Nimeombwa hela na mtu ambaye huwa ananisaidia sana tena kaniomba hela ndogo sana lakini sina roho inaniuma Sana nimeshindwa kumsaidia nimeumia mno ๐ญ๐ญ
Samahani ndugu zangu naomba nichukue nafasi hii niwaombe msamaha wote walionitumia hela au nilio wakosea nisameheni ni hali ya maisha tu ๐ญ๐ญ๐๐
Mtoto wa dalasa la pili ameamka sa11 alfajir amejiandaa kaenda shule lakini wewe na huo umri wako bado umelala mpaka saivi kweli upo Serious na maisha kweli? ๐ค๐
Nimetuma elfu kumi Kwa dogo yupo shule nimekosea imeenda Kwa jamaaa yupo kigoma, nimemuomba anirudishie kanijibu hata yeye h anakoseaga huwa hawamrudishii ๐ข๐