Mwamba huyu hapa serikali yake inamlipa Tsh 100,000 tuu kwa mwezi kwa kipindi alicho litumikia jeshi la nchi yake kama offer wa jeshi Capt Valentine Strasser
Chukua sh.5000/- kanunue mche wa sabuni, dawa za meno na miswaki, mafuta ya kujipaka, nenda gereza lililo karibu na wewe muombe Askari kwamba unataka kutoa kwa wafungwa 3 au 4 ambao hawajawahi kutembelewa na ndugu zao kabisa.
Wameniambia wapo Msamvu jirani na Hoteli shop Tv inch 60 kwa Tshs 600k kwa mwezi nalipa Tshs 60k sasa kabla sijajichanganya nani ana experience na hawa watu?