I have come to realize kama haingekuwa polisi tungekuwa tumetoa Ruto kitambo, without the police Ruto is nothing at all. Stop killing peaceful protestors.
Lakini si ata sisi maskini tupewe tukue cabinets pia, utakuwa unaskia kwa vetting mtu akiulizwa his financial net worth anasema " sina kitu kabisa ata niliomba pesa ya transport kufika hapa na nafaa kulipa by kesho" 😂😂
Ruto amefanya sisi wakalee hatuaminiki tena but i want to assure you guys, tuko na nyinyi kabisa na agenda moja Ruto must go, Hakuna faida tumepata,tunateseka wote.
One of this fine days tunafaa kutenga siku moja ya kudeal na hawa paid goons, wanajiona wanoma sana, it's because our agenda ni ingine bora tungewavaa proper.
Hakuna watu walikua wanajiona discipline kama wale walikua wanasema thank you after kuchapwa, mimi nilikuwa napewa zangu naamka na maubad ya kulima modee after form four😂😂🤣