Lucus.S.H Profile Banner
Lucus.S.H Profile
Lucus.S.H

@Lucusshamte

5,178
Followers
5,157
Following
121
Media
54,418
Statuses

๐Ÿ‡ฒย ๐Ÿ‡ฎย ๐Ÿ‡ณย ๐Ÿ‡ชย ๐Ÿ‡ทย ๐Ÿ‡ฆย ๐Ÿ‡ฑย  ๐Ÿ‡นย ๐Ÿ‡ชย ๐Ÿ‡จย ๐Ÿ‡ญย ๐Ÿ‡ณย ๐Ÿ‡ฎย ๐Ÿ‡จย ๐Ÿ‡ฎย ๐Ÿ‡ฆย ๐Ÿ‡ณย  ๐Ÿงช & ๐Ÿ†‚๐Ÿ…พ๐Ÿ…ฝ๐Ÿ…ถ๐Ÿ††๐Ÿ†๐Ÿ…ธ๐Ÿ†ƒ๐Ÿ…ด๐Ÿ†

Tanzania
Joined June 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
LEO NAOMBA NITOWE DARASA KIDOGO KWAWAFANYABIASHARA WA MADINI UPANDE WA UNUNUZI WA MAKINIKIA NA KUYAFANYIA PROCESS ILI KUPATA DHAHABU.... Swali je no Kwanini Watu Wengi wanapata hasara na KUZIKA PESA ZAO....๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Tweet media one
Tweet media two
72
194
509
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
Kwa Majina Yangu Halisi Naitwa Lucus Shamte, Ni Mkemia Wa Madini Yaani Nahusika Na Mambo Ya Kuchenjua Dhahabu, Nipo Geita Nyarugusu. Natafta Mtu ambaye anaweza ku invest katika biashara hii ya madini ya dhahabu tufanye kazi, biashara inalipa sana.
52
126
791
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
FULSA Upande MADINI Bado Zipo Nyingi Sana Tanzania Hii, Soon Nitawadondoshea Uzi Wa MADINI Ya Makaa Ya Mawe. Anyway Wenye Uwezo WA Kufungua Maabara Ya Sampling Kuna Fulsa Mkoani Ruvuma Songea, Kuna Maabara Mbili Tu za Makaa na 1 haifanyi kazi, 1 haipimi Sample za migodi Mingine
Tweet media one
Tweet media two
9
29
132
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
Mimi na kazi yangu ndio hiyooo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
9
94
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
Wakishua mtupishe Kidogo tafadhali
Tweet media one
23
6
72
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
Mzigo ndio huo nisha upima na una mzigo wa kutosha kabisa
Tweet media one
Tweet media two
4
2
68
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
...Hakikisha Umechukua Sample yako kila upande WA Rudio/Makinikia hayo. 2; Fanya VIPIMO vya Aina mbili BOTTLE TEST Na Maabara za Madini zinazo aminika, Angalizo Maabara nyingi Za Madini upande WA Dhahabu hawafanyi VIPIMO sahihi ndio maana nakushauri pia Utumie na bottle test๐Ÿ‘‡
Tweet media one
Tweet media two
2
10
66
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
Kwanini Watu hulalamika WAMEIBIWA?, Kwanini Watu huwalaumu WAKEMIA HAWAJAWAFANYIA KAZI VIZURI?. Ok... 1; Kwanza Kabisa Ukiwa mnunuaji WA MAKINIKIA unatakiwa Kuwa Makini Sana Wakati Wa kuchukua Sample, Ni Vyema zaidi ukatumia OGA kuchukulia Sample yako๐Ÿ‘‡
Tweet media one
4
13
65
@Lucusshamte
Lucus.S.H
1 year
LEO NIMEPATIWA Cสœแด‡แดษชแด„แด€สŸ Hแด€ษดแด…สŸษชษดษข Cแด‡ส€แด›ษชา“ษชแด„แด€แด›แด‡ Fส€แดแด Dแด‡ Cสœษชแด‡า“ Cสœแด‡แดษชsแด›'s Oา“า“ษชแด„แด‡ Iษด Dแด‡ Sแดแดœแด›สœแด‡ส€ษด Rแด‡ษขษชแดษด๐Ÿ™
Tweet media one
2
5
59
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
Najua wengi mkiulizwa hii Mitungi ni ya nini hamtokuwa na Majibu sahihi. Anyway hii mitungi inapatkana Elution Plant, na ndio inayofanya hatua ya mwisho ya uchakataji wa Carbon ambayo ina Dhahabu ndani yake, Baada ya Kutoka PROCESSING PLANT ambako hufanyik uchenjuaji wa makinikia
Tweet media one
Tweet media two
10
19
54
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
Imendaliwa na Metallurgist; Lucus Shamte @Lucusshamte Kwa Msaada na Ushauri zaidi Njoo WhatsApp 0622641906 au nipgie simu Kwa 0622641906/0743641906/0655641906 Ahsanteni MWISHO.
4
9
59
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
Jobless Napiga cha asbh, mchana Napiga desh, afu tukutane tn usiku
Tweet media one
3
7
54
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
Radio/Makinikia yanasoma PPM ya Gold 2.78, ni trip 25 mpk 27 za Fao yenye Tan 20
6
1
51
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
...Kiwango cha uvunaji WA Dhahabu kinafanyika Kwa asilimia 75%, Hivyo utapunguza Tena 5% upande WA uvunaji kama ifuatavyo..๐Ÿ‘‡ Kanuni....๐Ÿ‘‰ Ppm ร— tan ร— 0.70รทTola(12) ร— Bei ya Tola ya Gold รท 4= Bei ya kununulia Makinikia/Rudio Hilo 4.1ร—200ร—0.70รท12ร—1,480,000รท4=17,698,333.3๐Ÿ‘‡
1
14
50
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
Upatinaji wa material upo kwa wingi, mpaka sahv kuna mzigo upo sehemu ambao una faida kubwa sana nani wa process ya mwezi m1 tu. Maximum faida ni 10M per month na kuenderea Kwa atakae hitaji ku invest kwa mawasiliano zaidi 0622641906 WhatsApp na normal calls
3
1
52
@Lucusshamte
Lucus.S.H
2 years
3; Ukipata Majibu Yako ya maabara na Ukajiridhisha nayo Kuna Kitu kinaitwa TATHIMINI ya TANS za Makinikia hayo, Hapo Watu Wengi ndio huwa wanapuyanga na inakuwa chanzo cha HASARA. Ukishajua ni Tani ngapi basi unareje kwenye mahesabu ili ujue ni BEI ipi sahihi ya kununulia...๐Ÿ‘‡
1
7
48