Habari Digital Profile Banner
Habari Digital Profile
Habari Digital

@HabariDigital_

180,682
Followers
1,741
Following
2,692
Media
179,120
Statuses

Kwa Habari, Burudani na Matukio, Kitaifa na Kimataifa, Saa Ishirini na Nne, Siku Saba za Wiki.

Joined May 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Huyu Mwamba Apewe Mauwa Yake, Jana Pale Kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jamaa Kasimama kwa Muda wa Masaa 6 bila kukaa kuanzia sa5-sa11 Akisikiliza Kero za Wafanya Biashara na Kuwaruhusu Waichane Makavu Serikali,. Dingi ni Mtukazi sana huyu Nampa sifa zake akiwa Hai. 🙌🙌
Tweet media one
238
279
5K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Eeeh Sasa Diamond kaamua kufanya Mziki as a Work of Art, Fasihi Simulizi iliyotumika kwenye Wimbo wa Zuwena ni ya Viwango vya Juu Mnoo,. iyo Video yake Sasa ndio balaa inakupa Ladha kama unasoma kitabu cha Mabala the Farme,. Huyu Jamaa ni Genius 👇🙌
Tweet media one
211
219
4K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Hawa jamaa wametoka Kigoma kwenda Dar kutafuta Hela,. Unaweza ukawaona Mafala ila jamaa wanapiga Hela kichiz nw kila kampuni inatamani kufanya nao kazi,. Wamejizima data ili waishi Kimasta,.🙌🙌
Tweet media one
138
167
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Wakati Mchungaji anakula Sadaka za Waumini kumbe Waumini nao wanakula Dem wa Mchungaji, hii ndio maana halisi ya TRAB & TRAT,.🙌🙌
Tweet media one
269
207
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Anaitwa MWAMPOSA the Bulldozer Mwamba Jana Kaujaza Uwanja wa Taifa FULL HOUSE na bado Nje kulikuwa na watu zaidi ya 40k,. itoshe kusema huyu Mjuba Anasepa na kijiji zaidi ya Simba, Yanga, Diamond, Zuchu, Harmonize na Alikiba,.👇🙌🙌
Tweet media one
310
128
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Masnii Omydimpoz yupo Dubai Anakula Bata na Tajiri Ghalib GSM,. Kuna kitu Nilitaka kusema ila basi maana nimekumbuka Mwanasheria wangu alifeli Law School Mwaka Jana,.👇😷😷
Tweet media one
323
134
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Alijifanya Kichwa Maji Acha Aisome Namba Pumbav zake Mtu Mzima Hovyoo, Tako kubwa Akili Kisoda,.👇😂😂
Tweet media one
283
118
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Aisee Huu Wimbo wa King & Konde ni Kisanga bonge moja la ngoma, Alicho kifanya Kiba ni kumfundisha Hamo jinsi ya kuimba Mziki Mzuri,. Big up kwa S2kizy Mdundo ni mkali pia.👇🙌🙌
Tweet media one
268
131
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
itamchukuwa miaka mingi sana Diamond kupata Pisi yenye Quality kama Zari, Huyu Dem Ana Akili, Ana Elimu, Ana Tako, Ana Hela, Ana Sura Nzuri. yani yupo full Kila idara,. 👇🙌🙌
Tweet media one
303
115
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Kwaya ya Mtakatifu Sesilia kutoka Parokia ya Uyole Mbeya,.👇🙌🙌
Tweet media one
287
153
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Kwaiyo Tumekubaliana Kuwa hii Video ya Diamond ndio Video Kali kuliko zote Barani Afrika au Tuendelee kubishana kwanza,.? 🤔🤔
Tweet media one
207
108
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Narudia tena kwa mara ya mwisho. Ukisex na dem anaye vaa Chupi yenye Logo ya "Calvin Klein" usiuze mechi Tumia KINGA,.📌
Tweet media one
436
185
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Hatimaye B-Dozen nae Amerudi Mjengoni Clouds FM, Majizo asipokuwa makini pale Efm Watabaki Walinzi tuu Watangazaji wote wataondoka,. 🤕🤕
Tweet media one
87
103
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
#TetesiZaSoka Za Ndaaaani kabisa.. Unaambiwa Mzee Tayari Amemaliza kazi Now Feitoto Amekubali kubaki Yanga,. Hakuna Kijiji kinachokosa Wazee,. 🙌🙌✅
Tweet media one
75
80
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
6 months
Kuna watu walisema et Wanajeshi wa Tz Hawaruhusiwi kufuga Ndevu, Mbona huyu Mwamba kafuga Mzuzu af Fresh tu,. 👇🤔🤔
Tweet media one
327
99
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Taja Sifa za Wadada wanaopenda kuweka Bleach Kichwani,. 👇🤔🤔
Tweet media one
472
104
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Nimefuatilia maoni ya Baadhi ya Waislamu kwenye hii ishu ya Diamond kuombewa, Nimegundua kuwa Asilimia kubwa ya wenzetu Waislamu ni wabaguzi wa kidini na wanajiona wao ndio Wana Haki zaidi Mbele za Mungu, itoshe kusema Tanzania is Non-Secular State so Tujifunze kuvumiliana. 🙏🙏
Tweet media one
517
182
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Mwamba huyu apa,.👇 Anaitwa Benjamin Asukile Mchezaji wa Tanzania Prisons, kumbe huyu jamaa ni Mfungwa mechi kiisha huwa Anarudi kulala Gelezani,.😔😔
Tweet media one
190
126
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Taja sifa za Wanawake Wanaopenda kuvaa haya Mabaibui,.? 🤔🤔
Tweet media one
275
93
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Twende mbele turudi nyuma, Kanumba alikuwa ni Mwamba sana, yani adi haka Katoto jamaa alikuwa Anapiga,.🤔🤔
Tweet media one
218
105
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Job Ndugai alisema lakini,.👇🫢🫢
Tweet media one
152
116
3K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Maisha Yanabadirika Sana, kutoka kuwa Rais adi kuwa Mhudumu wa Hoteli,.👇🥺🥺
Tweet media one
222
92
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Bro Ukikutana na hiyo Tattoo ya Kipepeo Kiunoni Vaa hata Mfuko wa Mikate,.👇🙌🙌
Tweet media one
356
152
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Unahisi ni kwanini Diamond na Harmonize Hawajaenda kwenye Show ya Marioo japo walipewa Mwaliko,. Je shida ni Wivu, Dharau, Ubize, Chuki au Wameamua Kuvimba tuu,.? 🤔
Tweet media one
158
65
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Kati ya Mbosso na Rayvany unahisi nani atakuwa Kamuandikia Blaza Wimbo wa ZUWENA maana kwa Akili yake sidhani kama Anaweza kuandika Mashairi Mujarabu kama Ambayo yamesikika kwenye huo Wimbo,. 😂🤔
Tweet media one
283
109
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
BREAKING NEWS,. Msanii Diamond Platnumz kutoka Nchini Tanzania Ameweka Rekodi ya kuganda Hewani kwa muda wa dk3, Wakati Akitumbuiza kwenye Tamasha la kukata na shoka huko Nchini Ivory Coast,.🙌🙌
Tweet media one
305
164
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
itoshe kusema hapa ticha konde Amepigwa,.👇🥺🥺
Tweet media one
305
93
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
UPDATE: kinacho endelea Nyumbani kwa Lengai Olesabaya Muda huu,. 👇😂😂
Tweet media one
258
99
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Leo ngoja niweke chuki pembeni,. Hili Lifala silikubali ila ukweli ni kwamba jamaa linajua kuimba Aisee ✌✌ huwa nalipiga spana online af nikirudi Geto Nasikiliza nyimbo zake. Msengelema anajua sana huyu,.👇🙌🙌
Tweet media one
151
136
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Ni Chawa yupi Ambae kidogo Anajielewa kati ya Hawa Jamaa,.? 🤔🤔
Tweet media one
330
84
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Angalia hii Picha kwa Umakini af Tuambie umegundua Nini,.?🤔🤔
Tweet media one
179
93
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Kwenye picha ni Hospital ya Maranatha iliyopo Mwanjelwa Mkoani Mbeya, itoshe Kusema Mbeya ndio Mkoa unao Ongoza Kwa Maendeleo Hapa Nchini Tanzania na Afrika Mashairiki Kiujumla,. 👇🙌🙌
Tweet media one
372
88
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Diamond Tunakukubali sana ila huo wimbo wa "Chitaki" watasikiliza Madem zetu sisi Wanaume Hatuwezi kufanya huo Ufala,.
