@maua_mg
Ukiwa Tz, anzia serengeti rite au castle rite. Pia ukinywa na boy wako, kunywa redis maana wanawake inawaletea nyege😀...ukija ukazoea kunywa flying fish(hapo uwe na hela sasa🤣😋)... savanah. Ukizoea sasa unauwezo wa kunywa kvant, konyagi, safari, balimi, etc...🤣🤣🤣🤣