Mkulima wa Kisasa: Safari ya Mafanikio Inaanza Hapa na Holly Green
@greenagrictz
Safari ya kuwa mkulima wa kisasa inaanza na kufanya maamuzi sahihi, kutumia vifaa bora, na kuwa na mpango mzuri wa uwekezaji kwenye shamba lako. Kwa zaidi ya miaka nane, Holly Green
@greenagrictz
From hydrological point of view.
Sehemu kubwa ya Wilaya ya Rufiji ni sehemu ya Delta za mto huu mkubwa zaidi Tanzania mto Rufiji . Bwawa la Mwalimu Nyerere lina ujazo wa 30-34 billion cubic meters likiwa ni bwawa la umeme la 9 kwa ukubwa Duniani na la nne kwa Afrika . Ukuta wake
Nina kazi ndogo ya Irrigation 80 Acres Iringa, nahitaji vijana watano hasa wanachuo wanaosomea Irrigation Engineering mwaka wa 3 na 4 , kazi itakuwa ya week tatu , terms na condition inbox, Kama uko tayari kujifunza, uwe na safety gears
#NipeDili
In Tanzania drinking water is more expensive that Fresh milk ! Hapa Mbeya (Tukuyu) Lita ya maziwa ni TZS 600 na Bottled water Lita Moja ni TZS 1000 this must be one the world wonders
Hii ni kazi yangu ya kwanza kufanya design na kujenga system ambayo ni automated , nafurahi kuona kazi hiyo inakwenda vizuri mwaka wa pili sasa ,hapa Miche humwagilia kwa mfumo wa misters ambazo hutoa maji kuendena na ukubwa wa benches
Form 6 mwaka wetu Tanzania nzima hapakuwa na A ya physics, Darasani kwetu PCM kulikuwa na Div I 7 tuu , shule nzima Div I zilikuwa 10 tuu na tulikuwa Wanne (4) kitaifa kwa ufaulu mzuri , Now days mambo ni marahisi sana 😀
Tusidanganye , ufaulu mzuri, kuwa na GPA kali ni nafasi nzuri sana ya kutusua kimaisha kuliko kuwa na GPA ndogo , tafsiri ni kwamba mtu mwenye GPA kubwa aliitendea haki nafasi yake ya shule na hata kazini atafanya vizuri pia and vise versa
Ayaa niueni sasa
Huu ndio ukweli kuhusu kazi za ukandarasi, hapa bado hujasumbuliwa kwenye malipo , ukimaliza kazi hujalipwa ukijifanya unadai interest ya kucheleweshewa malipo taasisi inakublack list na unatengeneza uadui
Wahudumu hasa wadada ukimpa 10k na umenunua kitu cha 9k akiwa ankurudishia chenji yako ya buku huwa wanaona kama hiyo buku wanastaili kubaki nayo kabisaa 😀
Miaka 10 iliyopita nilikuja kwenye huu mgahawa kwa ajili ya lunch , nikaagiza chakula , baada ya kumaliza kula nikaomba kulipa lakini mhudumu akaniambia bili yako amelipia yule mzee pale , nikaamka kwenda kumshukuru ila nikamuliza kwa nn amenilipia akaniambia "Ni kaa sababu 👇
RWANDA: FIGISU ZA KIBIASHARA KATI YA AZAM NA AZANIA
Kama mnavyofahamu biashara huwa na mambo mengi sana ndani yake, leo nitawaletea mkasa mkali wa kibiashara kati ya Bakhresa Group (AZAM) Na Mikoani Traders Ltd(AZANIA) ambao ulitokea nchini Rwanda kuanzia mwaka 2009 hadi 2015
Hakuna kazi ngumu kama kufanya kazi ku deal na vijana , their very dynamic. Mimi binafsi nimeshiriki miradi miwili ya vijana yani jamaa anakuja pale kwa sababu hana cha kufanya , akipata kazi au mchongo mwingine mahali anasepa , mawazo yangu ni kwamba next enrollment ya vijana wa
Rostam Bado ni master kwenye lobbying, Waziri anazinguka kugawa mitungi ya Taifa Gas . Have you ever think to hire a minister to do marketing indirectly?
Huwa inachukua muda mrefu sana kwa kijana ambae ametoka familia duni kujitafuta na kujua anatakiwa kufanya nini mpaka kufikia level ya specialization(both academics carrier and business) , maana trials na erros ni nyingi mno kiasi kwamba wengi wanazeeka bila kujua wao ni nani
NILIVYO BADILISHA JINA LA BIASHARA MARA TATU NDANI YA MIAKA MITANO
👇🏻
Unapokuwa unaanza biashara huwa unakuwa na malengo fulani ambayo yanakusukuma kufanya kazi kwa bidii, basi leo nitaeleza namna ambavyo nilibadili majina ya biashara matatu ndani ya muda mfupi na kwa nini?
