Leo nimemsikia mwanafalsafa redioni akisema kwa nini watu wanapoteza muda kwenye utumishi wa umma ilhali kuna fursa nyingi nje ya huo utumishi...mfano kilimo
Nikatafakari kwa kina, hivi walimu, wauguzi, mahakimu, polisi n.k wakiacha kazi wote tutakuwa na Taifa kweli 🤔🤔🤔