This day should not pass without thanking this fan base. You have been amazing from the very first time, thanks for the messages you have been sending to me. I can assure you Manzoki is red and I will remain red just like my blood. Have a wonderful day dearest fans 🦁
#NguvuMoja
They say "If you want to arrive to the promised land safely hire a good driver".
@bvrbvra
is the female CEO who is taking Simba to the right direction. Top figure in African football ✌️✌️.
#TheEmperor
Miquisonne na Chama waliondoka Simba wakiwa katika ubora wao. Hatukuwatukana bali tuliheshimu maamuzi yao sababu tulikuwa tunajua mpira ni maisha yao.
Na hii ndio maana Chama amerudi tena Simba sababu hakuondoka kwa ugomvi. Imagine tungewafanyia kama Yanga wanavyo mfanyia Feisal
Hii picha ilipigwa mwaka 2005 kwenye kombe la Dunia chini ya miaka 20 na hawa ndo walikuwa wachezaji watatu bora wa mashindano hayo.
Umejifunza nini?? 😃😃
Kuna haja hizi Media zianze kuajili watu walio wahi kucheza mpira ndo wawe wachambuzi. Ukimsikia Amri Kiemba akiwa anachambua mpira ni tofauti na hawa wachambuzi wa mchongo, hana haraka wala mihemko. It gives me the feeling labda ni kwa sababu amewahi kuucheza mpira wenyewe.
Vipers will always be my home and my family. I will never forget the love and support I received from the fans, teammates and staff members. All the best family ✌️
The Emperor
Uzuri mulishakubaliana na wachambuzi wenu kuwa hawa Horoya ni timu nzuri na Simba hawezi kutoboa. Kwaiyo hizi adhabu za leo tumezitoa kwa timu kubwa tusisikie zile kelele za Horoya timu mbovu 😎😎
🚨🚨🚨🚨🚨 TANGAZO 🚨🚨🚨🚨🚨
Kuelekea msimu mpya hakuna shabiki wa Simba inatakiwa abaki na followers wachache. Kila siku jioni tutakuwa tunainua account 20 za mashabiki wa Simba.
Comment na emoji ya 🦁 hapa chini me nitaku-mention hakikisha unafollowback.
Haya twende kazi 👇🏾
BAADHI YA MAMBO NILIYO YAONA KWENYE MECHI YA SIMBA SC Vs DODOMA JIJI.
Kwanza kabisa tunamshukuru Mwenyezi Mungu na hongereni kwa ushindi Wanasimba.
Yajue mambo matano muhimu niliyo jifunza kutoka kwenye mechi ya Simba dhidi ya Dodoma Jiji.
Uzi Mfupi 👇🏾
Kitu positive nimeondoka nacho kwenye mechi ya leo ni performance ya Mohamed Mussa. Amecheza dakika chache lakini ameonyesha anastahili kupata nafasi za kucheza.
Mashabiki wa Simba wanahisi ni rahisi kiivyo kupata mchezaji mwenye kaliba ya Chama au hata nusu yake. Wengi wanao sema mwache aondoke ndo wataanza kulia lia msimu ujao.
Tumesajili wachezaji wengi lakini hatujawahi kupata Chama mwingine.
Kwenye Caf Champions League msimu huu kuna hat-trick moja tu nayo ni ya Clatous Chota Chama. Niongeze sauti au wote mmesikia mpaka mlio huko shirikisho?? 😃😃
Sakho anafanya mazoezi na mastar wa Ulaya na anafundishwa na Aliou Cisse kocha mwenye tuzo ya ubingwa wa CAF Nations.
Chama anafanya mazoezi ya Patson Daka star ya epl na kufundishwa na Avram Grant kocha aliyecheza fainali ya UEFA.
We're cooking something 😃😃
Upande wa fullbacks bado haijawahi tokea duo kali kama ya Zimbwe Jr na Shomari Kapombe kwenye ligi kuu ya Tanzania. Performing at a very high level for more than 5 seasons should be written in the books of record.
Stories kuhusu nani kocha bora kuwahi kutokea Tanzania inatakiwa iwe kati ya Sven na Gomes, rekodi zao zinajieleza. Hizi kelele za Nabi this, Nabi that zinakuja kwa sababu ya mihemko unless otherwise inatakiwa Nabi atu-prove wrong kwa kufanya vizuri zaidi ya hawa Wamba.
Energy ambayo huwa tunatumia kumkaanga Kibu Denga ikitokea ameharibu let's use the same energy kumpatia maua yake. Leo ndio alikuwa mchezaji wetu bora uwanjani, kiufupi ameupiga mwingi sana 😃😃
Good morning football 🦁🦁
Leo nimepata nafasi ya kumsikiliza Engineer kwenye kipindi cha Power Breakfast (Clouds Fm). Alikuwana anaongelea ishu ya mechi ya fainali ya shirikisho, mabadiliko ya mfumo na uongozi ndani ya Yanga, kuhusu Feisal Salum na ujenzi wa uwanja mpya (1/5)
Kocha mkuu wa simba, Mbrazil Robertinho Oliveira ameigia kwenye program maalumu ya upigaji penati na mipira iliyo kufa na wachezaji watano wa Simba.
Program hiyo inawahusisha Clatous Chama, Baleke, Saido Ntibanzokiza, Onana na Luis Miquisone.
👇🏾
Azam walitumia kigezo gani kumuacha huyu Kocha? So far sijaona kocha yupo self-motivated na anapenda kitu anacho kifanya kama huyu jamaa. Nimekuwa nikimfwatilia toka amehamia Simba naomba kusema ni moja ya makocha bora.
Angalia kazi yake kupitia video fupi hapa chini 👇🏾
Sakho ana magoli 3 kwenye ligi na Mayele ana magoli 3. Hapa Sakho ni winga na Mayele ni namba 9 lakini wachambuzi wetu wa Bongo wanasema Sakho ameshuka kiwango na wakati huo huo wanasema Mayele ni mshambuliaji hatari. Naomba niishie hapa kabla Utopolo hawajanimaindi 😃😃
UCHAMBUZI MFUPI KUELEKEA MECHI YA WYDAD Vs SIMBA..
NOTE:
♦️Huu ni uchambuzi wangu mfupi na maoni yangu kabla ya mchezo wetu na Wydad.
♦️Maoni yangu yanaweza yasihakisi hali halisi kuelekea mechi hiyo.
A thread.
Ningekuwa Robertinho leo.
1. Ningemwanzisha Israel Mwenda kama beki
#2
.
2. Ningemwanzisha Moses Phiri kama mshambuliaji wa mwisho.
3. Chama ningemrudisha eneo lake pendwa (nyuma ya mshambuliaji).
Toa maoni yako kuhusu mechi ya leo 👇🏿👇🏿