Kuna fursa nzuri wa kilimo Cha pilipili kichaa , kama wewe ni mdau naomba ujaze form hii itusaidie kuandaa mpango mkakati wa kilimo hiki hapa Tanzania , tatizo kubwa mpaka sasa ni kwamba order za Wanunuzi ni kubwa kuliko uzalishaji
CCM is the 2nd largest and richest political part in Africa , CCM itaondoka madarakani endapo itawezekana kuitenganisha serikali na CCM kitu ambacho ni kigumu sana😄, Ili kuiboresha Tanzania lazima kuiboresha CCM
Chuo cha Sokoine cha Kilimo (SUA)
@SokoineU
ndicho kinaongoza kwa kuwa graduates wengi waliojiajiri kuliko vyuo vingine vyote Tanzania na wanafanya vizuri
JITENGENEZE KUWA SABABU YA MAFANIKIO KWA WENGINE
👇🏿
Mwaka Jana nilipata bahati ya kualikwa kama mgeni rasmi kwenye shule niliyosoma O.level miaka 10 iliyopita huko kijiji kwetu , Mkuu wa shule aliponipigia simu na kunialika nilimuuliza kwa nini Bodi wamenichagua mimi ?
👇🏿
On progress, visiting one of our project in Iringa , 150 acres under sprinkler irrigation , aim to irrigate forage (pastures) , our client aiming to produce 4000ltrs of milk per day and now he is outing 2000 ltrs in two days . It's possible
Cc:
@greenagrictz
DILI FEKI SAFARI YA SIKU TATU NAIROBI
mwaka 2016 ndio mwaka ambao akili yangu ilikuwa na udhubutu mkubwa wa kuamua na kufanya mambo mengi hasa ya kibiashara, leo nitaeleza namna ambavyo niitiwa dili feki la kuuza used bottles Nairobi! Kama kawaida unapotafuta kitu internet ni..
Wewe Dada una roho mbaya tuu , hata kama jengo lina Tajiri wewe inakuuma nini hasa , I remember siku nimekuchek kuhusu accommodation nilikuwa na wageni ulinijibu vibaya sana , but surely ulikosa pesa nyingi sana that day almost $10,000 , JITATHIMINI na ujifunze . Asante
Majirani know how to mingle , inapokuja suala la maslahi yao , nikikumbuka Kauli Membe kuhusu JPM alivyogoma kumsaini na kumpa reference pale alipotaka kugombea nafasi fulani ya kimataifa inasikitisha sana
Stori Fupi
👇🏻
Katika kazi zangu mwaka jana nilifika Zanzibar kufanya Consultation (Kufundisha kuhusu Irrigation and Agriculture technologies) siku ya tatu ya mafunzo nilipiga zangu kanzu safi na nikaingia class na kuanza kipindi kama kawaida
👇🏻
Kwa nini msiwekeze kwenye
1. Viwanda vya samaki
2. Cage fishing
3. Boat za kisasa za uvuvi
4. Fishing and marine technical college ya kufundisha vijana wa Chato
5. Kilimo cha kisasa cha umwagiliaji kwa kutumia maji ya ziwa
Anyway .
"Hivi karibuni tunajenga Uwanja wa mipra Chato Stadium ambao utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya nchi yetu" Waziri Medard Kalemani
#UzinduziHifadhiYaBURIGI
#MillardAyoUPDATES
umesali kabla ya kula na baada ya kula kijana " leo nilitaka kulipa alichonifanyia yule mzee lakini 30min nimekaa hakuna anaesali kabla ya kula , nimeamua kuondoka . Hii kumbukumbu inanitafakarisha sana hasa pale ninapowafundisha watoto wangu kuhusu sala na ibada
Hivi vyuo vikuu vya hapa kwetu mfano UDSM , SUA , Mzumbe n.k Wana program au initiative yoyote ya kufuatilia graduates wanapomaliza na kupima rate ya skills, innovation , employability kwa graduates baada ya kumaliza au baada ya interval fulani ?
