Amekuwa na Kuishi kwenye maisha ya Tabu, amesoma kwa tabu, Alhamdulilah Leo amepata kazi na amesema huyu Mwanamke nampenda ni mke wangu na mama Watoto wangu,Analipa Kodi, umeme, Maji, Chakula, na Bili zote pamoja na za Serikali, Shopping na out kama zote,Still unataka upewe 40%?