90% ya watanzania hawana information sahihi kuhusu vyuo vikuu nje ya nchi, fursa zilizopo pamoja na gharama husika.
Pia 10% iliyobaki wenye taarifa sahihi, 8% hawana uwezo wa kusoma vyuo vikuu nje ya nchi.
Pia 2% iliyobaki, 1% wanaona kusoma vyuo vikuu nje ya nchi ni anasa
1%
Je, umewahi kufikiria kusoma na kufanya kazi nje ya nchi kwa wakati mmoja?
Kwa miaka mingi, Canada, Marekani, Uingereza, na nchi kubwa za Ulaya zimekuwa zikionekana kama maeneo bora ya kusoma nje ya nchi.
Lakini vipi nikikuambia kuna chaguo bora zaidi?
Hivi karibuni, kuna
Watu 12 maarufu Tanzania
Na kozi walizosoma Bachelor degree
Cheki kama kuna aliyesoma kozi yako
Thread, Please RT
1. Salim Kikeke - Journalist and News Anchor
Bachelor's degree in Journalism and Mass Communication from University of Dar es Salaam.
Je, umemaliza Bachelor in Engineering?
Zifuatazo ni Masters in Engineering 10 ambazo unaweza kwenda kusoma abroad
Ipi Kati ya hizi unaona ina ushindani katika soko la ajira?
Thread
1. Masters in Genetic Engineering
2. Masters in Software Engineering
3. Masters in Power
Study in India
Masters in Medical Lab Technology
Masters in Radio Imaging Technology
Masters in Clinical Embryology
Masters in Optometry
3500 USD per year
All inclusive
Study abroad with
@UNIAIDAFRICA
Sababu 4 kwanini degree ya Kwanza ukasome India na sio nchi nyingine
Watanzania wengi wana Imani potofu kuhusu India kama moja wapo ya study abroad destination
@UNIAIDAFRICA
tupo hapa kuwatoa hofu hiyo na zifuatazo ni sababu 4 kwanini India is the best country to study abroad
Ombi lenu limefanyiwa kazi
Top 10 ya matajiri Tanzania
Na kozi walizosoma Bachelor degree
Wengine ni marehemu
Thread, Please RT
1. Mohammed Dewji
Utajiri: Biashara na viwanda (MeTL Group)
Shahada ya Kwanza: International Business and Finance (Georgetown University)
Karibu
@UNIAIDAFRICA
mawakala bora wa vyuo vikuu nje ya nchi
Budget ya Tsh 8M tu kwa mwaka inatosha kusoma kozi ya ndoto zako vyuo vikuu nje ya nchi
Fika ofisini kwetu 6th floor, Mwanga Tower, DSM au piga 0742109191
#kilamtuapatechuo
#uniaidafrica
Je, umehitimu form 6 au diploma Mwaka Jana 2023?
Je, hujafanikiwa kujiunga na chuo kikuu mwaka Jana 2023?
Je, upo chuo na unasoma kozi isiyokuwa ya ndoto yako au isiyo marketable na unajua kabisa unapoteza muda?
Karibu
@UNIAIDAFRICA
tunakusaidia kupata vyuo vikuu nje ya nchi
Study in Middlesex University, Dubai
Study in University of Manitoba, Canada
Study in Arden University, Germany
Study in BSBI University, Germany
Study in University of Manitoba, Canada
Study in C3S Business School, Spain
Study in Coventry University, UK
Study in Jain
Je, ulikuwa unajua
@UNIAIDAFRICA
Ndio taasisi pekee Tanzania
Inayoweza kukupatia
Scholarship ya asimilia 30
Kusoma Middlesex University, Dubai
Wanafunzi wetu wote
Wanapata 30% scholarship
Kusoma kozi zaidi ya 200
Fika ofisini kwetu 6th floor Mwanga Tower au piga 0742109191
Kipima Joto
Unamshauri nini mwanafunzi aliyehitimu form 4?
