Mtu hanywi pombe, havuti sigara, haruki majoka, wachezaji wakiruhusiwa kuondoka kambini yeye anabaki, anawahi mazoezini saa nzima kabla wenzake halafu muda wote wa mchezo anachomekea jezi yake. Kwa nidhamu ya kiwango hiki anaachaje sasa kuuwasha, Maxi Nzingeli ametumwa hesabu. 🙌🏻