Je, unamfahamu mdaiwa wa HESLB mwenye kipato lakini ANAPIGA KIMYA?
MFICHUE! Tutumie majina yake kamili, chuo alichosoma, kampuni au taasisi anayofanyia kazi:
1. Barua pepe (email): fichua
@heslb
.go.tz;
2. Ujumbe wa WhattsApp: 0739 66 55 33;
3. Piga simu: 0736 66 55 33 (Saa
UFAFANUZI KUHUSU MALIPO YA FEDHA ZA KUJIKIMU KWA ROBO YA NNE
Ijumaa, Mei 17, 2024
Tunapenda kuwafahamisha wanafunzi wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu na umma kuwa tunakamilisha malipo ya fedha za kujikimu (Chakula na Malazi) kwa robo ya nne (Quarter IV) na wanafunzi
Je, wewe ni mnufaika wa mkopo?
Je, upo tayari kwa ‘challenge’ kuanzia kesho (Jumatano, Nov. 22, 2023)?
Kaa tayari. TZS 20,000 itatolewa kwa mshindi.
#WeweNdoFuture
#TimizaWajibu
HESLB yaja na
#Fichua
kuwasaka wadaiwa sugu
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Ijumaa, Juni 28, 2024) imezindua Kampeni Maalumu inayolenga kuwashirikisha wananchi kwa kutumia simu na mitandao ya kijamii, kuwafichua wadaiwa sugu wa mikopo
Ni Jumatano, Nov. 22, 2023!
#HESLBMtandaoniChallenge
kwa Wanufaika wa Mkopo
1. Je, umeshawahi kuchelewa kupata mkopo kwa kutokamilisha taratibu za upokeaji? 2. Ulisahihishaje ni kisha kupokea fedha?
TZS 20,000 kwa MSHINDI. Mwisho wa ‘Challenge’ ni SAA 2 Usiku.
#WeweNdoFuture
UFAFANUZI: MALIPO YA FEDHA ZA MIKOPO HULIPWA AKAUNTI YA BENKI YOYOTE
Mwanafunzi mnufaika wa mkopo wa HESLB analipwa na kupokea fedha kwa wakati kupitia akaunti ya benki aliyochagua na kuisajili kupokelea fedha.
#WeweNdoFuture
#TimizaWajibu
Tupo wapi katika kazi? Msikilize Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Abdul-Razaq Badru kesho Jumatatu, Nov 20, 2023 ndani ya
#PowerBreakfast
ya
@CloudsMediaLive
Wanafunzi 2,177 wamepangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 7.26 bilioni baada ya kuwasilisha maombi ya rufaa kwa mwaka wa masomo 2023/2024 kwa kujaza taarifa na kuwasilisha nyaraka za kuthibitisha uhitaji wao.
Tembelea SIPA kupara taarifa zaidi.
#WeweNdoFuture
#TimizaWajibu
#Mikopo2010202
Wanafunzi 30,675 wa Mwaka wa 1 wamepangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 113.5 bn katika Awamu ya 1 iliyotangazwa leo. Awamu nyingine kabla Okt 25. Tembelea kwa maelezo zaidi!
Ni Ijumaa, Nov. 24, 2023
#HESLBMtandaoniChallenge
kwa Wanufaika wa Mkopo
1.HESLB inatambuaje na kuthibitisha uyatima wa mwanafunzi wakati wa maombi ya mkopo? 2.Njia nyingine ipi inaweza kutambua uyatima zaidi ya utaratibu wa sasa?
TZS 20,000 kwa MSHINDI
#WeweNdoFuture
HESLB leo Jumamosi (Septemba 28, 2024) imeanza kutangaza orodha ya wanafunzi wenye sifa waliopangiwa mikopo kwa mwaka wa masomo 2024/2025
Wanafunzi wote walioomba mikopo wanashauriwa kutembelea akaunti zao walizotumia kuombea mikopo ili kupata taarifa za kina kuhusu mikopo yao
Mpya: Wanafunzi wengine 14,428 wapangiwa mikopo AWAMU YA PILI 2023-2024
Ili kupata taarifa zaidi, wanashauriwa kutembelea 'SIPA' - Student’s Individual Permanent Account - ambazo walitumia kuomba mkopo.
#WeweNdoFuture
#TimizaWajibu
Wakati ukifurahia mapumziko ya Noeli, tunakuletea taarifa muhimu kuhusu stashahada zilizoongezwa ambazo wanafunzi wenye sifa watapangiwa mikopo.
Toleo la Pili la Mwongozo ‘Mwongozo wa Utoaji Mikopo ya Elimu kwa Wanafunzi wa Stashahada kwa 2023-2024’ linapatikana katika
Je, unatarajia kujiunga na masomo ya stashahada na unahitaji mkopo? Fuatilia uzinduzi wa ‘Mwongozo’ kesho Okt 4, 2023
Uzinduzi utafanywa na Mhe. Prof. Adolf Mkenda, Waziri
@wizara_elimuTz
#WeweNdoFuture
#TimizaWajibu
#HESLBMtandaoniChallenge
Ni Jumanne, Nov. 28, 2023
1.HESLB inathibitishaje ulemavu wa mwanafunzi au mzazi wake?
2.Unadhani kuna njia nyingine ya kutambua ulemavu zaidi ya sasa?
3.RUKSA kutupa uzoefu wako hapa.
TZS 20,000 kwa MSHINDI.
#WeweNdoFuture
#TimizaWajibu
#PoleniHanang
Tunatoa salamu za pole kufuatia maafa yaliyosababishwa na mafuriko na maporomoko yaliyotokea.