A. Asijaribu kwenda A level, akasome tu Diploma
B. Aende A level asije kosa mkopo chuo
C. Inategemea na kozi, kama ni arts na biashara aende A level, kama ni afya na engineering aende diploma
D. Aangalie tu mwenyewe
Easy Thursday. My sense of self awareness in terms of fashion is undeniably flawless. I can't think of a better outfit to kick start my day.
Call it what ever you want but I'll call it dripping ✍️✅
Mzee Chilo anawakaribisha
@UNIAIDAFRICA
mawakala bora wa vyuo vikuu nje ya nchi
Anakuambia budget ya Tsh 8M tu kwa mwaka inatosha kusoma kozi ya ndoto zako vyuo vikuu nje ya nchi
Fika ofisini kwetu 5th floor, Mwanga Tower, DSM au piga 0742109191
KIPIMA JOTO
Kulinganisha na soko la ajira
Ushindani pamoja na upatikanaji
Muhitimu wa Bachelor degree
Anashauriwa
A. Ajiendeleze Masters mara moja
B. Atafute mtaji afungue biashara
C. Ajishikize sehemu hata bure ili apate uzoefu
D. Asubiri ajira za mama
Sunday Challenge
Comment chochote kwenye post hii
Comment yako isipopata
Like yoyote mpaka saa 4 usiku
Utazawadiwa
*Tsh 10,000 na T shirt ya UNI-AID AFRICA*
Vigezo na masharti
1. Uwe umetufollow
@UNIAIDAFRICA
2. Uwe umeretweet post hii
3. Mwisho wa kucomment saa 3 usiku
Simba anakufa ngapi leo?
Tabiri mechi ya Leo
Kati ya Simba SC na Tabora United
Uweze kushinda 10k for correct score
2K kwa wafungaji sahihi
Vigezo na masharti
1. Huruhusiwi kutabiri zaidi ya Mara 1
2. Uwe umetufollow
@UNIAIDAFRICA
kabla ya utabiri
3. Mshindi ni mmoja tu
4.
Full Funded Scholarship
Masters in Nursing in
1. Community Health Nursing
2. Obstetrics & Gynaecology
3. Child Health Nursing
4. Medical Surgical Nursing
5. Psychiatric
Apply on the link below:
@UNIAIDAFRICA
#kilamtuapatechuo
#uniaidafrica
Wadau wameomba ya matajiri wa Afrika
OKAY
Top 10 ya matajiri Afrika
Na Kozi walizosoma Bachelor degree
Cheki kama kuna aliyesoma kozi yako
1. Aliko Dangote (Nigeria)
Utajiri: Biashara za bidhaa za viwandani
Shahada ya Kwanza: Business Administration (Al hazar Uni in Egypt)
Study Aerospace Engineering abroad
3000 usd only including tuition fee, accommodation, food and ticket
Karibu ofisini 6th floor, Mwanga tower. Dar es salaam au piga 0742109191
Study abroad with
@UNIAIDAFRICA
#uniaidafrica
#kilamtuapatechuo
Ukiingia tu ofisini kwetu
Unakutana na budget za kusoma vyuo vikuu nje ya nchi
Kwa hizi budget hapo ukutani
Unajiona ukisoma nchi gani abroad?
Please share watu wazijue
Study abroad with
@UNIAIDAFRICA
#kilamtuapatechuo
#uniaidafrica
Sunday Challenge
Comment chochote kwenye post hii
Comment yako isipopata
Like yoyote mpaka saa 4 usiku ya Leo
Utazawadiwa na
@UNIAIDAFRICA
1. Tsh 15,000 fedha taslimu
2. T shirt ya UNI-AID AFRICA
Video na masharti
1. Uwe umefollow akaunt yetu ya
@UNIAIDAFRICA
6. Dr. Tulia Ackson - Member of Parliament and Politician
Education: Bachelor's degree in Political Science and Public Administration from the University of Dar es Salaam.
Kama umeshawahi kupoteza hela kwenye forex, ni muda sasa ukaongeze elimu kwa kusoma Bachelor in Forex Management
Thread, maelezo inahusu nini na ajira zake.
