SIFA 4 ZA WATU WAKIMYA
1. Wana marafiki wachache sana
2. Wakikuzoea ni waongeaji mno
3. Wana hasira sana
4. Kuna mengi yanaongea vichwani mwao
Uonapo mtu mkimya anaongea sana na wewe usiseme ni muongeaji kisa anaongea na wewe ni vile tu amekuzoea.
Nilipitia wakati mgumu zaidi peke yangu huku kila mtu akiamini nilikuwa sawa.
Nikaja kugundua kwamba adui mkubwa wa maisha yetu ni Overthinking yani kuwaza kupita kiasi.
Kama na wewe ni mtu wa kuwaza sana fungua huu uzi nimekuwekea tiba yake ya kisaikolojia.
<Thread/Uzi>
Hii ilinichukua zaidi ya myezi 6 kujifunza ila nitakufundisha wewe baada ya dakika 5 tu.
Je, unajitafuta kimaisha na unataka kubadilisha maisha yako yawe kwenye ubora!?
Fanya hivi..., Jenga hizi tabia usipuuze hata moja👊
🧵
SIFA 4 ZA WATU WAKIMYA.
1. Wana marafiki wachache sana
2. Wakikuzoea ni waongeaji mno
3. Wana hasira sana
4. Kuna mengi yanaongea vichwani mwao.
Uonapo mtu mkimya anaongea sana na wewe, usiseme ni muongeaji kisa anaongea na wewe, ni vile tu AMEKUZOEA.
NAMNA YA KUJILINDA HATUPO SALAMA.
1.Usipende kuwasha location ya simu yako kila mara.
2.Usipende kutembea mwenyewe nyakati za usiku.
3.Hakikisha kabla hujalala kuna mtu umempa taarifa au umemtakia usiku mwema na amejua upo wapi.
4.Wakija watu kukukamata hata wakijitamburisha
SIFA 4 ZA WATU WAKIMYA.
1. Wana marafiki wachache sana
2. Wakikuzoea ni waongeaji mno
3. Wana hasira sana
4. Kuna mengi yanaongea vichwani mwao.
Uonapo mtu mkimya anaongea sana na wewe, usiseme ni muongeaji kisa anaongea na wewe, ni vile tu AMEKUZOEA.
MWANAUME IKIWA BADO UNAJITAFUTA CHUKUA HIZI SHERIA 10 ILI KUBADILISHA MAISHA YAKO:
1. Acha kukimbiza wanawake, badala yake chakufanya mtafute mwanamke mmoja atakae ridhika na hali yako ya maisha alafu ishi nae.
👇🏿🧵👇🏿
Nilipitia wakati mgumu zaidi peke yangu huku kila mtu akiamini nilikuwa sawa.
Nikaja kugundua kwamba adui mkubwa wa maisha yetu ni Overthinking na Depression yani kuwaza kupita kiasi.
Kama na wewe ni mtu wa kuwaza sana fungua huu uzi nimekuwekea tiba yake ya kisaikolojia.
🧵
SHERIA ZA WANAUME WA THAMANI
Hizi sheria zitabadili maisha yako uhakika 100%.
Ndani ya miezi 3 utakuwa mtu mpya.
Hatua ndogo ndogo za kila siku ndio siri ya ushindi.
UZI🧵
Shuka nayo kwenye coment...↓
UZI: MAMBO AMBAYO WATU HUJIFUNZA WAMECHELEWA SANA.
Asubuhi hujenga kasi, Tumia asubuhi yako kukuweka kwa siku nzima Jenga tabia nzuri asubuhi Kuwa na utaratibu thabiti wa asubuhi. Usiwahi kugonga kusinzia, haijalishi umechoka vipi Amka asubuhi mapema mara moja.
👇🏿👇🏿👇🏿
SIFA 4 ZA WATU WAKIMYA
1. Wana marafiki wachache sana
2. Wakikuzoea ni waongeaji mno
3. Wana hasira sana
4. Kuna mengi yanaongea vichwani mwao
Uonapo mtu mkimya anaongea sana na wewe usiseme ni muongeaji kisa anaongea na wewe ni vile tu amekuzoea.
Ukitaka kuishi kwa amani na furaha kwenye hii dunia mtangulize Mungu katika kila jambo unalolifanya, tafuta pesa kwa njia za halali, samehe walio kukosea, tunza afya yako alafu ishi maisha yako.
MAMBO 6 AMBAYO NATAMANI NINGEYAJUA WAKATI NINA MYAKA 25
Haya ni mambo ambayo wewe kijana unaejitafuta ukiyazingatia utawafanya vijana wenzako waamke na wengine wakuite FREEMASON.
<Thread/Uzi>
Shuka Nayo Kwenye Coment...
UZI🧵: SIRI KUMI NA MOJA (11) ZA MAISHA USIZOZIJUA
SIRI YA KWANZA 01:
Tengeneza connection na watu usitengeneze urafiki, iko siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza chakula maana "kikulacho kinguoni kwako." Siyo rahisi rafiki akakubali upate zaidi yake!...↓
Katika maisha yako ogopa mambo 3: Kumpa mtu sababu ya haki ya
kukunung'unikia kwa Mungu wake; Kumwachia mtu kovu au kilema; na Kutoa uhai wa mtu. Ukitenda moja kati ya haya, utaishi maisha ya hofu na utalipwa hapa hapa duniani.
