Mmiliki wa hili gari anatokea Denmark. Hakuwasha gari lake kwa mwezi mzima mpaka pale njiwa huyu alipo angua mayai yake.
Alisema;~"ilimradi kachagua gari langu kutengeneza kiota chake Nitalingana/nitafanana na roho yake"
"£we Mwenyenzi Mungu Nakuomba kama ipo siku nitapoteza tumaini langu....Basi nakuomba unikumbushe kuwa mipango Yako ni sahihi kuliko matarajio yangu🙏
...Good morning Taifa la Mungu 🌍🌄
Hatuko Tena chini ya utumwa wa dhambi YESU KRISTO ametukomboa na kutuweka Huru.🙌
"Kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu~Wagalatia 3:16 (b)
Good morning Taifa la Mungu 🌍🌄
"Idadi ya watu wanaosubiri kuona ukikosea Ili wapate neno la kukushtaki ni kubwa kuliko idadi ya watu wanaotaka kusikia umefanya vizuri wakupongeze.💪
Good morning everyone 💕🌄
Inapotokea tunaowapa kipaumbele kwenye maisha yetu hawatuzingatii haifuti alama ya Upendo na Wema tuliowatendea tuwape muda wa kutambua Umuhimu wetu..✍️
Gm🌄🙏
"Kuwa makini sana na watu unaowakaribisha kwenye Meli Yako wengine wataizamisha kwa Kuwa wao sio manahodha"
Wengi wakishindwa kupata walichojia kwako watahitaji kukuangusha Ili mkose wote.
Good morning Africa 🌍🌄
Ahsante Mungu kumepambazuka tumepata fursa nyingine ya kuiona Siku ambapo Kuna watu hawana makosa kama sisi ila hawajapata kuona fursa hii Sio kwa ubora wetu ila kwa mapenzi yako! Mwenyenzi MUNGU!! Ikawe fursa ya kuwepo kwenye misingi yako!....AMINA🤲
Mara moja katika maisha Yako, Utakutana na mtu maalum anayekufurahisha, anaekuunga mkono na kukufanya kuwa mtu Bora zaidi Usimuache aende zake.
Good morning 🌄
Ukweli ni kwamba tunasadia kwa Sababu tumepewa moyo huo wa kuguswa na Matatizo ya wengine ila tuwaambie tu ukweli tuna Matatizo kuliko zenu📌
Good morning 🌄🙏
Ulipozaliwa tu Kuna watu walichukia maana walijua uwepo wako duniani ndio mwanzo wa mafanikio katika familia yenu. MUNGU ana makusudi na maisha Yako💪📌📌
Good morning 🌄🙏
Vijana tumejiweka mbali sana na Mungu haswa kwenye suala la Ibada. Kisingizio tuko busy kutafuta Maokoto. Utafutaji Uendane na Ibada TUBADILIKE.
GOOD MORNING 🌄🙏
Mchepuko hautakuja kuwa msaada wako pale ambapo utakuwa unaumwa halafu hujiwezi ila huyo mke wako unaye mdharau ndiye atakuwa msaada wako mheshimu mkeo..📌
Mwishoni mwa Mwaka huwa Kuna matukio ya ajabu na ya kusikitisha ikiwemo ajali Vifo na mengine mengi. Ee Mwenyenzi MUNGU mlinde Kila anaesoma post hii akaweze kuuona Mwaka 2024 na Ukawe Mwaka wenye mafanikio kwake. Aamen🙏
Good morning 🌄🙏
"Msitende neno lolote kwa kushindana Wala kwa majivuno Bali kwa Unyenyekevu,kila mtu na amheshimu mwenziwe kuwa Bora kuliko Nafsi yake.
Good morning Africa 🌍🌄
Usiogope kamwe kumpoteza mwanamke wako.. Yeye ndiye anapaswa kuogopa kukupoteza wewe. kwa Sababu Wanaume wenye thamani kubwa ni wachache kuliko wanawake Wanaovutia.📌
FT: Aston Villa 1 Man City 0
Kuwaacha watu hawa waondoke lilikuwa ni Kosa kubwa la kiufundi. Kwenye kichwa Cha Guardiola haya yalikuwa ni matumizi Mabaya ya akili They say you never know what you have till you lose it.
Heri ya Mwaka mpya kwa watu wote wanaotupenda, kwa maadui wanaotuchukia, kwa watu wote wasiotuelewa, kwa wanafiki wasiotukubali na kwa Wajinga waliotupoteza ..
Good morning 🌅
"Safari Yako aliianzisha MUNGU mwenyewe mkabidhi mambo Yako naye atakufanikisha kati njia zako ...usipambane mwenyewe muachie yeye akupambanie.
Good morning Africa 🌍🌄
Jambo kubwa la kushangaza kwenye maisha Kadri unavyodhani huna maana na hadhi Yako ni ndogo. Kuna watu kibao kwenye jamii wanakutazama kama kioo Cha mafanikio wanapambana wawe kama wewe!!
Good morning 🌄🙏
"Endesha kwa utaratibu unapokuwa kwenye hii barabara iitwayo "Maisha" maana Kuna watu ghafla watabadili njia na kuingia upande wako bila hata ishara yoyote..!__🚕
Good morning 🌄🙏
Chochote Utakachofanya Haijalishi ni kibaya au kizuri watu lazima Watakuwa na namna Mbaya ya kuzungumzia na hayo ndio maisha na hao ndio Binadamu.🙌
Good morning Taifa la Mungu 🌄
Mama yangu aliniambia mwanangu lia na utoe machozi uwezavyo lakini hakikisha unaponyamaza kamwe usilie tena kwa Kosa lile lile lililokufanya ulie mwanzo" Ahsante"mama..🙏🙏
Kwa Dunia ya Sasa ikitokea una ndugu mwenye roho nzuri Usiache KUMSHUKURU Mungu maana baadhi ya ndugu zetu FURAHA Yao ni kuona tunaishi maisha ya dhiki na wanachukia sana kutuona tunaishi maisha ya furaha na yenye mafanikio
Good morning 🌅🌄
@nyuki_malkia
Ukitaka kupiga wewe Tafuta Baraghashia kuubwa vaa ukipata kanzu pia freshi uwe na uwezo wa kuitamka neno A. Salaam aleykum vizuri!
Lakini kinyume na hapo nakuhakikishia hutoboi ni wabaguzi sana halafu wanajikuta waarabu🚮
Marafiki ambao hawezi kukusaidia Wakati unashida bado ni marafiki zako. they're not fake, nao wanapitia mengi japo wapo kimya ...huna haki ya kumkasirikia mtu ambae ameshindwa kufanya kile ambacho ulishindwa wewe kufanya..💯📌
Mwanamke mwenye akili na malengo ya kupata mume Bora hua hachagui mwanamme tajiri Bali huchagua mwanamme mwenye kumjali kumpenda kumthamini na kumheshimu 🙏
Good morning 🌄🙏