It is a blessing that you call me My SON and I call you My MOTHER. Your Love, Protection and Guidance saw me through all lifeβs hurdles, your PRAYERS led me to greener pastures. Today we celebrate you, Our Prayer Warrior, Our Sanity, Our Pillar of Strength.
Happy Birthday Mama.
Askari nao wakamuuliza, βJe, nasi inatupasa tufanye nini?β Akawaambia, βMsimdhulumu mtu wala msimshtaki mtu kwa uongo, bali mridhike na mishahara yenu.β
Luka 3:14 ππΎ
Mh. Ni masaa 27 yamepita hatujasikia lolote kutoka kwako kuhusu
#Covid19Tz
, huoni kuna haja ya kuwa unatoa taarifa at leask kila baada ya masaa fulani. Au ni Twitter tu ndio hatuna taarifa?
Leo, kikao na Wataalam kuweka mikakati zaidi ya kukabiliana na
#COVID19
nchini. Mambo mawili ya kusititiza;-. 1. Hospitali binafsi na za serikali kuzingatia Miongozo ya Wizara kabla ya kupeleka wagonjwa Hospitali za Rufaa. 2. Elimu kwa Wananchi kuwa sio kila Homa/Mafua ni Corona
A year ago
@YourFrenchFry
aliweza kumfanya jamaa yangu
@rollymsouth
kuwa na furaha kiasi hiki.
>Fast forward kesho yake saa saba usiku tukakutana na Bwana Rolland anasaka chipsi mishkaki zenye chachandu for Mrs na bado alikuwa anatabasamu namna hii.
Mungu Azidi Wabariki. ππ€
#JeWajua
Mobutu Sese Seko, rais wa Zaire (Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo) alipitisha sheria kwamba Televisheni ya Zaire hairuhusiwi kumtaja mtu yeyote kwa jina isipokuwa yeye.
Aliagiza habari zote za jioni zianze na tukio la yeye kushuka kutoka mbinguni.
#ElimikaWikiendi
Ikiwa mtu atasema, βNampenda Mungu,β lakini anamchukia ndugu yake, yeye ni mwongo. Kwa maana kila mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, atampendaje Mungu asiyemuona?
1 Yohana 4:20 ππΎ
Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote wala usizitegemee akili zako mwenyewe; katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyoosha mapito yako.
Mithali 3:5-6 ππ½
Nimejifunza siri ya kuridhika katika kila hali, wakati wa kushiba na wakati wa kuona njaa, wakati wa kuwa na vingi na wakati wa kupungukiwa.
Wafilipi 4:12 ππ½
My Day Oneβ¦
Mwenyezi Mungu akubariki na kukulinda, siku zako zikawe nyingi hapa chini ya jua. Atuongoze tuweze furahi katika mafanikio kama ambayo tunafurahi katika changamoto zetu.
You are a blessing
@salim_alkhasas
. Happy Birthday Blood. ππ½ππ½ππ½
Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala njia zangu za uasi, sawasawa na upendo wako unikumbuke, kwa maana wewe ni mwema, Ee Bwana.
Zaburi 25:7 ππΎ
Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote wala usizitegemee akili zako mwenyewe; katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyoosha mapito yako.
Mithali 3:5-6 ππΎ
Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa mlango. Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.
Mathayo 7:7-8 ππΎ
"Hakuna silaha itakayofanyizwa dhidi yako itakayofanikiwa, nawe utauthibitisha kuwa mwongo kila ulimi utakaokushtaki. Huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana na hii ndiyo haki yao itokayo kwangu,β asema Bwana.
Isaya 54:17 ππΎ
Lolote mkono wako upatalo kufanya, fanya kwa nguvu zako zote, kwa kuwa huko kuzimu, unakokwenda, hakuna kufanya kazi wala mipango wala maarifa wala hekima.
Mhubiri 9:10 ππΎ
Magole Agriculture Limited tuko mstari wa mbele kuhakikisha kwamba tunalisha Watanzania na kutoa ajira katika mnyororo wa thamani na katika kilimo kwa ujumla. Pia tutaendelea kuwajengea uwezo wakulima wadogo. Karibuni.
