∆bby Mêxæhnk Msangi Profile Banner
∆bby Mêxæhnk Msangi Profile
∆bby Mêxæhnk Msangi

@Abbymexahnk

65,713
Followers
1,049
Following
1,966
Media
273,502
Statuses

SeRiAl cHilLer 😎 | Semi-Professional Coolest Bro 😉 | Chapatist 🍳👨🏾‍💼 | Movie Maniac 🎬| Drawing Artist 🎨 NoThINg pErSoNaL. #T255DAR

Dar-es-salaam ( Tanzania )
Joined April 2009
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
"WORST" EXPERIENCE THREADS Different Editions 😊
13
46
206
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Nimepanda daladala na Pro Assad (former CAG) leo, mzee wa watu kavaa kanzu, kofia yake na begi mgongoni kutokea makumbusho to mjini. Daladala nililiona kama ndege vile. Mzee wa watu humble sana, pamoja na cheo chake alichokuwa nacho na elimu ila anaishi simple tu.
130
174
3K
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
6 years
THREAD Maswali ya Kwenye INTERVIEW ya Mitego 1. TELL US ABOUT YOURSELF (Hizi Info Zipo kwenye CV Yako sema anataka kukuskia Kutoka kwako) Apa Ukisema tu jina lako na Umesoma wapi Ni Tatizo Jibu: A. Your Name , B. Your Place Information ( Sio Lazima saana), C. Edu Back Ground
234
2K
2K
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Foleni ya NIDA kupata kitambulisho unaweza Kutana na soulmate wako, Mkafunga ndoa, Mkapata na watoto kabisa na ile watoto wanaingia darasa la saba tu... Ndo unamsikia muhudumu "Baba Nanilii, Kadi yako tayari" 😒
131
121
1K
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
I know it's too early for this but nimeona kuna 1. STANDARD CV 2. SKILL-BASED CV 3. PERFORMANCE BASED CV 4. PERSONAL BASED CV Meaning: CV Yako inatakiwa ibadilike kutokana na Application ili umuAttract muajiri. Kosa lingine kubwa tunafanya ni kutumia the same CV over and over.
51
444
1K
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
6 years
BELIEVE ME, ITS HARD TO BE RECOGNIZED IN HERE ( TWITTER). -Stay On Your LANE kid. -Usiwakere Watu/ Kuwa Friendly. -Interact. -Dont be offensive and Don't Offend. - And Just Be YOU, UsiFake Tweet inakufaa CHANGIA, ipo nje ya Uwezo wako ACHANA NAYO, usichangie kila kitu.Just like
Tweet media one
62
303
1K
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Watu wa Zanzibar wanajiamini kiasi cha kwamba akikuona umesimama pale bandarini Dar kutaka kupanda boat na hakujui ni atakuja na kukuambia "A.Alaykum, Nina mzigo wangu naomba uende nao ukampe Makame na namba yake hio apo, Bye" Fanya ivo pale ubungo 😩🤦🏾‍♂️, Hutoamini macho yako.
142
101
1K
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Imefika point pia hata kumtafutia mdogo ako Field mpaka uwe na connection. Makampuni venye wanareject barua za wanafunzi its sickening. Hawana muda wa kuwatrain it shows. Wanafunzi wanapata tabu and kinachotokea ni kuwa hata wakipata hawafanyii walichosomea wanawekwa Reception.🤦🏾‍♂️
97
153
968
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Boarding kuna wale jamaa Prep ikiisha saa 4 ukasema ngojea ukalale kidogo uamke baadae Unamuacha anasoma. Unaamka saa 7 unamkuta yupo, Saa 9 unasema ukalale tena,Unamuacha Class yaani hana habari. Unaamka saa 12 upige msuli b4 parade ndo Unapishana nae anarudi dom kuoga 😂🙌🏾
136
68
961
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Bachelor hana friji... Anapiga pipi kifua na maji ili apate ule baridi 😊.
91
50
920
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Motiveshen spika be like "Biashara: MBUZI Mtaji: 70k Chinja afu uza Nyama kwa 65k Maini 5k Utumbo, kongoro na kichwa kwa ajili ya supu 20k Ngozi kwa ajili ya viatu 30k Mlio wa mbuzi uza kama ringtone 10K Wakiwa mbuzi wa5 unazalisha 300k kwa siku, 9M kwa mwezi, 108M kwa mwaka."
