Leo maandiko ya gari flani zinalipa haraka hatuyaoni kabisa ...
#ripSauli
umefanya Scania bus ziheshimiwe Tanzania 🇹🇿 umezirudisha mjini
Uko ulipo Katarama anakuwakilisha 😪
Hakika ni vya Mwenyezi Mungu anacho kichukua, na ni Chake Anachotoa, na kila kitu kina muda maalumu kwake
Ee Mungu, msamehe, Ee Mungu, mpe kauli thabiti
R.i.p James
Mamlaka ya udhibiti usafiri ardhini, (LATRA) imesitisha leseni ya usafirishaji kwa kampuni ya mabasi ya Katarama kwa muda usiojulikana kutokana na kuchezea mfumo wa ufutiliaji wa mwendo huku ikitoa wiki moja kwa kampuni zingine tatu kujirekebisha na uvunjifu wa kanuni za leseni.