🇹🇿
#UhamiajiUpDates
CGI Dkt. Anna Makakala jana tarehe 10/07/2024 amehitimisha ziara yake za kikazi katika Mkoa wa Tabora ambapo aliongea na Maafisa, Askari na Watumishi raia pamoja na kukagua mradi wa ukarabati wa nyumba za makazi ya watumishi zilizopo katika Manispaa ya Tabora.