Visionary | Leader | Former District Commissioner - UR Tanzania, Presidentโs Office | Secretary General Youth Wing
@ccm_tanzania
member of
@clubdemadrid
Kwa unyenyekevu mkubwa namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kutupatia sote zawadi ya uhai.
Namshukuru Mhe Rais
@SuluhuSamia
kwa kuendelea kuniamini na kunipa dhamana ya uongozi.
Kisarawe nawashukuru sana mmenilea, mmenijenga. Mtabaki moyoni mwangu!
HODI HODI Temeke ๐น๐ฟ
Nilipoteuliwa wapo walibeza na wengine kujaribu kunivua utu wangu. Niliwaelewa lakini. Pwani wanasema Aso Mtu Ana Mungu. Namshukuru Mungu wangu kwa kunitetea. Mhe Waziri Jafo kamuelekeza DED kuisajili hii shule ya kihistoria Kisarawe na iitwe Jokate Mwegelo Girls Secondary School
Niediiiiiii
Kooogwe Muendeeaa Zeze?
Niitamiwe Sana Kuiza Aha Leo.... Kangi Hata Inyi Muitamilwe Eeehh? โบ๏ธ
Asante Mheshimiwa Rais Dkt
@SuluhuSamia
Kazi Iendelee Korogwe ๐น๐ฟ
Moja kati ya majengo 15 ya shule tuliyoyajenga kati ya mwezi wa kumi na moja mwaka jana na sasa. Pamoja na changamoto kubwa ya mvua. Tumefanikiwa. Majengo yote yana marumaru/tiles na madirisha ya aluminium na ubora umezingatiwa. Tumeweka na vimbweta ๐
#TokomezaZeroKisarawe
Asante kwa kunipokea na hongera kwa kutumia michango vyema. Hujakimbia na michango ๐ .
Hakika ulistahili kupata support ndani ya muda mfupi tumeona matokea chanya. Hongera mno.
Nimepata bahati ya kutembelewa ofisini kwangu na Mheshimiwa
@jokateM
Tumezungumza machache zaidi nashukuru Sana kwa ukarimu wako umenihamasisha kujituma zaidi.
Mungu akubariki Sana kwa kujali, Kuthamini na kutumia wakati wako kwajili yangu.
Karibu Tena Mhe hapa ni kwako ๐ ๐
Nimefurahi sana kupata surprise ya kutembelewa na masista kutoka Sisters of Mary Secondary School (Girls Town) Makurunge na kupokea zawadi zilizoandaliwa na wanafunzi wa kike wa shule hiyo.
Nitumie nafasi hii kuishukuru Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM chini ya Mwenyekiti wake na Rais wetu Mpendwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuniteua kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania ngazi ya Taifa. Ni heshima kubwa kuona Chama changu kikiendelea
20.03 โค๏ธ๐ธ๐ฝโค๏ธ
Namshukuru Mungu Kwa Kuweza Kuona Mwaka Mwingine Kwenye Maisha Yangu.
Lakini Zaidi Namshukuru Kwa Kunipatia Watu Wanaonipenda na Kuniombea Kila Siku Na Kunisaidia Kufikia Ndoto Zangu.
Happy Birthday Jokate Urban Mwegelo ๐ฅฐ
Inaweza ukawa una nguvu ya kufanya jambo fulani lakini haimaanisha utumie nguvu uliyonao kulifanya. Ndio maana tuombe Mungu tutanguliwe zaidi na busara na hekima katika maamuzi kukwepa kuumiza watu bila sababu za msingi.
Ijumaa Kareem!!
#TBT
F4 nilipata B-Physics A-Biology A-Chemisrty na kupelekea kuchaguliwa F5 Msalato kusoma mchepuo wa PCB. Nilibadili maamuzi na kusoma Arts- L.H.S. Ilikuwa Big Deal kwangu mtihani wa Mock/Mkoa kushika nafasi ya Pili Kimkoa kwenye Kiingereza na kutokea kwenye Gazeti la shule ๐
Kheri Ya Mwaka Mpya Ndugu Zangu.
Naendelea kuwaombea Mwenyezi Mungu Awabariki Mpaka Mshangae.
Jitamkie Baraka Za Kutosha 2022!!! Siunajua maneno huumba ๐
Zaburi 128:5 ๐ฆ
I would love to be remembered as a leader who led from the heart and not only from the head. Guided by values. Placing the needs of others before my own. Going beyond my call of duty, listening to the people I lead, connecting with them, making them feel special. Uplifting them.
Wakina Mama Na Akina Dada wa Korogwe nisingeweza kuwaaga hivi hivi. Baada Ya kukabidhi ofisi kwa DC mpya wa Korogwe Kaka yangu Mwakilema asubuhi ya leo, pamoja na wenzangu wa Coca-Cola tutagawa vifaa vya kuwawezesha mama lishe wetu wa hapa Korogwe wafanye shughuli zao kwenye
Katika kuadhimisha Siku ya Mwanamke Duniani naungana na Wanawake wenzangu duniani kote kuadhimisha Siku hii Adhimu kwa Mwanamke. Kitaifa kauli mbiu ya mwaka huu ni โBadili Fikra Kufikia Usawa wa Kijinsia kwa Maendeleo Endelevuโ.