Sio lazima uwe trader unaweza pata kazi hata kwenye mabenki
Bachelor in Forex Management ni nini?
Bachelor in Forex
Kozi 5 ambazo bora usome TZ kuliko kusoma nje ya nchi na kupoteza hela
No 1 itakushangaza
Thread. Please share
5. Diploma in Clinical Medicine
Hii ni bora usome TZ tu, ujitahidi ufaulu vzr maana kwa nchi nyingi hawaitambui kasoro India kuna vyuo 3 tu vinatoa hii Diploma
Tabiri ushinde
Tabiri mechi ya Leo
Kati ya Azam FC vs APR FC
Uweze kushinda 10k for correct score
2K kwa wafungaji sahihi
Vigezo na masharti
1. Huruhusiwi kutabiri zaidi ya Mara 1
2. Uwe umetufollow
@UNIAIDAFRICA
kabla ya utabiri
3. Washindi ni watatu tu
4. Tabiri kabla
Top 10 ya matajiri duniani na kozi walizosoma vyuo vikuu
Cheki kama kuna aliyesoma kozi kama uliyosoma wewe
Thread, Please RT
1. Bernard Arnault
Utajiri: $211 bilioni
Elimu: Alisoma Uhandisi (Engineering) katika École Polytechnique.
Chelsea anakufa ngapi leo?
Tabiri ushinde
Tabiri mechi ya Leo
Kati ya Chelsea vs Man City
Uweze kushinda 10k for correct score
2K kwa wafungaji sahihi
Vigezo na masharti
1. Retweet post hii ya utabiri
2. Huruhusiwi kutabiri zaidi ya Mara 1
3. Uwe umetufollow
@UNIAIDAFRICA
Watu mashuhuri duniani
Waliosoma University of Dar es salaam (UDSM)
Namba 10 itakushangaza
Inaletwa kwenu na
@UNIAIDAFRICA
Wataalamu wa vyuo vikuu nje ya nchi
1. Yoweri Museven
President of Uganda
Bachelor in Political Science
Tabiri ushinde
Tabiri mechi ya Leo
Kati ya Yanga na Vital'O FC
Uweze kushinda 10k for correct score
2K kwa wafungaji sahihi
Vigezo na masharti
1. Huruhusiwi kutabiri zaidi ya Mara 1
2. Uwe umetufollow
@UNIAIDAFRICA
kabla ya utabiri
3. Washindi ni watatu tu
4. Tabiri kabla
2. Said Salim Bakhresa
Utajiri: Sekta ya chakula, usafirishaji na viwanda (Bakhresa Group)
Shahada ya Kwanza: Hakuna taarifa za elimu ya shahada ya kwanza
7. Michael Ngaleku Shirima (marehemu)
Utajiri: Usafiri wa anga (Precision Air)
Shahada ya Kwanza: Aircraft performance engineer, from the Aviation College, Perth, Scotland
CEO wa
@UNIAIDAFRICA
Mr Cypriano Kasase kulia,
Anaahidi watanzania yafuatayo
1. Kozi bora zenye market Tanzania na nje ya Tanzania Mf Petroleum Engineering, Dialysis Technology, Cyber security, Artificial Intelligence nk.
2. Vyuo vyenye viwango bora duniani kwa gharama nafuu
5. Ali Mufuruki (Marehemu)
Utajiri: Biashara na uwekezaji (Infotech Investment Group)
Shahada ya Kwanza: Mechanical Engineering Design (Reutlingen University, Germany)
Watu maarufu/ mashuhuri waliokipiga Mzumbe University
No 1. Atakushangaza
Itoshe kusema Mzumbe ina Alumni wakali inakimbizana na UDSM
1. Nape Nnauye
Former Minister of ICT
Masters in Public Administration
Source: Wikipedia
Tabiri ushinde
Tabiri mechi ya Leo
Kati ya Yanga na Azam
Uweze kushinda 10k for correct score
2K kwa wafungaji sahihi
Vigezo na masharti
1. Huruhusiwi kutabiri zaidi ya Mara 1
2. Uwe umetufollow
@UNIAIDAFRICA
kabla ya utabiri
3. Washindi ni watatu tu
4. Tabiri kabla mechi
Mwaka 2022, baada ya kuhitimu mchepuo wa PCB katika shule ya sekondari singe iliyopo babati mkoani manyara, Aloyce Mollel (pichani) alihangaika sana kutafuta chuo cha afya nchini kwani mwaka huo wanafunzi wengi walifaulu hivyo kufanya competition kuwa kubwa sana.