Tweet media one
240
152
914
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Tulienda Interview, and one the candidate alifanikiwa kumuimpress Boss kwa kumsalimia kwa lugha yake (Boss alikua mtu wa Asia) and position Ilikua moja. That's it ... Mpaka leo mwamba yupo kazini 😊.
54
56
905
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Ivi hamna developer atuletee System au App ya kufanya booking za maBus ya mikoani!? Unalipia nauli kwa mobile Money, unaletewa code, unachagua seat yako, una-confirm, unatunza namba zako kesho unaenda asubuhi kwenye bus na electronic-ticket WanaKupa real ticket, voila... No?
210
98
868
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Nahisi hamjakutaana na zile familia dogo anapata A ya 70 afu Kawa wa 3 kwa kufungana marks afu anarudi kwako mzee anamwambia "A YA 70? BADO SANA... NATAKA NEXT TIME UJE NA "A" YA 100 au 90 PUNGUZA MCHEZO DARASANI"
84
36
846
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Bi mkubwa alishawahi kunipa kipigo heavy siku moja mpaka nikawaza kuwa maybe kuna mawili... Either mimi ni Mtoto wa kambo au yeye ni Mama wa kambo. 😒
92
55
821
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Mwanafunzi wa primary anakaa Goba na anasoma Olympio-upanga... Anapanda daladala mbili. Saa 12 kamili yupo kwenye daladala la posta. Mind you, hapo kasimama na ana bonge la begi. Like hamna shule za msingi kote huko. Anaamka na kulala saa ngapi ilo ni swali la siku nyengine.
97
80
805
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Kugombania magari ya mwisho wa jiji apa dar (Mbagala, Bunju, Gongo la Mboto na Mbezi) inatakiwa iingie kwenye Episode ya 1000 WAYS TO DIE 😩, Pia itumike kama CV ya kuomba nafasi jeshini bila kusahau International Recognition for Long Standing Transit-Struggle Award 😩
80
117
807
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
TELL ME ABOUT YOUR WORSE JOB INTERVIEW! How was it? 😩 Tupe story
204
159
768
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
2 years
Dada mwandishi wa habari aliyezikwa ki-askari 🤔. The math is not mathing.
42
26
762
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Mnapost video zenye sauti ya Porn just kuprove a point kuwa umewakomesha watu... Daah, we need to grow up mazee. Wengine inawakuta kwenye mazingira ya watu wanao waheshimu au wanaheshimika inawashusha vyeo kabisa. Imagine mtu yupo na familia. Sio poa Narudia SIO POA 😤🤦🏾‍♂️
103
105
762
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Dangote alinunua malori 651 akayashusha pale Mtwara.. Ukitaka kujua maisha yetu ni magumu hata tukiambiwa tununue hayo Malori 651 kwa Sh 15,000/- kwa kila moja hatuwezi..." INAUMA SANA Yaani kuna watu naamini hata wakistuliwa muda huu "KWENDA MBINGUNI BUKU 5" tunaweza tukawakosa
82
118
756
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
I prefer kusoma saa kwa mfumo wa masaa 24... Why? Sababu nilishawahi kwenda kwenye Interview Saa 3 Asubuhi kumbe ni saa 9 😩 Masaa 6 nikawa pale, nikazoeana mpaka na walinzi na receptionist. Na Kazi nikakosa 😩
98
62
750
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
2 years
"CURRICULUM VITAMIN?... Hayupo serious huyu, Kata ilo jina lake"
Tweet media one
94
51
750
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
I don't know who needs to hear this but usiweke RELIGION wala TRIBE kwenye CV yako...You will thank me later 😊
34
111
736
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
GB 1.5 Kwa TZS2,000 kwa masaa 24? Kweliiiii? Mnatuchukuliaje aiseee 😒
122
14
714
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
2 years
Sijui tuite ni uungwana ama nini, Baba wa Marehemu Swalha kaenda kwenye Msiba wa Marehemu Aliyekuwa mume wa mtoto wake kwa ajili ya kutoa pole. Tunahitaji uvumilivu kama huo maana wengine wangeweka uhasama.
