Kuna dogo ana div 1 form 6,div 1 form 4 ,pia kasoma shule za serikali toka primary mpaka A level ,chuo alipata mapema (Saut) anatokea familia ya wakulima, maskini dogo alienda mpaka JKT maana alihiisi asipoenda atakosa mkopo ,lakini bado kako
Swali BODI WANATUMIA VIGEZO GANI?