Tweet media one
178
93
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
ivi Hawa Wadada Wacheza Visingeli Wataolewa na nani,.? 🤔🤔
Tweet media one
609
117
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
11 months
Taja Sifa za Hawa Wanafunzi Wanao Vaa Miwani,. 👇✍️✍️
Tweet media one
285
98
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
ipe caption hii picha,.👇👇
Tweet media one
118
96
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Mpaka Sasa Rayvany 4 - Harmonize 1 Tusubiri Konde Amalize Kuvuta Bangi Zake Mbili Aje kufanya Kam Baki,. 😂😂🙌
Tweet media one
105
93
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Hawa Wazee ni Wachambuzi wa Mpira 🙌🙌 walijikita zaidi kuchambua kile kilichokuwa kinatokea kwenye pitch,. Achana na hizi kenge za siku izi wao wanaweza kuchambua Siasa na porojo za nje ya uwanja kuliko kuuchambua Mpira wenyewe.🚮
Tweet media one
Tweet media two
128
179
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Diamond katupiga na kitu kizito Matako yake fwalaa kabisa 😂😂😂😂😂🙌
Tweet media one
146
90
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Yan kukaa tuu hapo kwenye iyo list it means ww ni giant, itoshe kusema msanii bora hushindanishwa na walio bora. Diamond kwa hapa Bongo ni next level, mtake msitake 👇🙌🙌
Tweet media one
141
141
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Kama Dar inakukwaza Hamia Dodoma hapa ni Mwendo wa Bia, Mziki na Biashara,. RC Chalamila Mwamba Kabisa 😂😂🙌
Tweet media one
83
118
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Angalia hii picha kwa umakini af Tuambie Umeelewa Nini,.? 🤔🤔
Tweet media one
83
75
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Wapwa Tusichoke kupambana hakuna kitu kinacho shindikana katika hii Dunia,.👊
Tweet media one
89
120
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Tuende mbele turudi nyuma hivi vitoto vya miaka ya 2000 vinaupiga mwingi sanaaa,.🙌🙌
Tweet media one
210
111
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Huu ndio mfano Halisi wa Pisi Mbovu kutoka nchini Tanzania,.👇
Tweet media one
331
151
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Picha Mpya kutoka kwa Paula Kajala bada ya kufunga ndoa, vipi tumwambie ukweli huyo jamaa aliye muoa au Tumuache kwanza,.? 🤔🤔
Tweet media one
227
97
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Aisee Huyu mtoto wa Haji Manara ni Pisi Kali kichiz, itoshe kusema iwe Jua iwe Mvua lazima Nipige,.👇🙌🙌
Tweet media one
117
59
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Narudia tena kwa mara ya mwisho, Alliyah ndio mtangazaji wa kike Mzuri kuliko wote hapa Tz. Kama msipo nielewa na Leo basi,.🙌
Tweet media one
289
112
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Kwa Sasa Marioo ndio Msanii anae ongoza Kwa kutoa hit song nyingi hapa Tz, ukimtoa Diamond Marioo anakuwa ndio Artist of the year 2022, Jana Jamaa kafanya Tamasha la Kibabe Sanaaa,.👇🙌🙌
Tweet media one
88
101
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
NAME: Paula Kajala AGE: 17 years RELATIONSHIP: Single NATIONALITY: Tanzanian EDUCATION LEVEL: Degree PHONE NO: 077202927
Tweet media one
512
191
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Aisee nikiwa mkubwa na Mimi nataka kuwa kama Hajimanara,.👇🙌🙌
Tweet media one
119
101
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Aisee! Hapo Harmonize Kajichanganya huyu Dem ni Heavy Weight ipo siku Huyu Msanii wenu atajikuta Amekojoa adi Ubongo,. 👇🙌🙌
Tweet media one
238
121
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Aisee kumbe 'Millard Ayo' nae alikuwa anavaa hizi Suti kama Usalama wa Taifa, 😂😂 Anyway Motivation Speaker Wakiiona hii Tumekwisha,.
