The big thing i can tell the world i LOVE my Mom + my Lovely Aunt/ my mental/Mwalimu wangu kwenye maswala ya jikoni Mungu awalinde na kuwapa maisha marefu na yenye furaha tele ili waendelee kula matunda yao.. Amen!🙏🏿🙏🏿
You have given me with so much throughout my life. When I needed strength you gave me hope, when I needed help you gave me support, and when I needed even more you gave me endless, unconditional love, Happy birthday Mom ♥️🎈🎊🎁🎂
Oyaaa wale wa Tbone na Kuku Choma nipo hapa Karimjee Hall kwenye mkutano wa SADC ukihitaji mzigo karibu banda B21 ntakua hapa Siku zote za mkutano karibuni!
Oyaa rafiki yangu kabisa na mwanangu wa dhati
@rollymsouth
nimeshindwa kuvumilia ujue acha mm niingie zangu kupumzika lkn wewe ni mwanangu wa Damu usichoke na mimi sitochoka kukumbusha kulisukuma hili gurudumu letu natumia neno gumu kwa jinsia yetu NAKUPENDA mwanangu kabisa BLESS
@ChefGBongo
Kipindi cha Mkapa ulikuwa na hela ziko wapi.?
Kipindi cha kikwete ulikuwa na hela ziko wapi.?
Kipindi cha Magufuli ulikuwa na hela ziko wapi.?
Kama hauna hela ni hauna tu.
Ndugu yangu
@rollymsouth
tulikubaliane leo tuamke kupiga tizi lakini cha ajabu nampigia nikijihisi nimechelewa eeeeh!!! si kanichenjia eti tutaanza jumatatu hakunaga mazoezi ya weekend na nikaambiwa nibadilike daaah!!😂😂
Madeni ya kampuni yanaingilianaje na mishahara ya wafanyakazi?? Kwani kampuni ilivyoanzishwa haikua na Asset? Haya unashindwa kulipa wafanyakazi wakikosa nauli za kufika kazini, kampuni itaenda vipi ili kulipa hayo madeni??
Tusiwe na tabia yakushabikia ugomvi au kuchagua upande pale pande mbili zinapohitirafiana kuna leo na kesho tutakuja shindwa kusaidiana mbele kwa aibu yakufata mkumbo ni hayo tu! Na msiache kunywa bia ahsanteni.