TAHADHARI: Kichwa hiki cha habari kinachoenezwa mitandaoni ni feki. Tunaomba ukipuuze. Tunajitahidi kukabiliana na usambazaji wa habari feki. Vinginevyo, endelea kufurahia uhondo wa habari, makala na taarifa za kuelimisha na kuburudisha za Taifa Leo.
Taifa Leo, Alhamisi, Julai 11, 2024
1. RAILA AOGOPA 'SALAMU' ZA GEN Z - Asema amejiondoa kwenye handisheki
2. Mpasuko katika Kanisa Katoliki
3. Tovuti mpya ya 'Taifa Leo' inavyobamba - itazame hapa:
Kupakua gazeti pepe, bonyeza
Taifa Leo, Jumanne, Julai 9, 2024
1, GACHAGUA ATOROKWA NYUMBANI - Mbunge wake amemhepa
2. Ripoti yaanika jinsi jamii mbili zinatawala Ketraco
3. Tovuti mpya ya 'Taifa Leo' inavyobamba - itazame hapa:
Kupakua gazeti pepe, bonyeza
TAIFA LEO Jumamosi, Machi 25, 2023
1. UDANGANYIFU WA DCI: Idara hiyo yadai baadhi ya picha ni za maandamano ya Machi 20 kumbe ni za zamani!
2. Korti yazuia CASs kuingia afisini
3. Ronaldo achezea Ureno mara nyingi zaidi
ST Anthony's Boys High ya Kitale yapiga Dagoretti High ya Nairobi mabao 2-0 na kuibuka mabingwa wa soka nchini kwenye mashindano ya shule za upili; fainali imeandaliwa katika uwanja wa Bukhungu, Kakamega.
TAIFA LEO Bara, Jumamosi, Julai 29, 2023
1. 'KIMETURAMBA!'
2. Magunia ya mbolea nafuu sasa yapunguzwa
3. Nitakufa na Raila - Uhuru
4. Mahrez aendea noti ya Saudia
TAIFA LEO Kitaifa Januari 24, 2022
1. Ruto apasua OKA
2. Wavamizi washambulia Lamu na kuharibu vifaa
3. AFCON: Cameroon na Comoros kuvaana leo
Nunua nakala kutoka kwa
Katibu Mkuu KMPDU, Davji Atellah asisitiza mgomo wa madaktari utaendelea, licha ya kukutana na Waziri wa Afya Susan Nakhumicha. Asema hakuna makubaliano yaliyoafikika.
Magoha asisitiza shule zafaa kufunguliwa sasa: ''Tanzania na Burundi hazikufunga shule zao. Mataifa majirani zetu kama vile Uganda, Malawi na Zambia yamefungua shule. Sisi pia tutafungua."
MADIWANI wa Kirinyaga wapitisha hoja ya kumbandua Gavana Anne Waiguru baada ya kikao cha kujadili hoja hiyo iliyowasilishwa na Kinyua Wangui ambaye ni diwani wa Mutira.
Taifa Leo, Jumatatu, Julai 8, 2024
1. RUTO BADO HAPUMUI - Vijana wa Gen Z waapa kurejea maandamano Alhamisi
2. Gachagua alia mbunge anamhujumu
3. Tovuti mpya ya 'Taifa Leo' inavyobamba - itazame hapa:
Kupakua gazeti pepe, bonyeza
Taifa Leo, Ijumaa, Juni 14, 2024
1. NI USHURU NA USHURU ZAIDI - Bajeti yaonyesha Wakenya wataendelea kuteseka
2. OCS apiga risasi hakimu, naye auawa
3. Dimba la
#Euro2024
laanza nchini Ujerumani
TAIFA LEO, Jumanne, Septemba 06, 2022
1.Rais wa Tano
2.Risasi ya mwisho ya Raila yalenga nje ya Ikulu
3.Uhuru arudia makosa ya Mzee Moi
4.Familia kuu za kisiasa zazimwa
5.Ruto avuka vizuizi tele kutua Ikulu
6.Mawaziri waliojaribu kuzima Ruto wazama
Kenyatta: Serikali ya Ruto imeshindwa kuafikia matarajio ya Wakenya, inafanya vibaya sana kwenye utendakazi wake. Siku hizi, inashinda ikinilaumu kwa kila kitu, hata mke wa wenyewe akikosa kushika mimba 'wanalaumu Uhuru'. Hata hivyo, nitaendelea kueleza yaliyo mawazoni mwangu.
“Inawezekana vipi kutugharimu Sh2 bilioni kuandaa kura ya maamuzi kwa wapigakura 20 milioni wakati ilitugharimu Sh10 bilioni kwa zoezi kama hilo kwa wapigakura 12 milioni?” - Ruto
Taifa Leo, Jumatano, Julai 17, 2024
1. KUMBE MAMBO BADO - Nchi yakwamishwa tena na maandamano
2. TAHARIRI: Ruto atapona akifuta ushuru wenye utata
3. Picha nyingi za mshikemshike wa maandamano
Taifa Leo, Jumanne, Septemba 17, 2024
1. INSPEKTA JEURI
2. Waiguru apinga kampeni Mlima Kenya kwa sasa
3. Nairobi inanuka, Rais Ruto sasa aambia Sakaja
TAIFA LEO BARA, Novemba 20, 2023
1. MNIKOME, Uhuru aambia Ruto na serikali yake kwa kuendelea kumlaumu kwa mabaya yote
2. Ruto amjibu Raila kwamba uchumi uko sawa
3. Bila bima mpya ya Kenya Kwanza hutatibiwa
Jipakulie gazeti hapa: