikia wana brag kwenye media.Jamaa wameingia Sumy wamekichafua balaa Video hazitazamiki.
#Behindthescene
UTAKE USITAKE
Kupitia mgogoro wa jana Dunia ndo imeona sasa kuwa Putin anakubalika kiasi kiasi gani na jeshi,raia na upinzai mana baada ya kuongea yeye tu Urusi yote iliegemea upande wake .
#Behindthescene
#BilaGanzi
Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un anasema ishu ya GAZA is about freedom not about muslim or Christian.sababu hata Palestine kuna makanisa pia. Vip hapo? Kaongea ukweli au tumuache aendelee na ishu zake za makombora ya nyuklia?
#Behindthescene
#BilaGanzi
Rais wa Korea ameondoka Urusi na Rais wa Beralus Lukashenko anawasili Moscow kweli vikwazo vya US na EU ni kwa mapoyoyo lakini kwa vichwa ngumu mishemishe zinaendelea kama kawaida.hapo bado China,Iran,Venezuera zimegoma kupelekwa pelekwa.
#Behindthescene
#BilaGanzi
Kiongozi wa Korea kaskazin Kim Jong Un akizindua Ujenzi wa appartment 10000 baada ya kukamilika.Nyi endeleeni hivyo hivyo kukaririshwa Korea Kaskazini ni nchi masikini zaidi dunian na hao mabeberu.
#BilaGanzi
MAJARIBU YANAYO TINGISHA UHUSIANO WA US NA ISRAEL
(Somewhere In Middle East)
Uhusiano wa nchi hizi ni wa muda mrefu .Wamekuwa wakishirikiana kwnye mambo mengi muhimu kama Biashara,chunguzi za silah na kutengeneza silaha,vita vya ugaidi na kushea baadhi ya taarifa za kijajusi👇
WEEKEND NA CHAFU ZA MOTO
(YANAYO IKUTA UFARANSA)
Kijana Nahel Marzouk mwenye miaka 17 mfaransa mwenye asili ya Algeria.Alisimamishwa na polisi akiwa anaendesha gari akagoma kusimama waka mblock akasimama alipotoka akachezea risasi za kifua akiwa karibu kabisa na polisi.
Su-35s za Urusi zilizokuwa zina escot msafara wa ndege ya Putin kwenye Persian gulf zilisababisha usumbufu mkubwa kwa meli vita za US baada ya electro magnetic warfare zake kuzima Rada zote za US na aircraf ya US kushindwa kurusha ndege masaa 24.
#Behindthescene
#BilaGanzi
Israel imethibitisha kikundi cha Hamas kimechukua maeneo kadhaa ya Israel na wanajeshi wa Israel wengi wa maeneo haya wapo mikononi mwa wapiganaji wa Hamas.Sijui ndo ile vita ya dunia tulio ambiwa itaanzia mashariki ya kati
#Behindthescene
#BilaGanzi
Kwa alicho kifanya Iran kwa Israel sijui kama kuna nchi itapeleka air defence zake Ukraine kibwege bwege alafu yenyewe ibaki mtupu.
#Behindthescene
#BilaGanzi
BREAKING
Kwa mara ya kwanza Hezbollah wameshambulia bandari ya Haifa, ambayo ni bandari muhimu zaidi kwa shughuli za kiuchumi za Israel.
Hivi hawa Hezbollah wanamjua vizur US hawa?
#BilaGanzi
MGOGORO WA MAKOMBORA CUBA
Kutokana na mzozo unaoendelea wa Ukraine kila mtu anaona kama kuna hatari kubwa kwa USA kuingia kwenye mzozo wa nyuklia direct na Urusi.Nikaona niwakumbushe kipindi ambacho dunia ilikuwa kwenye hatari kubwa zaidi ya vita vya nuclear kuliko sasa.👇
UTAKE USITAKE
Urusi ina ndege vita zaidi ya 3500.toka kuanza Operation maalumu ya kijeshi nchini Ukraine sijui hata kama ndege 200 zimetumika lakini kuna raia imekaza shingo inakwambia Urusi kaishiwa silaha.
Nawahakikishia Urusi haija tangaza vita na Ukraine bado
#Behindthescene
Unadhani Kwanini kwenye Mapinduz ya kijeshi yanayotokea kwenye nchi za Afrika kwa sasa unaona wananchi wakiwa na bendera za Urusi au Picha za Putin na Wakiimba nyimbo za kuchoshwa na Ukoloni na vibaraka wa mabeberu kwenye Nchi zao.
#Behindthescene
#BilaGanzi
Ijumaa ya wiki inayokuja Burkina faso inatiasaini memorandum of Understanding ya kujengewa Nuclear Power plant na Urusi.alivyokuwa anaomba walimuona kama chizi mbeleni watakuja kumuelewa.Dogo janja anaupiga wa kutosha
#Behindthescene
#BilaGanzi
KIM JONG UN NA PUTIN
"Makataba wa Ushirikiano wa Kistratejia Kati ya Urusi na Korea Kaskazini,nchi moja itaingia vitani moja kwa moja endapo nchi rafiki itachokozwa" — Putin.
Kazi ipo ngoja nianze kuchimba andaki langu mapema.
#Behindthescene
Burkina Faso nao wameona isiwe shida harakati za Balozi wa France nchini kwao hawaielewi elewi,wamempa masaa 48 aondoke nchini Burkina faso haraka sana
#Behindthescene
#BilaGanzi
UTAKE USITAKE
Kwa ule mkwara waliokuwa wanapiga waziri mkuu wa Israel na Mkuu wake wa majeshi wa kutoa saa24 wanaingia Gaza sikutegemea itafika wiki ya tatu hii wanaomba msaada US.Inawezekana hata mateka wa Entebe uganda waliokolewa na US tuka pangwa.
#Behindtheacene
#BilaGanzi
Iran nuclear deal ndo ishakufa hivyo.Iran kashapata backup ya Urusi uwezi kumrudisha mezani kijinga. Na pia uwezi kumtenga sababu ashakuwa na kampani ya uhakika kibiashara ndani ya BRICS.
#Behindthescene
#BilaGanzi
Drone nyingine zimerushwa kutoka Yemen na Iraq. US air force wanajaribu kuzitungua drone kutokea Iraq. US anaingilia nini Ugomvi wa watoto huu si akapambana na Urusi level zake.Ndo mana nasema ile historia ya kupiga nch sijui ngap tulipigwa changa la macho.
#Behindthescene
Ebu tuwekane sawa hapa kidogo.Hivi kama Israel inanguvu za kijeshi za kupambana na Iran mbona US ndo wanajiandaa zaidi kwa mapambano na Iran kuliko Israel.Hapo ndo utajua hileee historia tulipigwa changa la macho US.
#Behindthescene
#BilaGanzi