59
34
724
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Somebody just said "Wakati watu wanatafuta kinga ya COVID-19 duniani wadau wangu wa MUHAS, KAIRUKI na KCMC wapo busy na Money Heist" 😂😂💀
44
51
715
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
2 years
"Eeh, kaandika Hobby yake ni Boxing? Atatupiga huyu tukimtuma tuma sana kazi... Kata ilo jina"
Tweet media one
49
38
716
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
2020 inatupiga Kitu cha "Stop, Stop, kwangu, kwangu, kwangu tena, *anatoa J* naomba special..." Us: "hatuna" 2020: "... Sawa, kula 2, na Joker, kadi 4, NIMEMALIZA" Us:
Tweet media one
128
117
690
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Mnisamehe kwa hili lakini... Nashangaa sana kusikia mtu alieibiwa let's say pochi ndani kuna ATM, Kadi ya NIDA,ya Kura, ya NHIF kwa wakati mmoja kwenye mizunguko ya kawaida. Kadi kama haitumiki iweke tu ndani. Usawa huu kuRe-new kitu ni kama unaApply kupata Figo mpya.
54
83
683
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Kutafuta field kama unatafuta ajira... Vijana wanateseka mpaka sio poa.
38
39
686
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
30% PAYE 15% HESLB 10% SOCIAL SECURITY 6% NHIF Afu 40% WIFE ALLOWANCE (Bado wenye mikopo) Total: 101% 🙆🏾‍♂️ Gademit, Si afadhali mutunyonge!
@JamiiForums
Jamii Forums
4 years
MAKONDA: WANAUME WALIOAJIRIWA WAKATWE 40% YA MISHAHARA YAO WAPEWE WAKE ZAO - RC Makonda amesema, anatarajia kupeleka muswada binafsi Bungeni ili itungwe Sheria itakayomtaka Mwanaume mfanyakazi kukatwa 40% kwa ajili ya Mkewe ambaye hana kazi Soma #JFLeo
Tweet media one
490
65
658
108
103
679
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
6 years
Nimesoma Thread Moja Leo Nikaona Nikazie Point Enyi Mlipo Chuo Au Mliomaliza Jifunzeni MICROSOFT EXCEL I swear Hutajutia. Excel ndo Ugonjwa Mkubwa Maofisini na Ndo The best Office Productivity tool. Ni Ngumu Mno Ila Trust Me Inarahisisha Maisha Kwenye Report MbaliMbali ukiiweza.
55
135
672
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
2 years
Nimeona bus ina route ya TANGA - MBEYA 🙌🏾 That's one long route.
149
15
669
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
CoviEid-19 😊 #EidMubarak
Tweet media one
81
48
648
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Wapwa wamevuta Tweets za Lubasha za 2015 alizokuwa anaongea mwenyewe 😂😂😂😂😂.you gotta love em 😂🤦🏾‍♂️
59
20
624
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
6 years
Meeen, am speechless 🙏🏾. A simple thread made a difference 😊 Dear Graduates, Msikate tamaa. Still naamini kazi zipo out there.😊 PS: Nlimuomba nipost just kuwapa moyo wengine ambao wanaamini hawawezi kufanikisha ndoto zao kutokana na kukatishwa tamaa.
Tweet media one
59
138
622
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
6 years
Jibu: "I like to settle in with an employer and build my career here, also grow with my employment and I look forward to opportunities within a company. grow professionally. I want to be viewed as a top performer, an expert who is a key contributor inside the organization."
6
266
624
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
2 years
Wanaopika wali kwenye jiko la gesi na ukaiva, how does it feel to be God's favourite? Use the mic please.
75
27
637
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
Imagine unakaa BUNJU B na unatakiwa uwahi bus saa 12 Mbezi Mwisho ambalo linapitia Kibaha. 😂😂😂 The struggle
46
8
604
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
One day am gonna put my threads kwa PowerPoint slides na kufanya presentation on them 😊. Wote tuseme AMEN 😊🙏🏾
88
60
610
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
2 years
Mafundi Mbao, Mafundi Milango, Mafundi Aluminium 🤝🏾 Kufiwa baada ya kupokea Advance
73
44
614
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Leo ndo nimeamini tunatumia like 1% ya features za Ms Office zoote. Kazi zetu ni Kutype, KuArrange na kuPrint Baasi. Imagine chuo mtu (including me) alikuwa anaenda kutengenezewa TABLE OF CONTENT kwa hela... i wanna go back and slap myself.😩
74
26
604
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Tumekubaliana kuwa bei elekezi ya Chapati Ni Sh 300-500 si ndio? Ikiuzwa Kuanzia 1000 ni anasa Isokee isokeeeeee😩.