Ni kitu gani hasa kilichofanya vyuo vya ufundi kufa ? Ukipita baadhi ya vyuo na kuona investment iliyokuwa imefanyika na hali ilivyo sasa ndio utagundua kuwa tunapiga hatua mbili mbele then tunarudi hatua tatu nyuma, please we need back our technical colleges
Chuma kimesimama kazi nzuri raha sana tumezijenga hizi pale SUA kwenye Kituo atamizi cha Vijana chini ya
@pass_trust
miaka miwili sasa na ziko imara , tunahitaji vituo kama hivi zaidi Kwa ajili ya kuwezesha vijana na kuwafundisha ujuzi
Huwa najiuliza kwa nini tunatumia pesa nyingi sana kujenga masoko alafu bado tunaruhurusu mambo kama haya yani watu wanalipa kodi humo ndani alafu Kuna mwingine amepanga hapo nje halipi chochote
HII KAZI SITAISAHAU IMENIFUNDISHA!
wazee uzoefu ni muhimu sana kwenye biashara, wakati naanza biashara nilikuwa na shauku kubwa ya kupata kazi bila kujua hiyo kazi nitaifanya vipi au ina utaratibu gani wa kuifanya, kama kawaida nilikuwa nafanya marketing moja ya hatari sana
👇
Hivi ilikuwaje Waziri wa Elimu Joseph Mungai akafuta somo la Agriculture mashuleni? bcoz if we don't teach our children about agriculture we shall definitely raise the generation that imports food
Hello! Ni wiki mpya . Wakulima kazi yetu inaendelea kwa sababu watu hawaachi kula kila leo . Je unataka kuanza kufanya kilimo ndani ya green house? Chagua kulima mazao haya ili upate faida zaidi kwenye ukulima wako kwa kutumia teknolojia ya greenhouse
1. Lima Nyanya na panga
Madaktari mmetuangusha sana , sisi mainjinia tunaitana chemba , alichofanya ni kosa , lakini approach ya kumrekebisha inatoa picha kuwa umakini na utulivu wa daktari wewe sio mzuri , I doubt even how you handle clients
Twitter CIA wameshamaliza kazi yao hakuna cha parody wala nini ni yeye na ana account instagram ana repost tweet zake na pia wanafunzi wenzake wame confirm now ngoa tuwasilaine na uongozi wa chuo nitawatumia email leo leo barua itafata baadae
Je unapafahamu Lumuma?
Ni bonde maarufu kwa kilimo cha vitunguu lipo mpakani kwa Dodoma (mpwapwa) na Morogoro (Kilosa)
Mwaka 1954 Wamisionari wa kanisa katoliki walianzia makazi katika eneo hili ambapo walijenga hospitali ,shule, kanisa na Mashamba
👇
NILIFIKIRI NIKIWA NA APP NITATOBOA
mwaka 2015 nikiwa chuo akili zilianza kuchaji na kuanza kuwaza nitafanya nini, niliwaza idea nyingi lakini iliyonijia haraka ni e-commerce ambapo mwaka uliofuata nilitengeza app na ikafanikiwa kuwa na watumiaji zaidi ya 1000 lakini nikafeli
👇
Eti
@MarekaMalili
wasukuma ndio waliogundua uji kwa sababu walikuwa wanataka kutengeneza juice ya mahindi ikagoma ndio ikatokea uji😀, Kuna ukweli wowote hapa
FOUR YEARS DREAMING , MAMBO YANAWEZEKANA
Ilituchukua miaka minne kutimiza lengo letu kwenye biashara ya vifaa vya umwagiliaji hapa Tanzania , Mpaka sasa tunajivunia kuuza vifaa tulivyovifanyia utafiti na kuvizalisha, GREEN DRIPLINE ni brand mpya ya dripline , long story
👇
@ExMayorUbungo
Katika sheria za FIFA , sikumbuki ni sheria gani lakini FIFA wanakataza siasa kwenye mpira wa miguu wanajua kabisa mambo yataharibika
Kuna kosa gani mimi kuwa shabiki wa Mamelodi ?
UTT ni nzuri kwa wazee , ila kwa vijana Kuna opportunity nyingi za kuwekeza kwenye biashara na shares ambazo Zina return kubwa kuliko UTT , inflation ya TZS ni kubwa sana against USD hii inafanya faida ya UTT kuwa ndogo sana ukilinganisha muda na in comparison to investment
Fundi ameshafanya Mambo yake hapa , Vijana hasa wa kiume ukijifunza ufundi huwezi kulala njaa hata siku moja , tujikite zaidi kwenye shughuli hizi Zina pesa nzuri.
Kwenye mashamba mengi watu wanaweka water tank ambazo ni gharama kubwa na uhifadhi Mdogo wa maji , njia nzuri ni kuweka pond liner kama hii na utaweza kuhifadhi maji mengi au hata kuvuna maji ya mvua , comment volume au size unayotaka nikupe gharama chap👇
Uzuri wa kufanya biashara Tanzania ni kwamba ushindani ni mdogo sana , ukiwa na mtaji mkubwa soko letu linataka tuu bidhaa iwepo sokoni isikosekane, umemaliza
Rest in peace Prof Ngowi, uliniamini na kunipa kazi pamoja na platform kubwa , ulikuwa mshauri mzuri kwenye biashara yetu
@greenagrictz
, tutakukumbuka siku zote