NGE-- sumu yake ni ya masaa 24 na inadumu kwa mda mfupi, tena ukibatika kumwona ukimuwa hapo mwisho wa sumu yake,TIBA YAKE chukua vijiti vidogo vidogo vikavu jivunjie sehemu aliyo kuuma.
TANDU-- sumu yake kali inakimbilia kifuani na kooni mpaka kichwani sumu yake unafukuta kama👇🏽