Siku yako leo mkali wa hizi kazi, kijana mdogo wa Kitanzania akili nyingi- FFN.
Hongera Vunja Bei Sports- VS
uzi umetulia sana ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
๐๐ฝ๐๐ฝ๐๐ฝ๐๐ฝ
@fredvunjabei
@bvrbvra
Kwa waliosoma Minaki mtafurahi kujua serikali yenu ya Awamu ya Tano imefanya ukarabati mkubwa na huu ndio muonekano mpya. Nampongeza mkuu wa shule Bw. Chungu kusimamia viwango, tiles na madirisha ya aluminium na kuweka shower sets bafuni. Tayari tumefikisha maji ya DAWASA shuleni
Hii ndio nyumba ya Mwalimu Mkuu. M/Mkuu atakuwa mwana-mama, na tayari jana Mhe Jafo kamteua mwalimu kutoka Kibuta kuja kusimamia hii shule, ni Dada hodari kwelikweli. Nyumba ni self-contained, vyumba vitatu na master bedroom ina choo/bafu la kujitegemea, na jiko lina ka-balcony.
Usinune/Kususa ukishushwa cheo-kufukuzwa. Na usijikweze ukipewa Nafasi. Cheo/Uongozi ni dhamana hivyo huwezi kuona wewe ni bora sana au unastahili zaidi kuliko mwingine ni nafasi tu zinatoka na kuondoka kwa kudra na majaaliwa yake Mwenyezi Mungu mwenye kujua hesabu zetu duniani
UWT chini ya Mwenyekiti wetu Mary Pius Chatanda tumeona muelekeo wa hii kesi haujawa na haki hivyo kama tulivyojipambanua kuwa kimbilio la wanawake wote nchini na wasimamizi wakuu wa agenda za wanawake nchini tumedhamiria kuona haki inatendeka kwa Maria kupata wasimamizi sahihi
UWT chini ya Mwenyekiti wetu Mary Pius Chatanda tumeona muelekeo wa hii kesi haujawa na haki hivyo kama tulivyojipambanua kuwa kimbilio la wanawake wote nchini na wasimamizi wakuu wa agenda za wanawake nchini tumedhamiria kuona haki inatendeka kwa Maria kupata wasimamizi sahihi
Nimemaliza leo ahadi yangu yote kwa ndugu yetu Kalage. Kwa dhati ya moyo wangu nakutakia mafanikio makubwa. Sikujui ila naaamini ni Mungu ametugusa kukuunga mkono.
Wanasema kutoa ni moyo na sio utajiri.
Wengi wanauliza kwanini nimesaidia. Jibu ni rahisi; ni kwasababu namimi
Napenda kutoa shukran zangu za dhati kwa Mh
@jokateM
kwa kuzingatia ombi langu ameniahidi anatanguliza Moja leo nyingine inafuata.
Ahsante Sana Mh Jokate kwa kujali, we are going to take Kalage Perfumes to the next level. โค๏ธ
Ni faraja kubwa kuona namna sisi Viongozi tunavyoshirikiana na Jamii kufanya mageuzi makubwa na kujiletea Maendeleo endelevu. Jamii yenye furaha inajenga Taifa stahimilivu na lenye nguvu.
Also;
#GirlsJustWantToHaveFun
๐
Leo nimepokea madawati 20 yenye viwango vya juu kutoka kwa Pierre Liquidi chini ya kampuni ya Afro Furnishers and Hardware. Kwenye Harambee yetu ya tarehe 30/03/2019 aliahidi kutoa laki moja lakini leo amekuja na madawati 20 yenye thamani ya zaidi ya tsh laki moja.
Leo jioni nimefika kijiji cha Chole kiko kilometa 89 kutoka Kisarawe mjini na hawa vijana waendesha bodaboda wakaomba niongee nao. Walichonifurahisha wamekubali wako tayari kufanya pia shughuli za kilimo na wanahitaji mafunzo wapate taarifa sahihi ili wafanye kilimo cha kisasa.
Naomba Mungu aendelee kututumia sisi viongozi na watumishi wake kuweza kugusa na kubadilisha maisha ya watu wengi zaidi. Tujitoe zaidi kuliko kufikiria maslahi yetu binafsi.
Hatimaye ahadi tuliyotoa kwa mama wa mapacha waliotenganishwa Muhimbili imetimia.
Siku ya Leo nimekuwa sehemu ya Watanzania waliopata Chanjo ya kupambana na UVIKO-19.
Mhe. Rais
@SuluhuSamia
ametuongoza.
Chanjo ni jambo la Hiari.
UVIKO-19 ni tishio kwetu na kwa Maendeleo ya nchi kwa ujumla.
Tuendelee kupokea kila lililo jema kwa Maendeleo ya Taifa letu. ๐น๐ฟ