Vyuo vingi vya
Umeshawahi kusikia kozi inaitwa
"Masters in Clinical Embryology"
Masters in Clinical Embryology ni programu ya uzamili inayojikita katika utafiti na matibabu ya masuala yanayohusiana na uzazi na ukuaji wa viini tete (embryos). Programu hii inawapa wanafunzi ujuzi na maarifa
3. Rostam Aziz
Utajiri: Mawasiliano, madini na kilimo (Vodacom Tanzania, Caspian Mining)
Shahada ya Kwanza: Bachelor degree in Economics, Exeter University UK
Kusoma kozi ya Bachelor in Nutririon
Ni kama kubet tu, kuna mawili
Mkeka utiki upate kazi
Mkeka usitiki uishie mtaani
Zifuatazo ni kazi unazoweza fanya
Ukishahitimu na mkeka kutiki
Please RT graduate wazione
1. Clinical Dietitian/Nutritionist | Mtaalamu wa Lishe wa Kliniki:
9. Subhash Patel (marehemu)
Utajiri: Ujenzi na mali isiyohamishika (Super Group)
Shahada ya Kwanza: B. Tech. degree in electrical engineering from Loughborough University, Loughborough, England, in 1968, and the M. Tech. degree in electronic engineering from Brunel University.
Hii tweet ni kwale wanafunzi
Waliohitimu form 6 na Diploma
Mwaka huu 2024
Wanaotokea Familia duni
Na hawajioni kabisa
Wakipata mkopo chuo kikuu
@UNIAIDAFRICA
inawaletea
Online Bachelors degree
From Jain University, Bangalore
Kozi zinazotolewa Online ni pamoja na
1. Bachelor
10. Yusuf Manji (marehemu)
Utajiri: Ujenzi na mali isiyohamishika (Quality Group Limited)
Shahada ya Kwanza: Business Administration (Florida International University)
Kozi 10 kali za afya ukiachana na MD, DDS na Pharmacy ambazo madaktari wanaona aibu kukuambia
1. Bachelor in Optometry
Haipo Tanzania, Diploma yake ipo Bugando na Mvumi
2. Bachelor in Physiotherapy
3. Bachelor in Medical Lab Technology
4. Bachelor in Radiology
Nasikia ipo
Kozi 17 ambazo zina fursa ndogo sana ya ajira kwa kingereza tunasema low employability rate
Usijiloge kusoma hizi kozi
Unless you have something extra (Extra skills)
Utaishia mtaani
No 4 itakushangaza
Thread, Please RT
1. Bachelor in Fine Arts
2. Bachelor in Philosophy
8. Fida Hussein
Utajiri: Viwanda vya mafuta ya kula na sukari (Fida Hussein and Sons Group)
Shahada ya Kwanza: Hakuna taarifa za elimu ya shahada ya kwanza
5. Bill Gates
Utajiri: $134 bilioni
Elimu: Aliacha masomo katika Chuo Kikuu cha Harvard ambako alikuwa anasomea sheria lakini akabadilika kwenda hisabati na sayansi ya kompyuta.
Je, ulikuwa unajua?
