watoto wengi hawana mahusiano mazuri na baba zao, kwa sababu ya kusikiliza ufundi wa mama zao katika kusimulia mabaya ya baba zao, huyajui ya mama'ako kwa sababu baba ako alichagua kuyaficha, kakae chini na baba'ako, mwambie akusimulie machache ya mama'ako, unaweza hata kufa..