Tweet media one
79
72
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Feisal Anasema Kama Eng. Hers Akiondoka Yanga yeye yupo tayari kurudi,. Swali kwa Mashabiki wa Yanga je Kati ya Fei an Eng Hers Nani Aondoke,.? 🤔🤔
Tweet media one
233
76
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
"Kuna Siku Baba Jose Alinambia Niiname Anifundishe Style Mpya inaitwa Mama Hajauza Bandari"- Ester 😂😂
Tweet media one
198
109
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Safiii hivi ndivyo Wasanii Wakubwa wanavoishi,. Ukitaka we nunua ata Nchi YouTube Viewer wako Tunakuaminia sanaaaa usitishike na kelele za Malijendi walioshindwa kulea watoto Zao,.👇🦁🦁
Tweet media one
132
114
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Aliye vaa hijabu hapo katikati ni SALAMA NGALE mchambuzi wa mpira kutoka Azam Tv unaambiwa ndani yake kuna wakina Privadinho 1656,.🙌🙌
Tweet media one
215
109
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
itoshe kusema Diamond kamtoa mbali sana Harmonize,.👇🙌🙌
Tweet media one
110
82
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Mwamba huyu apa, Tayari kashamaliza kazi saizi hadaiwi Tena,. kmmk kweli uchawi upo Musiba kaona isiwe kesi Bora apite shortcut SHWAAAAA,. 🙌🙌
Tweet media one
239
80
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Jeshi Alicho Lifanya hili Lishangazi sio pow kabasi, itoshe kusema usijaribu kumpa msalaba wako aubebe Mvutabangi,. 😂😂🙌
Tweet media one
151
117
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Tifah Mtoto wa Diamond ameanza kukua, Hapa blaza kajitahidi kulea, ila Namkumbusha kuwa Malipo ni Hapa Hapa Duniani Ukiua kwa Upanga Utauwawa kwa Upanga,.👇🙌🙌
Tweet media one
210
77
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Anaitwa Randy Orton the Viper Mwamba Kabisa, inasadikika Kuwa huyu ndio Mwanamieleka Katili zaidi kuwahi kutokea katika Historia ya WWE,. 👇🙌🙌
Tweet media one
185
67
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
itoshe kusema Kajala ni Nyumbu na mtu anaye ishi kwa kudanga ili apate pesa za kitonga,. Tofauti yake na wale wa Riverside ni brand tuu,.Af Sio yeye pekeake ni Tasnia yote ya Bingo muvi 🚮🚮
Tweet media one
272
101
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Bwana mdg hajataka maneno yawe Mengi Kalipa 2B af kajitoa kwenye Lebo kimya kimya,. itoshe kusema hawa vijana wa WCB wanajiweza kiuchumi,.🙌
Tweet media one
153
107
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Still mpaka Sasa Bado Mwanamke Anachukuliwa kama Kitu na Sio Mtu, Tazama hapo Jux kavaa vizuri tuu ila huyo Dada Sasa ni Kamaa Kifaa cha Ngono, Feminist fanyeni kazi yenu Mpene Elimu ya Kijinsia,.👇🤌
Tweet media one
321
103
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Kwa uzoefu wako, Unahisi hapa Marioo atakuwa Anamwambia Nini Mama mkwe wake,.? 🤔🤔
Tweet media one
140
97
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Achana na wakina Babalevo kuna hili Lichawa la Uwoya Linaupiga Mwingi kichiz af kimya,kimya yani ,.😂😂🙌
Tweet media one
43
54
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Ni Afisa Habari yupi Anamameno ya Shombo zaidi kati ya Hawa Jamaa,.? 🤔🤔
Tweet media one
117
49
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Tuende mbele turudi nyuma Hii pisi ni Mbovu Aisee,.👇📌📌
Tweet media one
534
129
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
11 months
Kuna Muda Hawa Dada zetu wakiwa na Njaa huwa Wanafanya Dhambi adi Shetani Anakaa Pembeni Kujifunza kutoka Kwao,.👇👇🙌
Tweet media one
183
131
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
ivi Hawa Wanawake Matom boy Wataolewa na nani,.? 🤔🤔
Tweet media one
310
111
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Wataalam wa filam za mapigano et hii picha imepigwa kutoka kwenye movie gani,.?👇 👇
Tweet media one
140
96
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Kwahiyo Whozu anakula ukoko aliobakiza Big,.🤔🤔
Tweet media one
198
90
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
itoshe kusema Alliyah ndio Mtangazaji Mzuri kuliko wote hapa Tanzania,.🙌🙌
Tweet media one
242
88
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
8 months
kwani Huyu Bloo anacheo gani,.? mbona kama madaraka yake ni makubwa kuliko hata Makamu wa Rais,. ⁉️🤔🤔
Tweet media one
154
82
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Kuna watu hawajui kwanini Benzema huwa Ajifunga hiyo kitu mkononi,. Jibu ni kuwa jamaa hana kidole kimoja cha mwisho Kilikatika wakati anafanya kazi Gereji ya ZapieeBon Nchini Ufaransa,.
Tweet media one
225
98
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
itoshe kusema Dizasta Vina, Kaamua kutumia Silaha za Maangamizi Kumsambalatisha Rapcha na Vijana wa Miaka ya 2000, Mpaka Sasa Anaongoza kwa Possession,. 👇🙌🙌
Tweet media one
112
100
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Retweet ifike mbali,.
