Mwanaume kaumbiwa mambo ma 3, Upendo, hisia, pamoja na tamaa, Mwanaume anaekutamani, hawezi kukuambia ukweli kwenye mahusiano , lakini mwaname anaekupenda atakuambia ukweli, na Mwanaume mwenye hisia na wewe atakuambia ukweli zaidi, Jee?? Wewe upo wapi
Nasoma comment