You can Make $1000/week by running a faceless youtube channel
I will show you how to create AI software tutorial videos for free with
@WSDemoCreator
The Best Video Recorder and Editor for you
I will show you how to get started:
(Bookmark For Later)
If a teacher can survive with 30k salary,am sure we can have an MCA for 30k,mp 30k ,Senator 30k and Governor 50k that we do away with all this heavy wages
Retweet this.
Imagine huyu aliifikisha Simba Robo fainal bila Chama wala Miqusone na tukatolewa kwa matuta ugenini SA tukiwa pungufu (Mugalu alikula red card)
Sometimes tuwe tunawapa makocha time wa build their empire
Ukimtoa Kishingo, huyu kocha alikua na quality kubwa sana ni vile viongozi wetu tu hukosa uvumilivu sometimes kwa kuendeshwa na presha za mashabiki
NB: Huyu ndiye alimfukizisha kazi Nabi Sudani
Broo kama una manzi anaitwa Joyce, mweupe mrefu umempigia simu sasa hivi akakwambia yupo kwa Mama yake Ilala anamsaidia anaumwa ni uongo, tupo nae hapa Masai analeweshwa bia na mchezaji wa timu flani ligi kuu.
Wahi nitakusaidia kuanzisha fujo niko na gang langu
Tulimaliza wote Form 4 muhuni akataga yai si tukafurahia kwenda Advance, muhuni akaingia JKT kwa cheti cha la 7 after three years akavaa gwanda sisi akina John kisomo tukawa UDSM tunashindia mihogo na maji kwa pesa ya boom. Muhuni every month anaslide ATM mgulani
Life is unfair
Juzi kati nilikua katika mizunguko yangu ya kila siku, ila ilipofika majira ya saa mbili usiku hivi ilinibidi nielekee kwenye kituo cha daladala ili nirejee zangu magetoni Tegeta. Nilikuwa na uchovu mwingi hata honi za daladala nilihisi zinanipigia kelele tu.
Kwamba hamtaki kukubali huyu ni mkulima kweli wa mpunga? Eti kaenda majarubani na nguo safi kupiga picha! Kumbe kuwa mkulima ni lazima uwe mchafu? 😂😂😂
Huyu ni mkulima haswa, tembeleeni instagram yake muone videos jinsi anavyopiga kazi
Huyu mwana mama anaitwa Camilla Parker, alikuwa mchepuko na sasa hivi ni malikia..
Unaambiwa kavumilia kuwa side chick kwa miaka zaidi ya 30..
Sasa wewe mpango wa kando una wasi gani? Kikubwa fata formula vile inataka,
Usiku usipige simu, mke wangu ana wivu sana..
Na ikitokea
Kuna ile moment umelipia utelezi Riverside afu bitch hana chenji, mnaanza kuzunguka kutafuta we nyuma nyuma tu watu wote macho kwenu 😂 Aibu unaona ila ndio hivyo huwezi iacha hela yako kizembe 😂😂
Jamaa: Hapa biashara kubwa ni kuuza mwili
Mwandishi: We ni mteja?
Jamaa: Mimi nikiwa mteja wao
Mwandishi: Kuna changamoto ambazo unazikuta pengine kupitia biashara hii kama mteja?
Jamaa: Ndiyo
Mwandishi: Ipi
Jamaa: Kama hauna hela ina maana hauwezi kuhudumiwa
Legend 😂😂😂
Nimepata Bitch mweupe ana matackle laini, chuchu saa 6 kaenda hewani sekunde sura nzuri ya kikorea miksa ka utege flani na ka kiingereza kwa mbali afu kapo tungi weee! One night stand 40K. Nikajipumzishe na dunia mie. Goodnight 👋
Kwa wale wapenzi wa tamthilia ya Prison Break watakuwa wanakumbuka katika msimu wa kwanza wa tamthilia kipindi muhusika mkuu wa tamthilia Michael Scofield akijaribu kuwashawishi wafungwa kadhaa aliowachagua wamuunge mkono kwenye mpango wake kabambe wa kutoroka kutoka katika