Tunawashukuru wote waliomchangia Mheshimiwa
@TunduALissu
. Nguvu yetu inatoka kwa watu wetu. Mchango wako ni hatua moja zaidi kuelekea ushindi wa taifa letu. Tuma mchango wako sasa!
#Lissu2025
MSIMAMO.🚨 ✊
"TUTAANDAMANA"
Mhe. Lissu ameongea kuelekea maandamano ya tarehe 23.09.2024 baada ya taarifa ya jeshi la polisi kupiga marufuku maandamano hayo.
Lissu: Tutaandamana, tunategemea waje watoe ulinzi na msaada kama wanavyotakiwa kisheria.
CC: Crown Media
#Lissu2025
KUMBUKIZI 🚨✌️
Mhe. Lissu akiwa na Mahojiano na Balozi Masilingi nchini Marekani.
08/02/2019
Lissu: Wewe ni mwanasheria wa wapi?.
CC: VOA Swahili.
#Lissu2025
Katika ujumbe wake kwa Rais Samia, Mhe. Tundu Lissu ameeleza kwamba Deus Soka, kiongozi wa chama katika Wilaya ya Temeke, ametekwa nyara na kikosi kazi kinachodaiwa kuwa nyuma ya Kituo cha Polisi Chang'ombe.
#Lissu2025
KUMBUKIZI na TL🚨 ✌️
Jeshi la Polisi.
Mhe. Lissu akiwa bungeni aliongelea kutumika kwa jeshi la polisi kunyanyasa upinzani.
Lissu: watu wetu wameuawa na jeshi la polisi, Mwangosi ameuwawa na jeshi la polisi...
#Lissu2025
Hotuba nzima kwenye comment👇
KUMBUKIZI🚨✌️
Lissu VS Mwanasheria Mkuu Bungeni.
Bunge la 10
Mkutano wa 18
Kikao cha 4.
Tarehe 30 January 2015
Lissu: Mwanasheria mkuu wa serekali, kazi yako sio kulishauri bunge, kazi yako ni kuishauri serekali .
#Lissu2025
INTERVIEW 🚨✌️
UTEKAJI!
Mhe. Lissu akiongea na BBC Swahili tarehe 13/09/2024 alijibu juu ya Chadema kuhusishwa na utekaji na mauwaji ya wanachama na viongozi wake.
Lissu: Kama ni Kweli, kwanini hawajawai kuyachunguza na kuchukua hatua?
#Lissu2025
KUMBUKIZI 🚨✌️
Usalama wa Taifa na Bandari.
Akiwaza Ziarani Mkoani Mara Aug 2023
Mhe. Lissu aligusia swalaa kuuzwa kwa bandari na hatari kwa usalama wa taifa na siri za Jeshi.
Lissu: Watu wa usalama wameruhusuje likapita?
#Lissu2025
KUMBUKIZI 🚨✌️
Sakata la MAKINIKIA
Mhe. Lissu akiwa nje ya bunge baada alitoa maoni yake juu ya sakata la Makinikia.
Lissu: Wakikushtaki kule unanyolewa bila maji. Hakuna ndege ya Tanzania itakanyaga hizo nchi, wataikamata!
#Lissu2025
KUMBUKIZI 🚨 ✌️
👉Muungano👈
Katika kipindi cha MkasiTv
Mhe. Lissu alieleza msimamo wake juu ya muungano.
Lissu: Tumeigeuza {Zanzibar} kua koloni la Tanganyika.
#Lissu2025
KUMBUKIZI 🚨✌️
Muungano
Mhe. Lissu alipokua bungeni alitumia katiba halali za Tanzania za Zanzibar kueleza mapungufu ya muungano.
Lissu: Raisi wa Jamhuri ya Muungano sio mkuu wa nchi ya Zanzibar.
#Lissu2025
@masoudkipanya
Hiii kivuko imechorwa mahali ambapo watu hawavuki in the middle of nowhere. Ni kwamba miradi inayojengwa haina uhitaji kwa sasa, perhaps irrelevant as of now na inajengwa sehemu ambapo sizo zenye uhitaji huo.
Exclusive. ✌️
Leo Mhe. Tundu Lissu atakua akiongoza kesi yake ya kwanza kama wakili baada ya zaidi ya miaka 5 mkoani Singida. Kesi ya Askofu
@MachumuKadutu
ya uchochezi.
