Mkombozi Digital Profile Banner
Mkombozi Digital Profile
Mkombozi Digital

@MkomboziHabari

267,786
Followers
0
Following
7,658
Media
52,569
Statuses

Pokea kwa haraka Habari zote , Siasa | Michezo | Burudani | Za Kijamii na Vipindi Mbali mbali

Tanzania
Joined February 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
2 months
Mbunge wa jimbo la Mtama Mhe.Nape Moses Nnauye ameongea maneno mazito mbele ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa "Najiua Nitateuliwa tena"Nape
120
72
707
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
22 days
Kuna Siri gani CHADEMA wanaficha hawataki kufanya vikao vya chama ofisini vinafanyika nyumbani kwa Mbowe?
Tweet media one
265
38
919
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
21 days
Mjue bingwa WA mavokali Godfrey Mteule anaishi kigoma ni muimbaji
29
118
640
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
25 days
Msanii diamond amekutana na wachezaji wa dar young African 'YANGA' Mshambuliaji Raia wa Zambia Chama akiwa na Mwenzake Musonda wakiwa airport wakienda Nchini Zambia Kwenye mechi za Timu za taifa, Chama amuomba picha diamond wazi wazi ishara ya upendo na kuthamini mchango wake.
32
11
534
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
6 years
Kuchukua fomu ya kujisajili ni LAKI 1. Kujisajili bloggers TCRA ni MILLION 1. YouTube Online TV ni MILLION 2. So natakiwa niwe na Million 3 ndio nirudi hewani 😭 shule zimefungwa na mwanangu anatakiwa arudi na school fees mwezi wa 7. MUNGU NIPE NGUVU🙏
46
56
463
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
7 years
Hakuna kitu nachokisubiri kama wimbo wa CHID BEENZ🇹🇿 feat. TUPAC 🇺🇸 Aikenti weiti🙌🙌
56
45
471
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
7 years
Kimara Temboni hakuna Wezi kabisa😂😂 Muhenga TID kawaangukia mashabiki amerudishwa stejini yupo vilevile😂😂show ingekuwa TMK 🏃🏃🏃🏃
25
17
429
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
7 years
Huyo NABII anaitwa nani😂 sikiliza kwa makini anavyo mpanga muhumini wake eti PIGA YOWE🏃🏃🏃Dunia imeisha
97
94
328
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
7 years
Mpeni ujumbe wangu kwamba APAMBANE NA HALI YAKE 😂😂😂
20
13
306
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
7 years
Ferooz😳😳tokeni nje jamani tumuungishe mchizi apate hela akarekodi dude jipya🏃🏃
55
30
289
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
21 days
Aliyekuwa mtangazaji aliyefanya kazi wasafi media Kwenye kipindi Cha Masham msham Dida Shaibu huyo ndo Binti yake alimuacha, ila wasafi media imejitolea kumsomesha Hadi mwisho wa elimu yake.
14
10
295
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
3 months
Baada ya mechi ya leo Simba kupigwa Bao 1 pekee la Max Limemfanya Mtangazaji Mwijaku kutoa Mbwa kutangaza vita usiku huu anayemfata mkewe Kumbukuka Mwijaku alitangaza dau kama simba ikifungwa mke wake alimuweka kama zawadi
19
28
250
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
24 days
Inadaiwa kuwa ni kaka wa marehemu Dida Shaibu afunguka mkasa mzima kuhusu kifo Cha Dida,
15
9
249
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
3 months
Baadhi ya Matukio yalitokea Ndani ya ofisi ya Chadema Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Tundu lissu akiwa na baadhi ya viongozi wa chama hicho wakitupiana maneno na Jeshi la Polisi
8
43
245
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
8 years
Kwa kweli Tanzania inakoelekea msishangae Gwajima akavuliwa uchungaji akapewa Boniface Mkwasa 😂😂😂😂😂😂😂
20
32
227
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
6 years
NEW VIDEO: @akaworldwide ft. Stogie T – Starsigns (Official Music Video)
Tweet media one
0
18
198
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
8 years
Akimaliza kuongea mtaniambia kazungumzia nini... Ngoja nikatafute ada ya shule ya mwanangu ili awe na vyeti vingi huko mbeleni...
14
27
227
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
7 years
NAWAZA KWA SAUTI KUBWA SANA, HIVI KWANINI MWILI WA MAREHEMU AGNESS MASOGANGE UMEBEBWA NA VIJANA WA CHAMA FULANI WAKATI WASANII WALIKUWEPO WANGEUBEBA NA KUUFIKISHA KWA DINGI NA KUMKABIDHI. ILA NAWADHA TU LABDA NIKIWA MKUBWA NITAYAJUA HAYA.
21
16
218
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
7 years
Achaneni na NGUMI aliyopigwa, Achaneni na lile jina pale juu, ila KAMASI na UDENDA je MMEYAONA😂😂😂
Tweet media one
18
21
215
@MkomboziHabari
Mkombozi Digital
7 years
Ndio nipo GYM leo siku yangu ya kwanza namngojea dada hapo amalize niingie mie...ila mwili wangu unazidi kulegea sijui kama nitaweza.
37
22
209