Nataka kuanza uwakala wa Bank
Nmb, Crdb Nbc
Mwenye uzoefu plzzz
Na mtaji sh ngap kama kianzio
Nb: me ni mtu wa chini sanaaa sina pesa Mingi
Elimu plzzz🙏
Mwanaume 1 mrefu
2. Black au whte flani
3. Anahofu ya Mungu
4. Anakukumbusha kusali nk
5. Anakujali
6. Ukiamka au ukitaka kulala simu ya 1 ni yeye 😊
Sijui mnanielewa??????
Muwe na usiku mwema🥂
Nataka kulala
Ila b4 sijalala
11.11.198.... Baba Boys alizaliwa.
Happy reborn inadvance Baba Boys
Mungu aendelee kukulinda
Daima nakuombea yalio mema
Nakutakia mema ktika mwaka wako mwingine. Endelea kupambana lkn usiharibu 🔥😍
Basi zamani hizo, bintie mimi nikawa katika penzi zito sana penzi ambalo simskilizi mtu yeyote yule zaidi ya Beb wangu.. Nimeishi na huyo mupenzi since 2007 enzi hizo tunatumiana mabarua na Dedication kibao na maisha ya hostel kila mtu anaweka saini
Daima Niko proud na wanaume wafuatao
1. Aliyenifundisha Kissing, hug, sex 😍 Mungu akubariki uko ulipo😍🥰♥️
2. Hawa tuliozaa nao 😄 bila hvo nisingejua km nipo mzim mpk lewooo
Sijui nataka kusemaje ila 🥰♥️😍🔥✌️🙏🙏🙏🙏🙏
3.
Zamani nilikua nasema nikifika 27yrs old lazm niwe nimeolewa niiishi na husband na watoto wangu😀
Kumbe dunia ina mipango yake na Mungu kapanga yake 😀🙌 😀🙏🙌
Kuna hii vita ya usioe mdada aliyezaa.... ila sijajua hawa wakaka waliozaa watoto zaidi ya 3 au wa4 alf mama tofauti tofauti.. imekaaje hiii wakuuu
Au na yeye Tusikubali kuolewa nae??
Fo me No 😀✌️