#Lissu2025
KUMBUKIZI na TL 🚨 ✌️
Maoni
Mhe. Lissu aliwasilisha maoni yake kuhusu serekali ya Magufuli bungeni 05/05/2016.
Lissu:Sio siri tena kwamba, sasa bunge hili linaongozwa kwa maelekezo ya ikulu.
Video kamili ipo kwenye comment. 👇
#Lissu2025
KUMBUKIZI 🚨✌️
Uhuru wa Habari.
Mhe. Lissu akiwa bungeni alilitahadharisha bunge na matokeo yakukandamiza uhuru wa habari kwa sheria.
Lissu: mkisha shughulikia hili bunge mtashughulikiwa nyinyi wenyewe na hakutakua na mtu wakuwapigieni kelele.
#Lissu2025
.
KUMBUKIZI 🚨✌️
Mhe. Lissu vs Speaker Makinda.
Bunge la 10
Mkutano wa 18
Kikao cha 3
Lissu: Mhe. Speaker kwanza sio halalai kutupa dakika 3 kwa jambo kubwa kama hili.
#Lissu2025
NB: Mhe Lissu atakua ITV saa 3 usiku leo katika kipindi cha Dakika 45
KUMBUKIZI 🚨✌️
Uchafuzi wa Mwaka 2020
Mhe. Lissu akiwa Kawe kwenye mkutano wa kufunga kampeni 27/10/2020 alitoa taarifa ya uchafuzi uliopangwa, akitaja idadi kamili ya kura zilizokuja kutangazwa na Tume.
Lissu: kuna kura tayari zimeshapigwa na kuhesabiwa tayari.
#Lissu2025
KUMBUKIZI na Tundu Lissu 🚨✌️
MSIMAMO
Mhe. Lissu akiwa na interview Feb 4 2023 alieleza msimamo wake juu ya maswala ya mapenzi ya jinsia moja (Ushoga)
Lissu: Ni siasa za majitaka,... siungi mkono Ushoga.
#Lissu2025
TAARIFA ✌️
Makamu Mwenyekiti Bara Mhe.
@TunduALissu
akiwasili Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam kushiriki kikao cha Kamati Kuu ya Chama kitakachoketi kwa siku mbili, leo Septemba 17, 2024 na kesho Septemba 18, 2024.
#Lissu2025
KUMBUKIZI 🚨 ✌️
VIJANA
Mhe. Lissu akiwa bungeni alitaka mifuko ya vijana itungiwe sheria kwa ajili yakudhibiti ulaji uliokua ukiendelea.
Lissu: wanajua kua mifuko ya vijana waliokua nayo miaka yote hii ni source ya ulaji.
#Lissu2025
KUMBUKIZI 🚨 ✌️
Muungano.
Mhe. Lissu akiwa bungeni alizungungumzia Hati ya makubaliano ya Muungano.
April 16 2014.
Lissu:Leteni hio hati mnayodai ina sahihi ya Sheikh Karume tuwaonyeshe mlivyo waongo.
#Lissu2025
INTERVIEW 🚨✌️
UPINZANI
Mhe. Lissu akiwa kwenye interview na Global TV Feb 2023 akiongelea upinzani na uadui.
Lissu: Upinzani sio uadui, uadui maana yake ni kwamba ama zake ama zangu.
#Lissu2025
Mhe. Tundu Antipas Lissu leo amekutana na David MCALLISTER mwanachama wa Group of the European People's Party (Christian Democrats), Brussels nchini Ujerumani.
#Lissu2025
INTERVIEW 🚨✌️
Tuhuma za Mwenyekiti.
Mhe. Lissu akiwa kwenye Interview na Globat TV alijibu swali juu ya tuhuma za kua Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amelambishwa asali.
Lissu: kadri alivyoniambia hajalipwa.
#Lissu2025
KUMBUKIZI🚨✌️
👉Maridhiano👈
Mhe. Lissu akiwa na Mkutano wa Hadhara aliongelea maridhiano na misimamo wake juu ya maridhiano.
10 May 2023
Lissu: Mimi sipindi watu kupendana, napinga kudanganywa danganywa.
#Lissu2025
KUMBUKIZI 🚨✌️
Upinzani.
Mhe. Lisssu aeleza kazi ya chama cha upinzani katika interview na MwanzoTV
Lissu: ukikuta mpinzani anasifu serekali ilioko madarakani huyo sio mpinzani, ana lake jambo.
#Lissu2025
KUMBUKIZI 🚨✌️
MAANDAMANO.