Tunawaombea marehemu pumziko la amani na ahueni kwa manusura.
#PoleniHanang
Ni Mei Mosi, 2024!
Ungana nasi kumpongeza CPA Lusajo kwa kuwa Mfanyakazi Hodari kwa 2024.
Lusajo, tunathamini sana utendaji kazi wako. Pokea maua yako!
#WeweNdoFuture
#TimizaWajibu
KUONGEZWA KWA MUDA WA MAOMBI YA MIKOPO 2024/2025
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa muda wa kuwasilisha maombi ya mikopo umeongezwa mbele hadi tarehe 14 Septemba, 2024.
Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa
Ufafanuzi wa maswali na maoni kutoka kwa wadau mitandaoni
Ijumaa, Mei 31, 2024
MOSI, tunashukuru kwa maswali, maoni na ushauri kuhusu hali ya malipo mbalimbali kwa wanafunzi wanufaika ambayo yamekuwa yakitolewa kupitia mitandao yetu ya kijamii ILIYOTHIBITISHWA ya Instagram, X
Je, wewe ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa stashahada (Diploma) na umeomba mkopo?
Tumekamilisha uchambuzi na kupanga mkopo.
Soma taarifa hii muhimu.
Taarifa hii pia inapatikana
#WeweNdoFuture
#TimizaWajibu
Je, unahitaji kuomba mkopo au ruzuku kwa mwaka wa masomo 2024/2025?
Tuna taarifa njema kwako. Miongozo inayoelezea sifa vigezo ipo tayari.
Tembelea kusoma miongozo:
1. Mwongozo wa Utoaji Mikopo – Shahada ya Awali 2024/2025 (Kiswahili);
2. Mwongozo wa
Je, wewe ni mnufaika wa mkopo na umepokea fedha?
Ni Ijumaa, maisha yanaendelea.
‘Kalamu’ anakukumbusha kuwa maisha ya chuo yana mambo mengi. ’Future’ yako ipo mikononi mwako.
Uzuri, mdau anahakikisha: ‘Najitambua, sitawaangusha wazazi wangu’.
#WeweNdoFuture
#TimizaWajibu
UJUMBE ESWATINI WAFIKA HESLB KUJIFUNZA
Na Mwandishi Wetu
Ujumbe wa watu watano kutoka Jamhuri ya Kifalme ya Eswatini umeanza ziara ya mafunzo ya siku tano nchini inayolenga kujifunza kuhusu uchini ya uenyeji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).
Katika siku
HESLB, RITA, NIDA, CREDITINFO Tanzania zaungana kusaka wadaiwa mikopo elimu ya juu
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Jumatano, Septemba 11, 2024) imebadilishana Hati za Makubaliano na taasisi tatu za kimkakati ambazo utekelezaji wake
Muhimu kwa Wanafunzi: Msajili katika 'DiDiS' kuanza Juni 20, 2023. Andaa Akaunti ya Benki; Namba ya Simu; Kitambulisho chako cha Uanafunzi!
#WeweNdoFuture
#TimizaWajibu
Je, wewe ni mwanafunzi wa Stashahada (Diploma) na unahitaji mkopo wa elimu?
Tuna ujumbe wako hapa.
Dirisha ya II la kupokea maombi kupitia LIMEFUNGULIWA kwa SIKU 14 kuanzia Disemba 21, 2023 hadi Januari 4, 2023.
#WeweNdoFuture
#TimizaWajibu
Dirisha la Uombaji wa Mkopo wa Elimu ya Juu 2023 limefunguliwa kupitia Tovuti ya HESLB ambako unaweza kufanya usajili na kisha kuendelea na kujaza fomu yako ya maombi.
#BodiyaMikopo
#TunawekezakwaAjiliyaFutureYako
Je, wewe ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza uliyepangiwa mkopo?
Edwin ana ujumbe wako. Msikilize!
KUMBUKA, Maafisa wetu hivi sasa wapo vyuoni kukutana na wanafunzi. Pata ratiba kwa Afisa Mikopo wa chuo chako au viongozi wa Serikali ya Wanafunzi.
#WeweNdoFuture
#TimizaWajibu
MUHIMU KWA WANAFUNZI WANUFAIKA WA MIKOPO
Tunapenda kuwafahamisha wanafunzi wanufaika wa mikopo inayotolewa na HESLB kuwa malipo yote ya fedha za kujikimu (Meals and Accomodation Allowances) kwa robo ya nne (Quarter Four) kwa wanafunzi wote YAMEKAMILISHWA.
Hivyo, kwa sasa,
TAARIFA MUHIMU KWA WANAFUNZI WA STASHAHADA (DIPLOMA)
1. Kuanzia mwaka wa masomo 2023/2024 Serikali ilianza kutoka mikopo kwa wanafunzi wenye sifa wanasoma stashahada (Diploma) za kipaumbele kwa Taifa ambazo zinatajwa kwa kina katika ‘Mwongozo wa Utoaji Mikopo kwa Stashahada
Tunawakumbusha waombaji mikopo wote kwa mwaka 2024/2025 kuzingatia muda wa masahihisho uliotolewa, kwa kufanya marekebisho na kuyawasilisha kwa wakati.
MAOMBI YA MIKOPO STASHAHADA KUANZA KUPOKELEWA MACHI 1
Tunapenda kuwafahamisha wanafunzi wa Stashahada waliopata udahili wa kuanza masomo mwezi Machi, 2024 kuwa dirisha la kuomba mkopo litafunguliwa kwa WIKI TATU kuanzia Machi 1 - 22, 2024.
#WeweNdoFuture
#TimizaWajibu