MBA, ambayo ni kifupi cha Masters in Business Administration, ina specialization zaidi ya 10
Wengi wetu tumezoea
1. MBA in Banking & Finance
2. MBA in Marketing
3. MBA in International Business
MBA zingine ambazo zipo vizuri katika soko la ajira ni hizi
Juzi Ijumaa
Kuna mzazi alikuja ofisini
Anataka kumpeleka mtoto wake
Akasome nje ya nchi
Wakati naongea naye nikamshauri
Mtoto wake akasomee kozi inaitwa
"BACHELOR OF COMMERCE"
Maana mtoto wake alikuwa
Amehitimu combination ya HGE
Akasema Hapana
Mtoto wangu hawezi kusoma
Kozi
"Ijue Masters in Virology and Immunology pamoja na Ajira Zake"
Kusoma Masters in Virology and Immunology kunakupa ujuzi wa kitaalamu katika kujifunza virusi na mfumo wa kinga ya mwili. Hizi hapa ni ajira 10 ambazo unaweza kuzifanya ukiwa na shahada hii:
1. Virologist - Mtaalamu
Hapa kuna mambo 10 muhimu ya kuzingatia unapotaka kusoma vyuo vikuu nje ya nchi:
1. Uchaguzi wa Chuo Kikuu:
- Chagua chuo kikuu kinachotambulika kimataifa na kinachotoa kozi unayopenda kusoma.
2. Gharama za Masomo:
- Tafiti na ufahamu gharama zote zinazohusiana na masomo,
Je, umemaliza form 6 mwaka huu?
Je, unataka kuokoa tasnia ya filamu hapa nchini?
Nakushauri usome
Bachelor in Animation, VFX and Gaming Design
Hii kozi ni nzuri Sana na haipo Tanzania so opportunity yake ni kubwa
Kwa maelezo zaidi: 0742109191
Au fika ofisini kwetu 6th floor,
Kama hutujafollow
Huu ndo muda Sasa
Weekend hii
Update za scholarship kedemkede
Zitakujia live kupitia
Kurasa zetu za Twitter(x)
@UNIAIDAFRICA
@UNIAIDAFRICA
Na wengine wengi
Influencer gani ungepende kumuona ndani ya uzi wa
@UNIAIDAFRICA
Mtag kesho uzi umefikie mapema
Mwaka 2019,
@uniaidafrica
tulimsaidia Vedasto Ishengoma pichani kusoma Bachelor in Cardiovascular Technology chuo cha Galgotias kilichopo nchini India.
Pichani akiwa Agakhan Hospital, Dar es salaam kwa ajili ya internship ambapo aliweza kuapply kwa vitendo vitu vingi
Ukitaka kujua Dubai kuna hela
HR wa kawaida anakula 3M kwa mwezi
Hata kama living expenses ni 2M kwa mwezi bado unaweza save 1M ukatuma nyumbani au yakufanyia maendeleo
Soma hii ujue ukweli kuhusu Dubai
3. Nicky Oppenheimer (South Africa)
Utajiri: Madini ya almasi (De Beers)
Shahada ya Kwanza: Philosophy, Politics and Economics (PPE) (Oxford University)
Recruiting Recruiting
Front Office Intern
Tall white girl
Diploma or Bachelor Degree
Full time & to start immediate
Lunch & Nauli provided
Send CV at
Uniaidafrica
@gmail
.com
Study abroad with
@UNIAIDAFRICA
Hapa ndo atakapokuwa anakaa 👇
KIPIMA JOTO
Kozi gani ya afya inaopportunity ya kukunja mpunga mrefu after graduation?
A. Bachelor in Medicine
B. Bachelor in Pharmacy
C. Bachelor in Nursing
D. Bachelor in Optometry
E. Bachelor in Biomedical Engineering
Twitter graduates wa SUA
Twitter graduates wa Agriculture
Umeshawahi kusikia kozi inaitwa
𝗠𝗮𝘀𝘁𝗲𝗿𝘀 𝗦𝗰𝗶𝗲𝗻𝗰𝗲 𝗶𝗻 𝗔𝗴𝗿𝗼𝗲𝗰𝗼𝗹𝗼𝗴𝘆, 𝗪𝗮𝘁𝗲𝗿 𝗮𝗻𝗱 𝗙𝗼𝗼𝗱 𝗦𝗼𝘃𝗲𝗿𝗲𝗶𝗴𝗻𝘁𝘆?