Mhe. Lissu aliongoza maandamano ya amani route ya Uyole kwenda Ruanda-Nzovye mkoani Mbeya.
Lissu: Hii barabara, kwa leo ni ya waandamanaji!.
#Lissu2025
INTERVIEW🚨✌️
Mhe. Lissu aeleza hali uhusiano wake na Mwenyekiti Mbowe na tofauti zao.
Lissu: Tofauti katika misimamo ya kisiasa wazi kabisa, ipo!
CC: Dakika 45 ITV
#Lissu2025
LISSU LEO 🚨✌️
Sakata la Mzee Kibao.
Mhe. Tundu Lissu siku ya leo alikua na mambo kadha yakusema juu ya mauaaji, utekaji na kupotea kilikoshamiri siku za karibuni.
Lissu: lengo lake ni kuhakikisha wanabaki madarakani kwa nguvu zote.
CC: Jambo TV
#Lissu2025
HISTORIA NA TL 🚨✌️
Swali: Mhe. Tundu Antipas Lissu alijiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mwaka gani akitokea chama gani?
CC: Global TV interview Feb 2023
Jibu:👇
#Lissu2025
#MjueLissu
Nimeambiwa wananijia wakati wowote sasa. Ikiwa, na wakati, watafanya, nitakuwa tayari. Itakuwa mara ya 2 nakamatwa ndani ya miezi 2. Itakuwa mara ya 10 kushikiliwa na polisi wa Tanzania kwa tuhuma za uongo kwa ya miaka 8. Nilinusurika risasi 16; Nitanusurika jela za Udikteta!
KUMBUKIZI 🚨✌️
Mhe. Lissu akiongea na vyombo vya Habari katika msiba wa Lowassa 12/02/2024
"Baada ya Baba wa Taifa kwa Ushawishi alifuata Lowassa!"
#Lissu2025
KUMBUKIZI 🚨✌️
Mkutano wa Hadhara Kampeni za uchaguzi Mkuu Mwaka 2020.
Mheshimiwa Lissu akiongea na wananchi wa Lamadi.
Hii ilikua asubui kabisa watu waliamka kumsalimia.
#Lissu2025
TAARIFA ✌️
Maakamu Mwenyekiti Bara, Mhe. Tundu Antipas Lissu ataongea na vyombo vya habari leo saa kumi jioni katika makao makuu ya chama Mikocheni. Waandishi wote wa habari mnakaribishwa.
#Lissu2025
@emmaog___
@yoo__good
I think most people come to us for opinions after they have made a decision and all they need is an approval to make em feel right about their decisions.. my opinions are general always.. they are not specific ever.. they are just a reflection of your problem really
@masoudkipanya
Barabara ya Chadema ni ngumu(narrow)(uwezekano wa FAM kuchomoka ni mdogo), Wanachama wanahofu lakini mwenye kiti ana imani kubwa na amebase kumtumainia Mungu kuvuka na kuwapa wanachama imani.
TAARIFA 🚨✌️
Mhe.
@TunduALissu
akisalimiana na Mhe. Mwenyekiti wa Chama Mhe.
@freemanmbowetz
aliewasili Makao makuu ya chama Mikocheni Dar es Salaam kushiriki kikao cha Kamati Kuu ya Chama kitakachoketi kwa siku mbili, leo Septemba 17, 2024 na kesho Septemba 18, 2024.
#Lissu2025
⚠️TANGAZO⚠️
Uboreshaji wa daftari la wapiga kura unaendelea mkoani Mwanza na Shinyanga. Ukiwa na umri wa miaka 17+, hakikisha unajiandikisha na kuboresha taarifa zako ili uweze kushiriki uchaguzi. Ratiba: Kuanzia tarehe 21/08/2024 hadi 27/05/2024.
#Lissu2025
#Daftarilawapigakura
@PrettyboiiDB_9
@geff1509
Depending on your view though... people think you understand them but really its me understanding how much of a mistake i made to trust them
Maakamu Mwenyekiti wa Chadema.
Mtia nia ya kugombea Uraisi kupitia Chadema mwaka 2025.
Raisi halali wa Tanganyika.
Simba wa Tanganyika.
Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu.
Retweet 🔁 ngapi kwake?
#Lissu2025
.
KUMBUKIZI 🚨✌️
UTEKAJI
Dec 2019 Mhe. Tundu Lissu akiwa mwanasheria mkuu wa Chadema aliitaka serekali na vyombo vya usalama vieleze wapi alipo Ben Saanane.