#ElimikaWikiendi
Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, kabla hazijaja siku zilizo mbaya, wala haijakaribia miaka utakaposema, mimi sina furaha katika hiyo.
Mhubiri 12:1 ππΎ
#JeWajua
Wakati wa utawala wake Idi Amin alipiga marufuku wanawake kupaka manukato, kuvaa mawigi, suruali na vimini. Yote ilikuwa katika harakati za kulinda maadili ya nchi.
#ElimikaWikiendi
PS: Ya single ladies next time.
#JeWajua
Hayati Muammar Gaddafi amewahi kutoa hotuba Umoja wa Mataifa kwa masaa mawili. Aliongelea kuunga mkono maharamia wa Somalia, alidai Israeli wanahusika na kifo cha J.F. Kennedy na akamtaja Barack Obama kama "Mwanangu."
Alikuwa amepewa dakika 10 tu.
#ElimikaWikiendi
Nimelificha neno lako moyoni mwangu ili nisikutende dhambi. Ninakutafuta kwa moyo wangu wote, usiniache niende mbali na amri zako.
Zaburi 119:10-11 ππΎ
OSHA wanakuja kufanya ukaguzi wa sehemu ya biashara, ofisi ni chumba kimoja na wanaleta gharama za ukaguzi TZS 1.2M, sawa na kodi ya chumba cha biashara kwa mwaka mzima.
Tunaambiwa tucomply. Bado wengine hapo.
Tunasema tunataka kujenga UCHUMI na hapa Morogoro kuna gari zaidi ya 300 zimezuiwa zisiendelee na safari, zikomngoja kiongozi mmoja apite, dakika 40 sasa. Uchumi gani huu? Wa Misafara? SMH.
Nimemtuma mtu akanunue majembe. Karudi kasema tayari, nikamuelekeza wapi kwa kuyapeleka. Half an hour later anarudi na kuniambia, βwanauliza mbona hayana mipini?β
π₯Ί
Awamu ya kwanza ya ujenzi wa nyumba za walimu shuleni Msinune imekamilika ambapo nyumba mbili za kuishi zimekabidhiwa kwa Walimu. Mpaka mradi utakapokamilika
@FMFound
tunatarajia kujenga jumla ya nyumba nane kwa ajili ya walimu shuleni hapo.
Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote wala usizitegemee akili zako mwenyewe; katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyoosha mapito yako.
Mithali 3:5-6 ππΎ
Mwaka 2016
@FlavianaMatata
alifadhili mafunzo ya uokoaji kwa wakazi 50 wa mikoa ya Kanda ya Ziwa katika maadhimisho ya miaka 20 ya ajali ya
#MvBukoba
.
Katika maadhimisho hayo ilitolewa rai kwa serikali kuongeza vifaa vya kisasa katika kukabiliana na ajali za majini.
#MvNyerere
Hivyo usiogope, kwa maana niko pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako. Nitakutia nguvu na kukusaidia; nitakutegemeza kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
Isaya 41:10 ππ½
Mwenyezi Mungu awabariki na kuwalinda katika safari yenu mnayoianza leo
@ItsKamala
na
@najma_paul
. Neno lake daima likawe mwangaza katika mapito yenu.
Congratulations on your Wedding Day.
#KamalaWedsNajma
ππ½
Yeyote aliye mwaminifu katika mambo madogo, pia ni mwaminifu hata katika mambo makubwa, naye mtu ambaye si mwaminifu katika mambo madogo pia si mwaminifu katika mambo makubwa.
Luka 16:10 ππΎ
Utufurahishe kulingana na siku ulizotuadhibu, kulingana na miaka tuliyotaabika. Matendo yako na yaonekane kwa watumishi wako, utukufu wako kwa watoto wao.
Zaburi 90:15-16 ππ½
Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote wala usizitegemee akili zako mwenyewe; katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyoosha mapito yako.
Mithali 3:5-6 ππ½