R.I.P ๐ญ๐ญ
Kuna gari ya mashabiki wa NAMUNGO ilikuwa ikielekea Dar es salaam kucheki mechi Yao Leo imepata ajali maeneo ya MITEJA kibaoni Kilwa ,watatu hapo hapo wamekwenda ๐ญ๐ญ๐ญ .
Humu ndani watu ni makatili sana kisa nimejipost jana ndo Kila mtu anani attack,kwamba mi sio mzuri sijui zombie mara nimezeeka na majina kibao ila sawa tu Mungu atawalipizia ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