Najua hujawahi
Click the link below ukasome inahusu nini, ajira zake ni
Kozi 10 kali za wanafunzi waliohitimu michepuo ya arts kama HKL, HGL na HGK ambazo wengi hawazifahamu
Please share ziwafikie wengi
1. Bachelor in Product Design
2. Bachelor in Fashion Design
3. Bachelor in Film Media
4. Bachelor of Journalism and Mass Communication
5. Bachelor
Vyuo 10 bora Tanzania
Pamoja na ranking zao Duniani
Source: 4icu website
Link:
Cheki kama chako kimetoboa
No 7 kitakushangaza
1. University of Dar es salaam
Founded in 1970
World Rank: 3169
Abbreviation (Vifupisho) zinazotumika vyuo vikuu ambazo wengi huwa hawazifahamu
Share kila mtu azijue, Thread
Ongezea ya kwako ambayo haipo
BBA - Bachelor in Business Administration
MBA - Masters in Business Administration
CPA - Certified Public Accountant
MSc - Masters of
Top 5 study abroad agencies of all time
Mawakala tano bora wa vyuo vikuu nje ya nchi wa muda wote hapa Tanzania
No 1 atakushangaza
5.
@UNIAIDAFRICA
Tumejikita katika unafuu na ubora wa vyuo tunavyopeleka wanafunzi wetu
Tuna opportunity nyingi za scholarship na sponsorship
Je, una ndoto za kufanya kazi kwenye NGO kubwa zinazojihusisha na mazingira
#climatechange
Watu wanavuta hela nzuri sana kwenye mashirika ya kimataifa yanayodeal na mazingira
Soma hii uelewe zaidi
Study abroad with
@UNIAIDAFRICA
#kilamtuapatechuo
KIPIMA JOTO
Kwanini wanafunzi wanaosoma vyuo vikuu nje ya nchi wanapata tabu sana kupata ajira nchini
A. Kwa sababu ya utofauti katika mitaala
B. Vyuo vingi vya nje havina vigezo
C. Nani amesema hayo maneno ya uongo
D. Wamesoma nje, wanarudi TZ kufanya nini
E. Kozi nyingi
Chini ya uongozi wangu hapa
@UNIAIDAFRICA
nitahakikisha tunaongeza ushirikiano (partnerships) na vyuo vikuu nje ya nchi
Leo hii nimekutana na Jain University kutoka India. Fursa iliyonivutia kutoka kwao ni Online education ambayo mwanafunzi hatasafiri kuelekea India.
Hii ni
Kwa miaka mingi sasa
Watanzania wamekuwa wakiteseka
Kupata chuo chenye ranking nzuri
Ili waweze kusoma ONLINE
Masters in Business Administration
Kwa kutambua hayo
CEO wetu Mr Cypriano Kassase
Amefanya juu chini kuhakikisha
Chuo hicho kimepatikana
Last week alipost kwenye page
4. Johann Rupert (South Africa)
Utajiri: Biashara za bidhaa za kifahari (Richemont)
Shahada ya Kwanza: Economics and Company Law (Stellenbosch University, lakini aliacha masomo)
+Lakini aliacha masomo+
5. Mike Adenuga (Nigeria)
Utajiri: Mawasiliano na mafuta (Globacom, Conoil)
Shahada ya Kwanza: Business Administration (Northwestern Oklahoma State University)
Jana nimetoka ofisini saa 9 usiku
Nikasema nichukue Bolt mpaka home
Nabook Online ikaja Tsh 7500
Nikasema sio kesi kwani
Muda huo hakuna madaladala
Ya kwenda Buza, Gongo la mboto
Bolt akafika chap tukaanza safari
Njiani tukuwa tunapiga stori
Nikamuuliza analala saa ngapi?
Maana