AMOPE: Kafutwa au Vipi? Kwa Nini Mtangazaji Nguli Hassan Mwana wa Ali Anaondoka Radio Maisha?
Akizungumza katika kipindi chake cha mwisho cha Nuru ya Lugha mnamo Jumamosi - Februari 18, Hassan amethibitisha taarifa ambazo zimekuwa zikisambaa kwa mitandao