Sorry guys nimeona wengi mnauliza nilikua wapi miaka yote hadi natafuta mume nikiwa na miaka 38 wengine wanasema labda nilikua nadanga ila sio kweli nimetumia muda mwingi kusoma nina degree 2 tofauti na masters hapo nilitumia zaidi ya miaka 9 chuo ndio maana karibu dm kwa maswali