Jacqueline Lawrence
4 months
Nasema haya ili uelewe tatizo hili sio la wamiliki wa vyombo wala vyombo vyenyewe,tatizo ni rushwa! Na watoa rushwa ni sisi watu kwenye jamii, rushwa imefanya kuonekana kwamba ni kawaida, ukikamatwa na traffic, ukitaka mambo yako yaende haraka kwenye ofisi za watu,unatoa rushwa