Lissu: inauwezo wakiufundi wakujua mawasiliano yake ya mwisho yalikua lini, na nani, wapi na yalihusu nini!
#Lissu2025
@FadahHanan
@NativeIndianDog
Well, it's 2022, if you're troops are already out of fuel in day 3 and they don't know where they are or where they're actually going, that's clear that you miscalculated/ misjudged your expectations.
INTERVIEW 🚨✌️
Swali: Kumekua na maneno mengi kwamba hali si shwari ndani ya chama, nini kinaendelea.
Lissu:...ni maneno ya Mwaka wa uchaguzi.
#Lissu2025
CC: Dakika 45 ITV
26/08/2024
KUMBUKIZI 🚨✌️
Lissu ashambuliwa kwa Risasi.
Ni miaka 7 imepita, Tarehe kama ya leo mwaka 2017 Mhe. Tundu Lissu alishambuliwa kwa risasi akitokea Bungeni.
Maisha ya watu wa Mungu yako mikononi mwa Mungu 🙏.
Mungu aendelee kumtunza
@TunduALissu
INTERVIEW na Lissu🚨✌️
Kelele za Mwaka wa Uchaguzi.
Mhe. Lissu akiwa na majadiliano na mwandishi wa BBC aliongelea swala la uchaguzi na kelele za wakati wa uchaguzi.
Lissu: Kwanini kina Makamba na Nape Nnauye wameondolewa?
@darmpya_
Wewe ungekua Russia ungekaa kimya wakati Adui zako wanasogelea karibu na wewe? Ukraine was supposed to remain neutral. Ona sasa wanalia wenyewe no support from anyone.
@HeyLeslie97
@elonmusk
Hey hey hey.. He makes rockets for a living.. why isnt that crazy enough for you to accept. Thats Elon that's who he is 😂. You want him pretending to be what he is not. Why?
Matukio Katika Picha. ✌️🚨
Mhe. Tundu Antipas Lissu akiwa na Katibu Mkuu wa CCM Mhe. Dkt Nchimbi katika Kongamano la kanisa Katoliki lililofanyika Daresalam Leo 15/09/2024.
Unahisi walikua wanaongea nini?
#Lissu2025
@KyivIndependent
Allow Russians protesting against the war to cross your borders and be in your cities. See if the army will bomb it's peopl, let the people protest against their army where the war is actually happening.
@ZelenskyyUa
@Meta
You know the problem with favor is when it's on the other side. When it's in you favor it's good but when it's not, its going to hurt really bad. This information censoring is going to hit hard someday. When people control what we see and read, that's very dangerous.
🚨 TAARIFA ⚠️
Mhe. Lissu atakuepo leo usiku saa 3 katika kipindi cha Dakika 45 ITV.
Usikose kufatilia mahojiano haya yakipekee.
Atafafanua maswala muhimu.
USIKOSE!!
Lissu: CCM haijasajiliwa na Msajili.
#Lissu2025
@IAMartin_
@Wakazi
The confederate flag. Used by the South during the civil war. People who were against Lincoln's emancipation proclamation and the 13th amendment. Atoe tu, maana ni mshangao kua a black man would use that😂. Na aajiri mtu wakumfanyia research kwenye vitu anatumia in videos.
LISSU LEO 🚨✌️
WITO KWA WATANZANIA.
Mhe. Lissu ametoa rai yake kwa watanzania kuamka nakupigania nchi yetu.
CC: Jambo TV.
Lissu: AMKENI,...tuache kutegeana.
#Lissu2025
Makamu Mwenyekiti Mhe.
@TunduALissu
akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama Mh.
@jjmnyika
alipowasili Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam kushiriki kikao cha Kamati Kuu ya Chama kitakachoketi kwa siku mbili, leo Septemba 17, 2024 na kesho Septemba 18, 2024.
#Lissu2025
"Kuhamasisha maandamano sio kosa la jinai kwa mujibu wa sheria za Tanzania. Sheria yetu inaelekeza tutoe taarifa tu ya tarehe, muda na njia ya maandamano hayo. Aluta continua!"
@TunduALissu
#Lissu2025
.
@IAMartin_
Alipigiwa simu. We all know that. We also know lengo lao ni within next week huyo mama akirudi afanye namna kesi ifutwe. Ndo malengo yao yakutoa siku saba. Huu ukoloni wakimama. Hawataki tushangilie akitoka mwkt.