Tweet media one
39
286
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Hawa Kenge Wanalidhalilisha sana Taifa Mwanaume kutoboa Pua ni tabia za Kichoko, Mambo mengine Wawaachie Madem zao, Ustar unafanya wawe kama Mapunga. BLADFAKEN 😡😡
Tweet media one
395
105
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Shikamoo pesa,.🙌🙌 Ukicheki hiyo picha Miguu ya Diamond ilikuwa imekauka kama Vijiti vya Kupigia Ngoma ,.👇😂😂
Tweet media one
202
116
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Hii ndio Maana Halisi ya Humble Beginning,. Ahmedy Aliy & Manula,. 👇🙌
Tweet media one
42
76
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
9 months
Huko Wasafi Festival, Wasanii Wanashindana Kufanya Maigizo kuliko Kuimba, R.I.P Ruge Mutahaba,.🙌🙌
Tweet media one
152
116
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Muacheni jamaa avimbe Amehaso sana Aisee,.✌✌ Kutoka kuitwa Nasibu domo wa Tandale adi sasa Anaitwa Simba,. What a transformation 🤔🤔🙌
Tweet media one
95
111
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Kwa Uzoefu wako, Unahisi huyu Madam ni Mwalimu wa Somo gani,.?🤔🤔
Tweet media one
303
78
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Wataalam wa Sayansi et ni kitendo gani kinacho fanyika hapa,.?👇🤔
Tweet media one
298
83
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Moja kati ya Mambo ya hovyo kwenye Music Video, ni hawa Wadada Wanaocheza wakiwa Nusu Uchi kama hilo Changudoa hapo Pembeni ya Diamond, Hawa ndio Wanafanya Jamii izidi kuwachukulia Wanawake kama Kifaa cha Ngono,.👇🚮🚮
Tweet media one
332
101
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Kuzaa na Mwanamke chizi kama Faiza bora upige Nyeto tuu, Sugu nw haamini macho yake,.👇😂😂
Tweet media one
138
87
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Sikia mtt mzr "Twende Geto Nikakuoneshe Jiko la Gesi Linalotumia Mkaa" 👇😂😂
Tweet media one
89
117
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Wabobezi wa Kuzoom et hii kitaalam inaitwaje,.? 👇🤔🤔
Tweet media one
401
105
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Tafiti zinaonesha kuwa Barani Afrika Tanzania ndio Nchi inayo Ongoza kwa kuwa na Wanawake wengi ambao Hawana Akili Timamu, jee ni kweli au ni utafiti wa Kiwaki,.? 🤔🤔
Tweet media one
301
115
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Ni Mkoa gani unaongoza kuwa na Wanaume wa dizaini hii,.? 👇🤔🤔
Tweet media one
429
82
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Anaitwa DJ Sinyorita kutoka Clouds fm, Huyu ndio DJ pekee hapa Tz mwenye Tuzo ya Afrima, Ni ana Balaaa huyo,.👇🙌🙌
Tweet media one
65
84
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Mnyakyusa kapigwa na kitu kizito sana nw haamini macho yake,.😂 Anyway ndio Matokeo ya kudet na familia ya Wadangaji
Tweet media one
92
74
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Haya Twitter Matelephone, Tuambieni hii ni Simu ya Ainagani,.? 🤔
Tweet media one
101
61
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Unampa asilimia ngapi Mbunifu wa Hii jezi Mpya ya Simba,. 👇🤔🤔
Tweet media one
308
43
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Itoshe kusema Mashabiki wa Yanga ni Washamba yani Hawa wote waliacha kazi zao wakaenda kushangaa Kombe ambalo Simba wamelichukua Mara 4 back to back,.🤔🤔
Tweet media one
231
111
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
1 year
Hatimaye Mfanya Biaashara Diamond Platinumz Kateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songea, Kongole sana kwake,. 🙌🙌
Tweet media one
95
57
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Diamond Platnumz (SIMBAAA) Huyu ndio Msanii Aliye fanikiwa zaidi Afrika Mashariki na kati, ukibisha uwe na sababu ya msingi,.👇🦁🦁
Tweet media one
191
85
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Bro ukipata wa dizaini hii si unakaa Kwa kutulia au Bado,.? 👇🤔🤔
Tweet media one
323
79
2K
@HabariDigital_
Habari Digital
2 years
Huyu Mr. @kisyagi_ Amekuja kuwaonesha Mabloo wote waliokuwa wanavimba kuwa wao ni Takataka,. Engagement ya huyu jamaa ni kisanga..🙌
Tweet media one
167
116
2K