Pale highschool ukiteleza kama umebeba githeri yako afadhali ungevunjika mkono as long as githeri haimwagiki...in fact ulikuwa unaweka hiyo githeri chini kwanza alafu unaanguka.
Huwa una save 10K alafu unaskia sijui nani wenu uliumwa skio na mwenda wazimu na anahitaji 10K adungwe dawa ya mad morio disease,,stay woke... don't save!