57
40
586
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
6 years
Lastly. "With me GettingThis Position, I will Help To Solve A, B, C, D and E Which are very Vital in Improving any IT/Marketing/HR/Account Field. thank you. FANYA RESEARCH YA KAMPUNI HUSIKA PRACTICE VYA KUTOSHA Majibu Unaweza Weka kivyako Ila usitokee Nje Ya Mada. Asanteni😊
46
260
591
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Marks za hesabu za mitihani yetu ya shuleni zingekuwa ndio ukomo wa miaka yetu ya kuishi, kuna watu tungekua "tushazika" zaaamani saana 😩.
89
34
569
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
Mizinga 21 kwa raisi right? Why not 20? Why not 15? As kwanini iliwekwa 21?
41
18
589
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Wanaotumia USB - Type C wanajiona kama wametoboa maisha yaaani 😩.
78
18
585
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
January ni ngumu sana... Imagine nimekuta kitaa jamaa wamesonga na wanakula ugali mkubwa kwenye sinia afu wanatumia ugali mwengine mdogo kwenye bakuli kama mboga😩... Ok am done 😩🙌🏾.
55
43
569
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
"SALARY EXPECTATION" kwenye interview Ok let's do this with maximum effort 👊🏾
33
241
575
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
Simba wanailaumu Yanga, Yanga wanailaumu TFF, TFF Wanasikitika 😩
45
32
573
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
6 years
Wale Ambao Tulikua Tunaweza Kujisomea Na Eaphone Maskioni Na Sauti Ya Mziki Mpaka Mwisho, Na Tulikua Tunaelewa TunavyoVisoma TUJUANE TAFADHALI 😊.
81
62
558
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Mnasema HR ni wana roho mbaya unamjua AUDIT wewe? Tena yule ambaye anataka kwenye jina lake mbele uongeze CPA(T). You know nothing John snow😩🤦🏾‍♂️.
68
27
552
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Siku ya kwanza ku-report Form one, Jioni yake nikapigwa viboko 🤣.
125
18
542
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Kuna mwanafunzi field kaambiwa alete CV na wengine wamefanyiwa Interview kabisa.
34
19
550
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
HR mtu noma sana... Anaweza akajua kesho unafukuzwa kazi na management na asikuonyeshe any hint, akawa anakuchekea leo like everything is ok.😂
44
29
552
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Its crazy how parent shift from "Usiniletee Wanaume/wanawake Nyumbani kwangu" to "Lini sasa utaniletea Mjukuu" 😒
39
65
550
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Kwenye maofisi ukiacha Elfu 10 utaikuta ila sio peni 😩.
60
29
546
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Nimekaa na Blaza mmoja ivi wa kabila fulani ivi, ndani ya dk 20 nimeshajua anamiliki nyumba ngapi, magari, mabanda ya kuku na ng'ombe, ana mipango gani ndani ya mwaka huu na amekula nini leo.😊 NOTE: Haongei na mimi, Anapiga story na stranger ambaye kakutana nae hapa pia. 😁
55
32
528
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Soko la Karume unaweza kuta kiatu kizuri wakakuambia bei ni 45k, Kwa bei hio unaweza bargain na kusema utampa 25K wakalalamika ila mwishoni wakakubali, ukajiona umempatia au umemkomoa muuzaji kumbe still umepigwa 🤣. Not realising the actual price is 10k. #BongoDarEsSalaam
62
47
533
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Pigo #1 ni kwenda Interview ukitokea home (jobless) # 2 Kwenye kusubiri Interview unaona wadau wana Experience ya kutosha huyu miaka 5 huyu 3 ukijiangalia huna Experience, # 3 unaingia ndani unakutana na Panel (watu kama 10) Mind you, kooote huko umeshapanic. Unajikuta unafail.