Wakati mwingine unaweza ukacheka na wengi lakini ukalia na wachache kwasababu wengi watapenda tabasamu lako lakini ni wachache sana watakaothamini chozi lako.
Good Morning Familia 👋
Kaa kimya katika hali hizi tatu:
1.) Kaa kimya unapokuwa na hasira.
2.) Kaa kimya wakati watu hawathamini maneno yako.
3.) Na kuwa kimya unapotaka kusikiliza watu.
1. Panga siku inayofuata kabla ya kulala Tengeneza orodha ya mambo ya kufanya kwa siku inayofuata kabla ya kulala Amka na ufanye kila kitu kwenye orodha yako kabla ya kufanya kitu kingine chochote Huu ndio "udukuzi wa tija" pekee unaohitaji.
Kila kitu kinawezekana kwenye haya maisha, mtangulize Mungu katika kila hatua yako moja unayopiga, zidisha bidii epuka roho yenye kukata tamaa, mafanikio huja kwa muda wake hakika utafanikiwa katikati ya magumu yote unayopitia🙏🏾
kuna wakati ulipoteza, ulipata, ulishinda, ulishindwa, ulilia, ulicheka, ulipendwa na hata kuchukiwa pia. ila juu ya yote ulijifunza. kumbuka, wakati mwingine hali tunazopitia maishani ndio zinatufanya tujipate na kuwa bora
JINSI YA KUWA MWANAUME MNYAMA NDANI YA MIEZI 6
Huu UZI Umebeba Fact 7 Pro Tips Zitakazobadilisha Maisha Yako.
NB. Na Mwanamke Anaruhusiwa Kusoma Huu UZI!!!
Shuka Nayo Kwenye Coment...↓
kamwe usioneshe umevurugwa na kitu chochote, kuwa mtulivu katika kila nyakati ngumu unazopitia. elewa ya kwamba ni muda wako wa kuteseka kama walivyoteseka watu wengine kabla yako. ishi ukiamini kwamba siku bora za baraka zinakuja
Leo sina motivation ila huu ujumbe utakufaa...
"Ukifa sasa hivi, watu watakupost alafu wataendelea na mishe zao.
Watafuta namba zako, wataku-unfollow muda flani hivi ukipita na mwisho kabisa watakuzika wakusahau.
Endelea kuogopa kufanya vitu vinavyokupa furaha na amani kwenye
Kumbe wanetu hua mnaona tweet zangu mnaruka tuu😢
Huku jobless kichwa kinaniuma nikipeleka akaunti yangu kwa mganga kuangalia kila saa kama nina ban au sina.
Aaah...., fresh wanetu kuwa FollowerGhost sio dhambi.
Tuishi🤝🏾
wakati wako ukifika Mungu atakupa kila kitu unachostahili wasiokupenda watayatazama maisha yako kama sinema na hawataweza kukuangusha. wakati wa Mungu ni wakati sahihi
Ikiwa unasumbuliwa na HOFU ya jambo lolote au kama unahisi kukata tamaa, fanya hivi...👇🏿
Fungua huu UZI nimekuwekea njia saba za kurudisha uimara wako👇🏿👇🏿👇🏿
<UZI>
Maisha yako ya leo ni matokeo ya MACHAGUO na MAAMUZI yako ya jana.
ZINGATIA haya mambo 13 yatakayo-KUAMSHA na kukupa NGUVU ya KUKOMAA na kusaka MAFANIKIO na UTAJIRI wa kesho yako.
NAKAZIA! zingatia namba 3 ni muhimu sana!!
Fungua (Coment) Thread/Uzi🧵
Dear mwanaume tambua kwamba wanawake wanataka kufurahi kila wakati.
Haya Hapa Maswali (16) Ya Kuvutia Ambayo Wanawake Wanafurahia Kujibu.
1. Ni kitu gani unaogopa kuuliza mwanaume lakini unataka kujua?
UZI
👇🏿👇🏿👇🏿
2. Amka mapema
"Kulala na kuamka mapema Humfanya mtu kuwa tajiri na mwenye hekima" Kuamka mapema hukupa nguvu na wakati wa ziada wa kuanza siku yako kabla ya kila mtu mwingine • Maliza kazi zako muhimu kabla ya wengine kuamka • Furahia siku yako iliyobaki au fanya unachotaka .
usitafute watu wakupende tafuta watu wakuheshimu sana hakikisha unajifunza ujuzi ambao utakufanya uhitajike kwenye jamii alafu hakikisha kila siku unakua bora zaidi ya ulivyokua jana
Mambo Yanayozuwia Mafanikio Yako Kimyakimya Bila Wewe Kujua
You Must Learn or Perish! Hapa Duniani Ni Aidha Ushinde Au Upigwe Hakuna Sare
Usipotoboa Utatoboka Na Ukijionea Huruma Utakuja kutia Huruma
Mambo 12! Jihadhari Nayo Sana
//THREAD//UZI//
Shuka Nayo Kwenye Coment...↓