@prossoff
Dah. Kaka nilisoma kitabu kilichandikwa miaka ya 1800 uko nyuma kina zaidi ya miaka mia. Mwandishi alisistiza sana kuwa usipuuze tabia ya nyuma ya mwanamke
@Neypaul01
Lakini ukiwa na mume wako au mke wako bila ivo ni uzinzi. Hata maombi yako mungu hayapokei. Anasema maombi ya mwenye dhambi ni chukizo mbele zake.
@Neypaul01
@Neypaul01
Shetani ni wakwanza kuimba angalia hata kanisani waimbaji wazur ndio wenye vibur sana. Inataka tahadhari sana kwenye uimbaji. Chagua nyimbo usikilize
@Neypaul01
@INFLUENCERjr
kaka tulilala vizuri tu kumbe usiku kachukua Simu yangu ili samsung s10+ kaniwekea kwenye kidole ikafunguka. akakuta madudu ilikuwa saa 6 atukulala mpaka kesho. toka apo niliacha kuweka finger print
@CarolNdosi
Miaka ya nyumba nikiwa mdogo nyumban tulipuliziwa lkn mpka leo tupo sawa kwaiyo kuwa na amani ila angalia jinsi mwili unavoenda ukiona haupo sawa muone daktar
@Exquisite_255
Nachoeleza ni ukweli mtupu na halisi ila kuna kitu unawanyima watu. Waambie wafanye nini ili kijiponya ipi sehemu sahihi ya kukaa ili wasiingie kwenye shida. Najua unajua ila kuna namna upoteza wasomaji lakini ndo ukweli waambiwe tu