31
82
528
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Kwahio tunakubaliana Kuwa Distance elekezi ya relationship ili iQualify Kuwa "Long Distance" ambayo itakayo work-out mwisho ni kibaha si ndio? Zaidi ya hapo ni kudanganyana tu as bora uwe single? isokee Isokeeeeee😩
55
45
525
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
"Mtu wangu wa nguvu, nakusogezea sururu ya kwanza aliyotumia Bilionea Laizer miaka 17 iliyopita wakati likichimbwa shimo lililopatika Tanzanite kubwa."
44
31
538
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
Ushakutana na External Auditor ana begi na shati lake lake la light blue limeandikwa CPA(T), movie inaanza amenunaaa. Full kuagiza agiza mafaili na list ya vitu anataka. Wamekaa kama 10 ndani ila hata story hawapigi. Mtajua hamjui.
73
40
539
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
*In Primary School Absolutely Nobody: Not a single Soul: A kid: "Usiingie kile choo cha mwisho, Tumepita jana tukasikia harufu ya pilau, afu kuna mtu kaona kwato" 😩🤦🏾‍♂️
79
35
525
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
WHAT'S YOUR WORST EXPERIENCE: SECONDARY (DAY AND BOARDING) SCHOOL EDITION
189
66
513
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
Umeshawahi meet anti-vaxxer at the same time ni mlokole? You know nothing John snow
43
18
514
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Tanesco, Hamjakata umeme siku ya pili leo. What's your plan🤔. Mnanitisha aisee, sijazoea haya mambo 😒
64
34
513
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
"ile risasi wakati jamaa anapiga nlikua bunju ila ilinipitia apa miguuni Shwaaaaaaa,"
Tweet media one
49
30
517
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Mimi naamini JERRY SLAA alifanya mambo makubwa sana alipokua meya kuliko mkuu wa mkoa kwa wakazi wa Dar... Na Chidi benz naye kapigilia msumari juu duties & Responsibilities za mkuu. Dar ni Jiji kubwa kuna vitu vingi sana vya kuboresha kuliko kudeal na HARMONIZE😒.
19
60
509
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Kuna ofisi zina group mbili za WhatsApp, Group moja yupo yule boss mnoko na group lingine linakuwa social. Boss anaamini ofisi ina group moja tu la mawasiliano. Ila akosekanagi yule kilaza mmoja ambaye lazima akosee text siku moja na kuwachomesha🤦🏾‍♂️.
60
34
527
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Nilishawahi Fanya Interview organization 1 ivi 2017. Interview 2 nikapita ya 3 Final nikakutana na County Representative. Nikapata moyo sana, Nikajua Ajira hii hapa. Ikapita miezi kimyaa. Only kumuuliza secretary akaniambia "Amechukuliwa dada mmoja ivi hata interview hakufanya"
75
46
512
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Afu kusema ukweli huu msimu ni wa mafua eeeh? 😒
53
7
510
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
FASIHI NI MKAZI WA DAR NA WEWE NI TETEMEKO ISHTUE- (Maksi 20)
46
18
501
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
What's your worst kariakoo memory?
68
25
493
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Ushawahi kurukwa ofisini kwa order ambayo Boss au co-worker alikupa Kwa mdomo miezi au mwaka nyuma? And akasema hakumbuki na umeshaitekeleza? Tell us your story. Ila nakushauri TUMIA EMAIL kwenye kila request. Mtu akikutuma Muombe akuarifu Kwa Mail. You will thank me later 😊.
33
59
508
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
Jamaa anapishana na NOAH yake chalinze akiwa kwenye bus na yenyewe ikiwa imebeba Kiroba cha mahindi na watu na aliipeleka kwa fundi ikatengenezwe ilala. Kumpigia fundi kumuuliza mbona gari yake kaiona chalinze fundi akasema "Tunaifanyia testing mkuu" 😂😂😂
43
23
507
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
STRESS INTERVIEW. What is it? Ni ile Interview mwajiri anahakikisha amefika on your nerves just kukupima level yako ya kuhandle mikiki mikiki. ANAWEZA; -Akakusema, - Akakukatisha ukiongea, au kila ukisema anakupinga.
45
179
493
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
Nitaandika research ya Jinsi gani VPN imeshiriki kikamilifu kuharibu betri ya simu yangu.
44
18
487
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Dogo kapewa hela ya kwenda kunyoa saluni kaenda kuweka njonjo katia way, Akarudishwa. Tunavoongea apa ana kipara. African parents don't play around 🤣
42
33
495
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Pesa kidogo vitafunwa umeanza kuviita bites 😒
32
23
487
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
6 years
Mfano Sasa. My Name is Bennet, I live in Dar, i am A degree Holder in Bla bla . I have One Year Experience in Coding. I have Helped on Creating Software in Company x For 3 Years which Helped to Solve Bla bla Bla (Apa Ndo Pa Kujipa Sifa, But be careful zisizidi)& I love reading.
5
266
494
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Mapapai, I knew it... Ndo mana nlikuwa siyaelewi tangia mwanzo.😒
52
16
483
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
2 years
Suala la Waandishi wa habari kuhoji wafiwa wakiwa wanalia it has to stop. Mfiwa mmoja anahojiwa na waandishi kama 10 tofauti akielezea the same story + sobbing.
27
20
488
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
6 years
Dar Kuna Joto Kiasi Cha Kwamba Mtu Akiagiza Barafu Anasisitiza Liwe la Baridi... 😩 #JotoHasira
30
75
476
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
"Its like watching TITANIC for the 100th time and hoping this time the boat Wont sink"
16
79
485
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
2 years
To the silent battles we have been fighting 👊🏾
18
91
485
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Jela ni Sunna? Kwenye aya gani? Help me understand
60
11
470
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Washing machine 1.4M? Nipeni mimi hio hela ningurume na kufua 😒.
48
17
471
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Ishara wanayotumia madera wa maBus ya mikoani kuambizana kama kuna traffic au hamna wanapoenda au walipotoka you will love to see it 🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Very cool🤣
31
30
469
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Si mlisema mnajua kuogelea kwenye CV? 🤣 Aya mfike makazini sasa.
37
36
466
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
Perfume zetu wengine za kupima kule k/koo au za "Syria Exhibition" ikizdii saaana 35K. Na ukipuliza ukapanda boda boda au ukapigwa na feni: Kosaaaa kubwa sana Mlangoni sometimes hazifiki inabidi tuzibebe kwenye begi. The Struggle tho 😩.
46
28
470
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
6 years
Those days likizo tukitoka Boarding School ilikua inatumika ipasavyo kuExchange P.O BOX za shule kwa new female friends... It was fun Waiting for Barua yako everyweek 😂. Wapo waliokuwa wanatumiwa barua zaidi ya 4 kila wiki Look at us now? We can't even get a text back😂
51
50
465
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
Tafuta PC moja expensive yenye specs za kushiba afu tulia nayo.
38
17
472
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
6 years
D. Job Experience hapa Sasa Ndo Ushuke Point zote na Achievement zako Na ulisaidiaje Kazi na Kufanikisha Malengo Kazi kwenye Kampuni 5. Hobbies (Zenye manufaa, Kumbuka UnaWaAttract Wakuchukue) Note: -Nenda Straight Usilete Prorojo Maana Maneno yataisha -Usijisifu saana
5
257
468
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
3 years
I can hear this picture screaming "MAINDAAAAAA"
@jaliluzaid
Jalilu Zaid
3 years
Tweet media one
6
2
42
69
34
470
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
2 years
Kipanya always yupo on point. 🤣
Tweet media one
11
22
469
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
The creator of Rango, Kung-Fu Panda, Zootopia and coco really did a great job 🙌🏾. If you know what i mean 😊
65
40
447
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
6 years
Narudia Tena ISHINI NA WATU VIZURI... Unaemdharau Leo Ndo Anaweza Akawa Boss Wako Kesho. NimeshaShuhudia ili kwa Macho Yangu 😩.
16
67
455
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
4 years
TANESCO hii ni siku ya pili hamjakata umeme... Ni nini shida? Sijazoea izi raha 😒
30
8
447
@Abbymexahnk
∆bby Mêxæhnk Msangi
5 years
Wazee wetu wa zamani ilikua uBrotherMen hautimii kama hauna tattoo ya NANGA (⚓) kwenye mkono 😩.
51
28
452